Makosa matano yaliyoonekana kwenye video ya muziki ya Zuwena ya msanii Diamond Platinumz

Makosa matano yaliyoonekana kwenye video ya muziki ya Zuwena ya msanii Diamond Platinumz

Ali Nassor Px

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,384
Reaction score
3,926
Imechambuliwa na kuandikwa na Ally Nassor Px .

Tarehe 5 February 2023.

Sehemu ya kwanza kuipost ni hapa JF sehemu ya pili itakuwa ni Facebook na mwisho kabisa nitamalizia Twitter.

...........................................................


Video imetoka juzi Tarehe 3 mwezi wa pili mwaka 2023.

Saa 4 kamili asubuhi.

ikiwa imeongozwa na director ivan.

mpaka sasa tarehe 5 mwezi wa pili 2023 video hii ina jumla ya watazamaji
Milioni 2.4

nilichopenda kwenye video ya zuwena ni video ambayo inaonesha uhalisia wa kinachoimbwa na ningependa kuoana zaidi na zaidi video zenye uhalisia na kile kinachoimbwa inawezekana kikatutambulisha jamii ya watanzania kirahisi kwa jamii nyingine.

Twende moja kwa moja kwenye uchambuzi wa video yenyewe.

video ni kali sana kwa upande wangu naipa rate ya 8 / 10. kuna baadhi ya makosa ya ufundi yalionekana kwenye video lakini hauwezi kuyaona mpaka utulie ila mimi nataka nikuoneshe.

..........................................................
1. MMASAI WA BANDIA

Mwanzo wa video sekunde ya 33 ( 00:33).

anaonekana jamaa wenye asili ya kimasai akikimbiza punda wawili.

ila kama utakuwa makini utangundua kuwa yule sio Mmasai halisi. wakati mmasai halisi alikuwepo kwenye video alionekana alipiga gitaa mwanzo kabisa Sekunde ya 3 ( 00: 03).
Screenshot_20230205-071422.png


mmasai aliyekuwa akikimbiza punda alionekana wa kutengeneza ukitazama alikuwa kavaa soksi chini na buti la Timberland (rangi ya bagia ).

IMG-20230205-WA0003.jpg

...............................................................

2. MUHUSIKA MMOJA KUOENEKANA SEHEMU MBILI TOFAUTI.

Ukitazama video sekunde ya 46 ( 00: 46).

kuna mzee utamuona alikuwa anasoma urithi. na inajulikana siku zote mtu ambaye anapewa jukumu la kusoma urithi ni mtu wenye heshima zake na anaaminiwa sana.

Sasa ukitazama video ya zuwena utamuona yule mzee aliyekuwa anasoma hosia wa urithi.

aonekana akiwa bar anamtunza zuwena alivyokuwa anacheza juu ya meza dakika ya (1 : 40).

Screenshot_20230204-073907.png


IMG-20230205-WA0001.jpg

...............................................................

3. TATOO ZA DIAMOND NA KIPINI PUANI.

Inawezekana ni ngumu sana kumpiga diamond make up ambayo itaficha tattoo zake. ila inaonesha director alisahau pia ata kumwambia diamond atoe japo kile kipini chake pale puani mwanzo mpaka mwisho wa video diamond anaonekana na kipini puani.

kumbuka video imebeba uhalisia wa maisha ya watu wa kipato cha chini ni ngumu sana kumkuta mtu wa kipato cha chini ana tatoo mwilini na kipini puani.

Screenshot_20230204-083456.png

............................................................

4. MTU KUCHEKA KWENYE TUKIO LA KUSHTUA.

Ukitazama vizuri dakika ya ( 2: 14).

kipande ambacho diamond anaenda kumuokoa zuwena alivyokuwa anataka kubakwa.

kuna jamaa mmoja kati ya wale wabakaji wanne kuna jamaa kavaa koti jeusi na suruali nyeupe. wakati wenzake wameshituka mmoja anapandisha suruali fasta fasta yeye alikuwa anamtazama mwenzake anayepandisha suruali huku akicheka.

IMG-20230205-WA0000.jpg

..............................................................

5. MATANGAZO YA MAKAMPUNI MBALIMBALI .

Mwaka 2012 Ronaldinho Gaucho alifutiwa mkataba na company ya Cocacola baada ya kuonekana chupa za Pepsi kwenye mkutano wake na waandishi wa habari.

7416385200_c2a8421666_z.jpeg


kuonekana chupa ya soda ya Pepsi. ila habari za Ronaldinho tuachane nazo.

Kila mtu anajua kuwa Diamond ukiachana na kujishusisha na sekta ya muziki lakini pia ni Company ambassador wa company mbalimbali.

sasa sijajua kuwa diamond ana mkataba na kampuni mbalimbali zilizoonekana kwenye video yake.

