Makosa matano yaliyoonekana kwenye video ya muziki ya Zuwena ya msanii Diamond Platinumz

kua mchawi sio mpaka ubebe matunguli ama uvae kaniki hiki unacho kifanya ni uchawi na majungu bwana mdogo
nime pitia thread zako za humu jf sijaona hata moja uliyo wahi kueleza mazuri ya Diamond zaidi tu unaleta ujuaji mwiingi wa kuchambua video yake ajabu n kua kabla ya hii video kutoka kuna video za wasanii mbali mbali ambazo pia zili tangulia kutoka je hazikua na makosa?
maana sijaona popote ulipo chambua alafu pia diamond ni kama maji alisha waambia mna mchukia lakin haishi midomoni mwenu playlist zenu zime jamaa nyimbo zake

Ujuaji mwiiingi kumbe ni mabogas empty head kabisa
Pambafff wewe
 
Sasa hii nalo balaa.

kwani Mwamba kachili kile kipindi chake cha banda la video kina dhamira gani .

majungu , entertainment au kuelimisha madirector juku ya umakini wakiwa eneo lao la kazi.

nasubiri jibu lako ZUWENA
 
Nimeipenda hii na nadhani wewe ni mmoja wa ulieelewa zaidi hii lengo la hii threads
 
Mchambuzi chambua hii....Leo ni Tarehe 5...juzi ilikuwa Tarehe 4..
je..? Jana ilikuwa Tarehe ngapi..

Au sijaelewa...maana nimesoma huu uzi kidogo sana.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mwamba bado ataendelea kuwatesa , angalia ushauri wa kiujumla huna lengo jema, ushauri wa kimaudhui ungekuwa na ushauri wa kiujumla na sio ushauri kwa Kivuli cha chuki na wivu, na takwimu za 2.4M ni wivu wa kaburi lako mwenyewe. it was 5+M
 
Kwahiyo wenye busara hawaendi bar wala hawapokei mialiko ya sherehe ili wasikutane na machangudoa sio
kukutana na changudoa ni moja kuanza kumtunza changudoa ni la pili.

mfano wewe kukutana na shoga kwenye mizunguko yako hilo sio kosa la kwa maadili yetu ya kitanzania.

ila kumchukua na kumpa pesa kwa lengo la kwenda kumzagamua hilo ni kosa kwa maadili yetu
 
Mwamba bado ataendelea kuwatesa , angalia ushauri wa kiujumla huna lengo jema, ushauri wa kimaudhui ungekuwa na ushauri wa kiujumla na sio ushauri kwa Kivuli cha chuki na wivu, na takwimu za 2.4M ni wivu wa kaburi lako mwenyewe. it was 5+M


wewe macho na akili zako zipo tarehe 12 ya mwezi wa pili 2023 sio leo tar 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…