Makosa kikosi cha Simba haya hapa

1...Vipi ngoma,mzamiru na kanoute waanza kwa pamoja, mmoja aanze kukabia juu??

2....chama,saidoo waanzie benchi(tunajua ndio waamuzi wa mechi hilo halina Shaka)....pale mbele waanze bocco na phiri(4-4-2) lengo Ni kutengeneza balance ya kuzuia zaidi, Alafu kuanzia dakika ya 70, kutegemeana na matokeo unachomoa kiungo mmoja au wawili Alafu unaingiza mashine za kazi

Hasa kwa hi mechi ya Al Ahly inabidi inabidi tuwe makini Sanaa......
 
Ikiwa kocha atampanga Kennedy na inonga bek ya Kati, Kisha Che Malone na ngoma Kati, na Luis akirud kwenye ubora, mwarabu anapigwa.
 
Tukiwa ugenini syo shida, Ila hapa nyumbani hakuna haja ya kujilinda kwani Al ahly hapa atakuja kujilinda, HIVYO tukitumia wachezaji wanao press kwa kas na akil Kama chama tunawaweza, nao pia wanahofu kucheza na Simba kwa mkapa.
 
Tukiwa ugenini syo shida, Ila hapa nyumbani hakuna haja ya kujilinda kwani Al ahly hapa atakuja kujilinda, HIVYO tukitumia wachezaji wanao press kwa kas na akil Kama chama tunawaweza, nao pia wanahofu kucheza na Simba kwa mkapa.
[emoji23][emoji23][emoji23]sawa mkuu....ila Al Ahly popote Africa Ni Kama nyumbani tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]sawa mkuu....ila Al Ahly popote Africa Ni Kama nyumbani tu
Hawa Al ahly, hata timu nyingine za waarabu, wakiwa ugenini hujilinda Zaid Ila nyumban ndio hufunguka, ndio maana hata hao Al ahly hajawah mfunga Simba kwa Mkapa, lakini kwao Simba kapigwa 5 hata Yanga kashamfunga Al ahly kwa mkapa. Ndugu nikuhakikishie game ya kwa Mkapa Simba atadominate, kazi itakuwa Misri
 
Hivi,ni timu ya Simba tu ndiyo ipo kwenye mashindano?Hakuna nyingine/zingine?Hizo zingine ni bora na hazina upungufu wowote?Kwa nini kila uzi ni Simba tu?Nauliza kwa uzuri tu nipate jawabu.
 
Hivi,ni timu ya Simba tu ndiyo ipo kwenye mashindano?Hakuna nyingine/zingine?Hizo zingine ni bora na hazina upungufu wowote?Kwa nini kila uzi ni Simba tu?Nauliza kwa uzuri tu nipate jawabu.
Sababu kubwa Simba ndiye Mwakilishi pekee wa nchi yetu, Katika hayo mashindano, hvyo haya mapungufu pengine husemwa kwa ubaya ama kwa uzuri.
 
Imekaa poa sana na mpira unaujua. Naamini siku ambayo benchi la ufundi litakapoamua kumjaribu Ngoma kucheza namba kumi basi huenda ndio siku hiyo ikawa mwisho wa mtoto wao pendwa Saidoo kucheza kila mechi na mbao ndefu itamhusu kwa muda mrefu sana sio kwa kupoteza kule mpira halafu mwisho wa mechi kila Robertino akihojiwa lazima amsifu eti kacheza vizuri wakati mpira ni mchezo wa wazi. Mbaya zaidi anapomtoa Kibu uwanjani mwenye "workrate" kubwa na kumuacha Saido amalize dakika zote 90 ilihali unakuta kachoka hoi hata akipiga pasi ya mita mbili haifiki.

Na mabadiliko ya namba kwa wachezaji ni kitu cha kawaida sana kwenye benchi la ufundi lenye watu wenye weledi lakini kwa Simba wamekariri wachezaji wale wale kama vile timu zote pinzani wanazokutana nazo zina cheza mfumo mmoja. "No wonder" sasa hivi tofauti ya ushindi ni goli moja au mawili na timu inapelekewa moto mbaya kiasi inabidi benchi la ufundi liingize watu wa kulinda matokeo saa nyingine unakuta ndio kwanza mpira upo dakika ya 70.
 
Mkubwa hutizamwa zaidi na huzungumzwa zaidi, Sasa Africa nzima kwenye Mpira wa miguu wanaongelewa Al ahly na Simba zaidi, ijapo mashindano haya Yana shirikisha timu 8, sababu kubwa NI kuwa wafunguzi, timu Kama singida Bado Haina legacy kwenye Mpira wa Africa labda cku za usoni.
 
Kwa sasa hivi Simba kuzungumziwa ndio wakati wake maana ana mechi kubwa sana hivi karibuni. Yakianza makundi zitazungumziwa timu zote mbili kubwa Simba na Yanga.
 
Tukiwa ugenini syo shida, Ila hapa nyumbani hakuna haja ya kujilinda kwani Al ahly hapa atakuja kujilinda, HIVYO tukitumia wachezaji wanao press kwa kas na akil Kama chama tunawaweza, nao pia wanahofu kucheza na Simba kwa mkapa.
Anajilinda na nini sasa?
 
MBUMBUMBU WOTE WABOVU HAO
 
Ni Mara 1000 ukampa nafasi Kanoute kuliko Ngoma... Kwa amayefuatilia mpira kwenye kikosi Cha Simba mchezaji anayeongoza kupoteza pasi na kukabia macho ni Ngoma...., Simba wanaogopa kumsema kwasababu walishangilia walipodanganywa ati kaibiwa Airport!!.
Kanoute ana risk kuwalinda mabeki ila Ngoma anajilinda yeye, Kama ataanzisha mechi ya trh 20 basi hamsa hamsa tunaziona hizoooooo😀
 
Hivi,ni timu ya Simba tu ndiyo ipo kwenye mashindano?Hakuna nyingine/zingine?Hizo zingine ni bora na hazina upungufu wowote?Kwa nini kila uzi ni Simba tu?Nauliza kwa uzuri tu nipate jawabu.
Mimi Ni Simba damu ivyo naiongelea timu yangu....wenye singida,yanga n.k nao watapata nafasi ya kuongelea timu zao kwa muda wao
 
Akiwa Al hilal omdurman ya Sudan(kiboko ya Utopoloz) kocha florent ibenge alipenda zaidi kumtumia juu na alikuwa anafanya vizuri Ila Mara nyingi kwenye dakika65 kuendelea anamtoa.....hii ni wazi inamaanisha Ni mtu wa kukata upepo mapema
 
Weakness ya Fabrice anakataa moto mapema/anachoka huwezi mchezesha Kama namba6 Alafu ukamuamini kwa dk zote 90.....BIG NO KWANGU!!!!
 
Reactions: Exy
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…