We pimbi kweli, sasa picha inazuiliwaYaani hata mniite zwazwa, kiazi au jina baya gani bado sitaweza kuleta picha hapa kwa sababu mimi ni mtumishi na natambua maadili ya utumishi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We pimbi kweli, sasa picha inazuiliwaYaani hata mniite zwazwa, kiazi au jina baya gani bado sitaweza kuleta picha hapa kwa sababu mimi ni mtumishi na natambua maadili ya utumishi!
Mtoa mada muongoYani ndipo ujue kuwa nchi hii ina tatzo kubwa. Kama hata taasisi ya kusimamia elimu ambayo unategemea iwe na wataalum hawajui hata nembo za taifa we wadhani watoto watakuwaje wanaopewa elimu
Mauzauza hoyee! Tz kichwa cha mwendaNikisema imekosewa siyo kweli ujue kukosea ni kwa bahati mbaya lakini hiki kilichofanywa kwenye mihutasari mipya ya masomo Shuleni inaonekana kimekusudiwa kabisa na ndiyo maana nimesema wamebadilisha siyo wamekosea!
Hiyo nembo nimeangalia nimeona ina makosa matatu pale kwenye bendera ya taifa
1. Kwanza kumewekwa nyota tatu kwenye rangi nyeusi
2. Pili rangi ya bluu haipo tena badala yake kuna rangi nyekundu
3. Tatu ni kwamba bendera imepinduliwa zile rangi za ulalo badala zitoke chini kushoto kwenda juu kulia, wao wameweka zinatoka chini kulia kwenda juu kushoto
4. Hapohapo kwenye kubadili rangi wameweka rangi ya kijani upande wa juu badala iwe chini
Sijajua sheria za nchi zinasemaje kwa jambo kama hili maana nembo ya taifa ni miongoni mwa alama kubwa za Taifa sasa inapotokea watu wamezibadili hivyo inakuwaje?
Unatambua maadili ya utumishi Sasa mbona umeleta malalamiko JF badala ya upeleke TIE Jf inachapisha vitabu vya shule!? Acha ujinga leta pichaYaani hata mniite zwazwa, kiazi au jina baya gani bado sitaweza kuleta picha hapa kwa sababu mimi ni mtumishi na natambua maadili ya utumishi!
Ni vibovu sana vitabu vyaoHii nchi inawapumbavu wengi sana tena wenye digrii.
Mtoa mada amedokeza issues sensitive lakini anashambuluwa kama mpira wa Kona.
Tanzania institute of education n wazembe sana.
Hawafuati misingi ya kuzalisha vitabu. Vitabu vyao vina makosa au viko "shalo".
Wakati mwingine Watanzania huwa tunajitakia wenyewe kutukanwa! Hivi habari kubwa kama hii unailetaje bila picha? Kwanza mtu mwenyewe bado trainee halafu unajilazimisha kujua mambo makubwa kama hayo? Mimi nasema nembo iko sahihi wacha porojo zako, utakuja kuelewa ukishakuwa trainer!Nikisema imekosewa siyo kweli ujue kukosea ni kwa bahati mbaya lakini hiki kilichofanywa kwenye mihutasari mipya ya masomo Shuleni inaonekana kimekusudiwa kabisa na ndiyo maana nimesema wamebadilisha siyo wamekosea!
Hiyo nembo nimeangalia nimeona ina makosa matatu pale kwenye bendera ya taifa
1. Kwanza kumewekwa nyota tatu kwenye rangi nyeusi
2. Pili rangi ya bluu haipo tena badala yake kuna rangi nyekundu
3. Tatu ni kwamba bendera imepinduliwa zile rangi za ulalo badala zitoke chini kushoto kwenda juu kulia, wao wameweka zinatoka chini kulia kwenda juu kushoto
4. Hapohapo kwenye kubadili rangi wameweka rangi ya kijani upande wa juu badala iwe chini
Sijajua sheria za nchi zinasemaje kwa jambo kama hili maana nembo ya taifa ni miongoni mwa alama kubwa za Taifa sasa inapotokea watu wamezibadili hivyo inakuwaje?
Huna unalotambua wewe kwenye utumishi wa umma!Yaani hata mniite zwazwa, kiazi au jina baya gani bado sitaweza kuleta picha hapa kwa sababu mimi ni mtumishi na natambua maadili ya utumishi!
Nakazia🤣We jamaa ni mpumb.....v wa kwanza kuwahi kukushuhudia jf.
Kama ulijua huwezi kuweka picha uliweka mada ya nini?
Mada ambayo ina ukakasi.