Dakika ya (1:00) Yanaonekana madish mawili ya Azam Tv juu ya mabanda yanayouza nguo.

Screenshot_20230203-224401.png


Dakika ya ( 2: 06) linaonekana tangazo la TTCL na DOUBLEMINT
Screenshot_20230204-075913.png


Dakika ya ( 2: 10 ) Diamond anaonekana anandesha pikipiki ya kutoka company ya TOYO.
Screenshot_20230204-075845.png


Dakika ya ( 2: 12) hadi dakika ya 2: 22) akiwa kaingia kumuokoa zuwena na anatoka pia yanaoenaka maboksi ya company ya MSAFI, KASUKU na JUMBO

Screenshot_20230204-074314.png


Dakika ya ( 3: 33) akiwa bar anaimba kwa mbali yanaonekana mafriji ya Coca-cola wakati kila mtu anajua diamond ni Ambassador wa Pepsi.

Screenshot_20230203-224945.png

....................................

6. KUONEKANA KWA NEMBO YA SERENGETI LAGER.

Uwenda point hii isiwe na nguvu sana ila point hii ndio inaweza ukaipa nguvu zaidi point namba 5 kuonekana kwa matangazo mbalimbali ya makampuni mbalimbali.

ukitazama bar watu wote walikuwa wanakunywa bia ambazo zilikuwa hazina utambulisho wa nembo kuwa ni bia za aina gani na zinatokea kampuni gani.

hii yote ilikuwa kutoonesha nembo ya kampuni ambayo diamond ana ubalozi nayo.

ila dakika ya ( 3:50) kuna kosa lilifanyika kuna muhudumu anatembea na chupa za bia. kuna chupa mmoja inaaonekana na nembo la SERENGETI LAGER.

IMG-20230205-WA0002.jpg

_____________________________________


Lengo la kuandika uzi huu sio kukosoa na kuishusha hadhi video ya msanii husika ila ni kukumbusha uwepo umakini zaidi kwa waongozi ( Madirector).

Nadhani Msanii husika hana kosa katimiza wajibu wake kwa asilimia kubwa sana kaimba nyimbo kali lakini pia ka act vizuri sana kwenye video kwa maelekezo ya director.
 
Kwangu hakuna tatizo kama mtazamaji

Wamasai tunao mtaani wana vaa vyema na kiduku juu, lakini haiondoi umasai wao

Hayo mabango na matangazo hayana shida

Yawezekana hana mikataba na hayo makampuni kwa sasa (mikataba imeisha)
Au mkataba ni unapo kuwa wapi?

Mfano messi ana mkataba na addidas lakini ana vaa Jedi ya timu yake ni Nike au kappa, fila. Hivyo sio kila mkataba una kuelekeza uwe wa maisha yako yote kwa kila kitu

Kitu kikubwa wanacho angalia hayo matangazo yasiende kuleta shida pale wanapo peleka hizi video zao ktk maTV makubwa huko, ndio maana una kuta kuna muda usipo fanya hivyo wana edit video yako ili waweze kuicheza, maana hawawezi kukutangazia biashara Au kuna aina ya bidhaa zina restriction ktk baadhi ya nchi na kwa lika fulani kwa wakati fulani
 
Imechambuliwa na kuandikwa na Ally Nassor Px .

Tarehe 5 February 2023.

Sehemu ya kwanza kuipost ni hapa JF sehemu ya pili itakuwa ni Facebook na mwisho kabisa nitamalizia Twitter.

...........................................................


Video imetoka juzi Tarehe 4 mwezi wa pili mwaka 2023.

Saa 4 kamili asubuhi.

ikiwa imeongozwa na director ivan.

mpaka sasa tarehe 5 mwezi wa pili 2023 video hii ina jumla ya watazamaji
Milioni 2.4

nilichopenda kwenye video ya zuwena ni video ambayo inaonesha uhalisia wa kinachoimbwa na ningependa kuoana zaidi na zaidi video zenye uhalisia na kile kinachoimbwa inawezekana kikatutambulisha jamii ya watanzania kirahisi kwa jamii nyingine.

Twende moja kwa moja kwenye uchambuzi wa video yenyewe.

video ni kali sana kwa upande wangu naipa rate ya 8 / 10. kuna baadhi ya makosa ya ufundi yalionekana kwenye video lakini hauwezi kuyaona mpaka utulie ila mimi nataka nikuoneshe.

..........................................................
1. MMASAI WA BANDIA

Mwanzo wa video sekunde ya 33 ( 00:33).

anaonekana jamaa wenye asili ya kimasai akikimbiza punda wawili.

ila kama utakuwa makini utangundua kuwa yule sio Mmasai halisi. wakati mmasai halisi alikuwepo kwenye video alionekana alipiga gitaa mwanzo kabisa Sekunde ya 3 ( 00: 03).
View attachment 2506707

mmasai aliyekuwa akikimbiza punda alionekana wa kutengeneza ukitazama alikuwa kavaa soksi chini na buti la Timberland (rangi ya bagia ).

