LGE2024 Makosa Matatu ya Mdude Nyagali: Kujeruhi, Matusi na Kuvuruga Uchaguzi, Wakili Boniface Mwabukusi kumtetea

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Haya ndiyo yatavunja heshima ya rais wa TLS, kukaa desk moja na wahuni ambao wanatakiwa kuchapwa bakora kwa utovu wa nidhamu, nashauri atume wakili mwingine!
Mhuni ni wewe unaetetea mafisadi na wezi wa mali za umma.
 
Binafsi huwa sioni mchango wa Mdude kwenye chama, ni mtu anaetaka kukaa kwenye akili za watu kwa matukio yasiyokua na umuhimu.

Nadhani hata uongozi wa chama pia hauoni umuhimu wake, zaidi ni yeye anaejishikiza kwenye shughuli za chama.

Ndio maana hata mawakili wa chama hawajataka kujisumbua kwenda kumtetea.
 
Ulijuaje? Uletewe picha Mbowe akiwa mahakamani ktk kesi ya Mdude?
 
Definition ya uhuni ni pana. Inawezekana na wewe ukaingia kundi hilo hilo
Ningelikuwa na mamlaka watu wa aina hii, wabovu wa adabu, adhabu yao ingekuwa bakora tu, maana wamechagua - utoto tundu - hawako kwenye ualifu wa kuhatarisha nchi kiasi labda watekwe ni viboko tu.
 
Huyu paka abakie huko huko maana uhuru wake wa kutoa maoni kageuza ni uhuru wa kutukana viongozi na kujeruhi watu.

Kichwa cha Mdude_Nyagali hakina akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…