Makosa makubwa ya Uaandaaji wa Maonyesho ya Kilimo Nane Nane

Dar wanalima nini
Hahaha! tunalima sana huku nakufuga. Kuna haja ya kuwa na mtazamo mpana wa kilimo na ufugaji. Sekta ya Kilimo na ufugaji inatakiwa iwe integrated na other sectors. Nadhani Kuna wataalamu wenye uelewa mpana kwenye jambo hili, hapo ndio tunapata msingi wa maonyesho ya kilimo kufanyika Dar Es Salaam
 
Mbona hata Arusha kuna Mabanda ya Kudumu?
 
Samahani bingwa, naona umekomaa na "MAONYESHO", hapo post #8, ilimradi tu kusema una EKSIPOSHA, rifaaringi to "Wabongo Bhana"

  • Onesho, -on-
  • Onyo, -ony-
Punguza ujuaji wa kipimbi? Nazani wewe huna ulicho ambulia zaodi ya hio?
 
huna ulicho ambulia
Ni kweli ila matusi hayo ya reja reja ndo yamekufanya ukahangaika kutafuta ID nyingine? Zote ni fake.

Ebu tukana vizuri, na kwa nguvu kidogo ukiwa umegangamala ili ku-justify energy dissipated
 

Yakiwa Morogoro Itakuwa Sawa Sawa Wajenge Ya Kudumu

 
Ni kweli ila matusi hayo ya reja reja ndo yamekufanya ukahangaika kutafuta ID nyingine? Zote ni fake.

Ebu tukana vizuri, na kwa nguvu kidogo ukiwa umegangamala ili ku-justify energy dissipated
yaani vichwa vinatoa point humu wewe umekomaaa na kukosoa kutafuta makosa, hii ni aina ya utopolo una roho kama ya kenge
 
Ni ushauri mzuri ila ungemuadress waziri wa kilimo moja kwa moja kwa kichwa hiki; BARUA YA WAZI KWA WAZIRI WA KILIMO NA MIFUGO; USHAURI.
Huyo waziri yupo?
Mi naona km ni Bashe tu anafanya kazi.amuaddress bashe direct
 
Wanaokupa hongera, wamejua kuwa wazo lako umelichukua hapa kenya?

Hongera kwa kucopy na kupaste.
Hapo Juu nimeeleza Mbona? Kwamba Kenya ndio wanavyo Fanya, au Tatizo nini? Au unazani wazo nimelitoa Mbinguni?
 
Ukiachana na MUDA na SEHEMU

Kuna suala zima la WASHIRIKI na USHIRIKISHWAJI

Nimehudhuria haya maonyesho tangu yakiitwa SABASABA miaka takriban miaka 35 iliyopitaj, kwa kweli haya maonyesho bado yana taswira ya SIKUKUU zaidi kuliko MAONYESHO

Nasema hivyo kwa sababu kuna vitu vina chukua nafasi ktk maonyesho haya ambavyo havina uhusiano wa moja kwa moja na Kilimo. Kwa mfano wauza mitumba ambao hujazana pale Nanenane Morogoro
Makelele(Sound Pollution)yamekuwa mengi utafikiri tuko Mtaa wa Congo

Naamini waandaaji wana exposure ya kutosha kufanya maonyesho mazuri wapewe nafasi tu
 
Kwa ajili ya Per diems sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…