View attachment 2506684
...............................................................

2. MUHUSIKA MMOJA KUOENEKANA SEHEMU MBILI TOFAUTI.

Ukitazama video sekunde ya 46 ( 00: 46).

kuna mzee utamuona alikuwa anasoma urithi. na inajulikana siku zote mtu ambaye anapewa jukumu la kusoma urithi ni mtu wenye heshima zake na anaaminiwa sana.

Sasa ukitazama video ya zuwena utamuona yule mzee aliyekuwa anasoma hosia wa urithi.

aonekana akiwa bar anamtunza zuwena alivyokuwa anacheza juu ya meza dakika ya (1 : 40).

View attachment 2506687

View attachment 2506688
...............................................................

3. TATOO ZA DIAMOND NA KIPINI PUANI.

Inawezekana ni ngumu sana kumpiga diamond make up ambayo itaficha tattoo zake. ila inaonesha director alisahau pia ata kumwambia diamond atoe japo kile kipini chake pale puani mwanzo mpaka mwisho wa video diamond anaonekana na kipini puani.

kumbuka video imebeba uhalisia wa maisha ya watu wa kipato cha chini ni ngumu sana kumkuta mtu wa kipato cha chini ana tatoo mwilini na kipini puani.

View attachment 2506689
............................................................

4. MTU KUCHEKA KWENYE TUKIO LA KUSHTUA.

Ukitazama vizuri dakika ya ( 2: 14).

kipande ambacho diamond anaenda kumuokoa zuwena alivyokuwa anataka kubakwa.

kuna jamaa mmoja kati ya wale wabakaji wanne kuna jamaa kavaa koti jeusi na suruali nyeupe. wakati wenzake wameshituka mmoja anapandisha suruali fasta fasta yeye alikuwa anamtazama mwenzake anayepandisha suruali huku akicheka.

View attachment 2506691
..............................................................

5. MATANGAZO YA MAKAMPUNI MBALIMBALI .

Mwaka 2012 Ronaldinho Gaucho alifutiwa mkataba na company ya Cocacola baada ya kuonekana chupa za Pepsi kwenye mkutano wake na waandishi wa habari.

View attachment 2506692

kuonekana chupa ya soda ya Pepsi. ila habari za Ronaldinho tuachane nazo.

Kila mtu anajua kuwa Diamond ukiachana na kujishusisha na sekta ya muziki lakini pia ni Company ambassador wa company mbalimbali.

sasa sijajua kuwa diamond ana mkataba na kampuni mbalimbali zilizoonekana kwenye video yake.

Dakika ya (1:00) Yanaonekana madish mawili ya Azam Tv juu ya mabanda yanayouza nguo.

View attachment 2506693

Dakika ya ( 2: 06) linaonekana tangazo la TTCL na DOUBLEMINT
View attachment 2506697

Dakika ya ( 2: 10 ) Diamond anaonekana anandesha pikipiki ya kutoka company ya TOYO.
View attachment 2506698

Dakika ya ( 2: 12) hadi dakika ya 2: 22) akiwa kaingia kumuokoa zuwena na anatoka pia yanaoenaka maboksi ya company ya MSAFI, KASUKU na JUMBO

View attachment 2506701

Dakika ya ( 3: 33) akiwa bar anaimba kwa mbali yanaonekana mafriji ya Coca-cola wakati kila mtu anajua diamond ni Ambassador wa Pepsi.

View attachment 2506702
....................................

6. KUONEKANA KWA NEMBO YA SERENGETI LAGER.

Uwenda point hii isiwe na nguvu sana ila point hii ndio inaweza ukaipa nguvu zaidi point namba 5 kuonekana kwa matangazo mbalimbali ya makampuni mbalimbali.

ukitazama bar watu wote walikuwa wanakunywa bia ambazo zilikuwa hazina utambulisho wa nembo kuwa ni bia za aina gani na zinatokea kampuni gani.

hii yote ilikuwa kutoonesha nembo ya kampuni ambayo diamond ana ubalozi nayo.

ila dakika ya ( 3:50) kuna kosa lilifanyika kuna muhudumu anatembea na chupa za bia. kuna chupa mmoja inaaonekana na nembo la SERENGETI LAGER.

View attachment 2506703
_____________________________________


Lengo la kuandika uzi huu sio kukosoa na kuishusha hadhi video ya msanii husika ila ni kukumbusha uwepo umakini zaidi kwa waongozi ( Madirector).