Eti oooh mtumishi wa umma.
Utumishi wa ny......k
Inatia hasira kuona wapumba....v kama nyny
Utaambiwa hizo nembo ni za mwaka 1990-1995Nikisema imekosewa siyo kweli ujue kukosea ni kwa bahati mbaya lakini hiki kilichofanywa kwenye mihutasari mipya ya masomo Shuleni inaonekana kimekusudiwa kabisa na ndiyo maana nimesema wamebadilisha siyo wamekosea!
Hiyo nembo nimeangalia nimeona ina makosa matatu pale kwenye bendera ya taifa
1. Kwanza kumewekwa nyota tatu kwenye rangi nyeusi
2. Pili rangi ya bluu haipo tena badala yake kuna rangi nyekundu
3. Tatu ni kwamba bendera imepinduliwa zile rangi za ulalo badala zitoke chini kushoto kwenda juu kulia, wao wameweka zinatoka chini kulia kwenda juu kushoto
4. Hapohapo kwenye kubadili rangi wameweka rangi ya kijani upande wa juu badala iwe chini
Sijajua sheria za nchi zinasemaje kwa jambo kama hili maana nembo ya taifa ni miongoni mwa alama kubwa za Taifa sasa inapotokea watu wamezibadili hivyo inakuwaje?
Serikali inayo furaha kuwa na watumishi mijinga kama weweYaani hata mniite zwazwa, kiazi au jina baya gani bado sitaweza kuleta picha hapa kwa sababu mimi ni mtumishi na natambua maadili ya utumishi!
Tufafanulie maadili ya utumishi kuhusu kuleta diagram ya mchoro wa nembo ya Taifa humu.Yaani hata mniite zwazwa, kiazi au jina baya gani bado sitaweza kuleta picha hapa kwa sababu mimi ni mtumishi na natambua maadili ya utumishi!
Muhtasari wa masomo ni nyaraka ya siri?Kweli wewe ni mtumishi mtumwaYaani hata mniite zwazwa, kiazi au jina baya gani bado sitaweza kuleta picha hapa kwa sababu mimi ni mtumishi na natambua maadili ya utumishi!
Comrade, taarifa ya aina hii inatakiwa iwe na uthibitisho wa hivyo vitabu. Kinyume na hapo, utakuwa umewaacha watu njia panda.Nikisema imekosewa siyo kweli ujue kukosea ni kwa bahati mbaya lakini hiki kilichofanywa kwenye mihutasari mipya ya masomo Shuleni inaonekana kimekusudiwa kabisa na ndiyo maana nimesema wamebadilisha siyo wamekosea!
Hiyo nembo nimeangalia nimeona ina makosa matatu pale kwenye bendera ya taifa
1. Kwanza kumewekwa nyota tatu kwenye rangi nyeusi
2. Pili rangi ya bluu haipo tena badala yake kuna rangi nyekundu
3. Tatu ni kwamba bendera imepinduliwa zile rangi za ulalo badala zitoke chini kushoto kwenda juu kulia, wao wameweka zinatoka chini kulia kwenda juu kushoto
4. Hapohapo kwenye kubadili rangi wameweka rangi ya kijani upande wa juu badala iwe chini
Sijajua sheria za nchi zinasemaje kwa jambo kama hili maana nembo ya taifa ni miongoni mwa alama kubwa za Taifa sasa inapotokea watu wamezibadili hivyo inakuwaje?
Unatafutia watu ban zezeta wewe.Yaani hata mniite zwazwa, kiazi au jina baya gani bado sitaweza kuleta picha hapa kwa sababu mimi ni mtumishi na natambua maadili ya utumishi!
unajua uzito wa ushahidi katika taarifa??Hii nchi inawapumbavu wengi sana tena wenye digrii.
Mtoa mada amedokeza issues sensitive lakini anashambuluwa kama mpira wa Kona.
Tanzania institute of education n wazembe sana.
Hawafuati misingi ya kuzalisha vitabu. Vitabu vyao vina makosa au viko "shalo".
Maadili ya utumishi yanakuelekeza ulete mijadala ya namna hii JF?!!Yaani hata mniite zwazwa, kiazi au jina baya gani bado sitaweza kuleta picha hapa kwa sababu mimi ni mtumishi na natambua maadili ya utumishi!
Sasa hayo maadili ya utumishi wa umma ndio yamekwambia uje ulalamikie huku?Yaani hata mniite zwazwa, kiazi au jina baya gani bado sitaweza kuleta picha hapa kwa sababu mimi ni mtumishi na natambua maadili ya utumishi!