Makosa matano yaliyoonekana kwenye video ya muziki ya Zuwena ya msanii Diamond Platinumz

Badilisha simu yako upo Juba wasafi inaburuza washamba wote
😁😁😁 kumbe unaleta ushabiki sasa hapa sheikh hatuengelei ushabiki tunaongelea swala la uhalisia na ukweli.

sasa hapa itakuwa ngumu kunielewa na mimi itakuwa ngumu kukuelewa kwa sababu tuongea lugha mbili tofauti
 
Mkuu.. busara ni matumizi ya akili katika kutoa maamuzi... Kama huna akili hizo ata ushinde kwenye nyumba za ibada bado hutakuwa nazo tu....
Nenda vijijini kaone wazee wa kimila wale.. jioni huwa wanalewa tu lkn wakiwa fit wanatoa maamuzi sahihi...
 
Mkuu.. busara ni matumizi ya akili katika kutoa maamuzi... Kama huna akili hizo ata ushinde kwenye nyumba za ibada bado hutakuwa nazo tu....
Nenda vijijini kaone wazee wa kimila wale.. jioni huwa wanalewa tu lkn wakiwa fit wanatoa maamuzi sahihi...
kulewa ni starehe ikiwa haumkeri mtu na wala haufanyi matendo ya ovyo

ukifanikiwa kudhjbiti starehe yako usilete kero kwa wengine/ na wala hauvunji maadili ya jamii yako hapo lazima utaonekana na unazo busara.

wazee wa mila wanapiga mbege, ulanzi, mnazi, wanzuki na pombe za aina kibao lakini je wananunua wanawake wanaojiuza au ayo matendo ambayo yanakazwa na jamii yao wanayafanya mbele za watu wengi ( watu wawili na kuendelea).

kama vile mitaa , hospital , mashuleni au hata eneo kama bar
 
😁😁😁 kumbe unaleta ushabiki sasa hapa sheikh hatuengelei ushabiki tunaongelea swala la uhalisia na ukweli.

sasa hapa itakuwa ngumu kunielewa na mimi itakuwa ngumu kukuelewa kwa sababu tuongea lugha mbili tofauti
Iendike tena shekhe bila kisa mafunzo cha wimbo wetu, andika katika namna elimishi bila ainisho hili, umetukwaza, kwa nini wimbo huu tu?
 
Iendike tena shekhe bila kisa mafunzo cha wimbo wetu, andika katika namna elimishi bila ainisho hili, umetukwaza, kwa nini wimbo huu tu?
sio wimbo huu tu wowote ule wa msanii yeyote yule utakao kuja nitaundikia.

sasa kama mutakasirika pia litakuwa sio kosa langu hilo ni kosa lenu
 

Comment yako ndio comment yangu...
 
Umetisha bro
 
Mkuu uko vizuri sana,umechambua Kwa ufasaha,umakini na usahihi Kwa asilimia kadhaa.Hongera kwako!

Ila hiyo ni Moja ya sanaa ya msanii natambua imefanywa na msanii makini,mwenye intelligencia kubwa sana kwenye sanaa yake.

Siyo kwamba hawajui walichokifanya! lahasha wanatambua kira kitu na wanajua Nini wananafanya.

Kwakuwa ni wasanii hivyo wanaweka na kausanii kidogo kwenye kazi zao Ili kuwapa nafasi watu kama ninyi Ili kuipa nafasi kazi Yao iweze kufuatiliwa na watu wengi zaidi (uwenda ndiyokitengo chako.!..utani tu)

Kwasababu wapo watu wataofuatialia jambo Baada yakusikia/kuona kasoro Fulani Kwa lengo la kukosoa mbele ya safari Yao,Lakini pia Kuna watu ambao wanafuatilia jambo Baada ya kisikia/kuona Uzuri wa kazi na lengo ni kupata ushaidi wakwenda kuongelea kubishania mbele ya safari.

Hivyo Dai ni mtu mjanja na mwenye akili kubwa sana,hivyo usishangae akawa anaitaji kuongeza Idadi ya watazamaji kupitia Kwa watu waaina zote(wakosoaji na wanaomkubari).

Lengo kuu la msanii ni kupata fedha Kwanjia ya sana yake mkuu.Hivyo Kuna uwezekano mkubwa wayeye wakujua Yale yanayo hitajika Dunia iliyoendelea katika kazi yake.
 
Hongera Sana mkuu kwa uchambuzi wako mzuri, hakika umeitendea Hali Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…