Nadhani Msanii husika hana kosa katimiza wajibu wake kwa asilimia kubwa sana kaimba nyimbo kali lakini pia ka act vizuri sana kwenye video kwa maelekezo ya director.
Kisekta unaitwa Curator. Yaani unaweza kuijadili kazi na concept ya sanaa in a way ya kumsaidia creator wa content ya sanaa kufanya vizuri zaidi.

Nimesoma kila neno na nimejiridhisha umeotendea haki video ya Zuwena.

Kwa ushauri wangu nadhani itakuwa busara wasanii wanapotoa video na filamu zao wawaalike critiquers kabla hawajazitoa ili waweze kushauri au kukosoa kazi zao. Hili linafanyika duniani kwa ufanisi mkubwa.
 
Kwangu hakuna tatizo kama mtazamaji

Wamasai tunao mtaani wana vaa vyema na kiduku juu, lakini haiondoi umasai wao

Hayo mabango na matangazo hayana shida

Yawezekana hana mikataba na hayo makampuni kwa sasa (mikataba imeisha)
Au mkataba ni unapo kuwa wapi?

Mfano messi ana mkataba na addidas lakini ana vaa Jedi ya timu yake ni Nike au kappa, fila. Hivyo sio kila mkataba una kuelekeza uwe wa maisha yako yote kwa kila kitu

Kitu kikubwa wanacho angalia hayo matangazo yasiende kuleta shida pale wanapo peleka hizi video zao ktk maTV makubwa huko, ndio maana una kuta kuna muda usipo fanya hivyo wana edit video yako ili waweze kuicheza, maana hawawezi kukutangazia biashara Au kuna aina ya bidhaa zina restriction ktk baadhi ya nchi na kwa lika fulani kwa wakati fulani
Messi kuvaa jezi ya nike wakati yeye ni balozi wa Adidas.


hiyo ipo tofauti kidogo kwa sababu team ndio inakuwa imefunga mkataba na kampuni ( NIKE) na mchezaji ni mali ya team.

ubalozi wa mchezaji husika unaanzia pale nje ya uwanja na kile kitu alichoingia nacho udhamini na bidhaa zote za kampuni hiyo mfano messi ni balozi wa Adidas uwanjani katika eneo la kiatu siku akivaa kiatu cha NIKE uwanjani hapo wanaweza kumshitaki.

hata Ronaldinho 2012 kwenye press alikuwa anatambulishwa kwenye club ya ATLETICO MINEIRO ambayo ilikuwa na mkataba na pepsi lakini.

ni kosa kwa mchezaji pia kuonekana na product ya kampuni nyingine ambayo ana udhamini nayo .
 
Kisekta unaitwa Curator. Yaani unaweza kuijadili kazi na concept ya sanaa in a way ya kumsaidia creator wa content ya sanaa kufanya vizuri zaidi.

Nimesoma kila neno na nimejiridhisha umeotendea haki video ya Zuwena.

Kwa ushauri wangu nadhani itakuwa busara wasanii wanapotoa video na filamu zao wawaalike critiquers kabla hawajazitoa ili waweze kushauri au kukosoa kazi zao. Hili linafanyika duniani kwa ufanisi mkubwa.
pamoja sana mkuu 🤝🤝🤝🤝 video inatakiwa utazamwe mara nyingi zaidi kabla haijaachiwa mitandaoni
 
Messi kuvaa jezi ya nike wakati yeye ni balozi wa Adidas.


hiyo ipo tofauti kidogo kwa sababu team ndio inakuwa imefunga mkataba na kampuni ( NIKE) na mchezaji ni mali ya team.

ubalozi wa mchezaji husika unaanzia pale nje ya uwanja na kile kitu alichoingia nacho udhamini na bidhaa zote za kampuni hiyo mfano messi ni balozi wa Adidas uwanjani katika eneo la kiatu siku akivaa kiatu cha NIKE uwanjani hapo wanaweza kumshitaki.

hata Ronaldinho 2012 kwenye press alikuwa anatambulishwa kwenye club ya ATLETICO MINEIRO ambayo ilikuwa na mkataba na pepsi lakini.

ni kosa kwa mchezaji pia kuonekana na product ya kampuni nyingine ambayo ana udhamini nayo .
Ubalozi una anzia nje ya uwanja? Kwahiyo anaweza kuvaa viatu aina ya Nike Au puma na kusakata kabumbu?
 
Ubalozi una anzia nje ya uwanja? Kwahiyo anaweza kuvaa viatu aina ya Nike Au puma na kusakata kabumbu?
ki mkataba ni kosa maana yake anatangaza bidhaa nyingine ya kampuni pinzani.

yani ni sawa na customer care wa Airtel awaambie raia Halotel ndo wana vifurushi vya bei rahisi sana.

ayo maneno ayatoe mbele ya mkurugenzi mkuu wa Airtel
 
Hapo shida ipo cocacola maana mondi ni ambassador wa Pepsi
 
Back
Top Bottom