Makosa tunayo fanya wazazi kwa watoto wetu ni kutowapa ufahamu wa kutosha tangu wakiwa wadogo

Makosa tunayo fanya wazazi kwa watoto wetu ni kutowapa ufahamu wa kutosha tangu wakiwa wadogo

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Ufahamu wa mtoto tangu akiwa mdogo anaanza kuongea ni kama bank account, unachohifadhi ndicho unachovuna. Watoto wakianza kuongea wanakua na maswali mengi, hii ni asili yao ya kutaka kufahamu dunia.

Usichoke kumfahamisha mazingira anayo ishi. Ukiamka asubuhi akikuuliza unakwenda wapi mueleze kwa ufasaha kwa kiwango cha uelewa wake kuwa ni lazima uwende unakokwenda ili upate pesa. Mueleze faida ya kazi unayofanya na jinsi inavyosaidia jumuia. Hata kama unapika maandazi, mueleze umuhimu wa unachofanya.

Watoto wanaopata maarifa mapema inawasaidia kuwa wasadadisi zaidi na huelewa mambo mengi. Kuongea na kuwafahamisha watoto pia kunawajengea ujasiri wa maisha.

Mtoto akiharibu simu, ipad au remote control, usimpige. Mueleze umuhimu wa kifaa na shida mtakayo pata kikiharibika. Vitu vyako vya muhimu jaribu kuviweka mbali lakini akikukuta unanyoa ndevu mueleweshe kifaa unachotumia na umuhimu wake. Sisi wakina mama make up zetu tuweke mbali na ukipaka akikuona na akitaka kufahamu mueleweshe.

Kuzaa si kazi kazi kulea.
 
Mbona Mwendazake alitengua/hakuendelea na timu ya JK?!

Tatizo lenu mlimuina Shujaa wenu kuwa ni MUNGU, zaidi mkalishwa matango pori na kina kabudi na waabudu wengineo..

Hivyo basi maamuma/wajinga na wanyonge mnaona la shujaa mwendazake ni suala linalopaswa kufuatwa kwa akili zenu na kila mtu.
Pita kuleee mjomba, huku umepotea njia
 
Mpe muda wa kucheza na watoto wa umri wake. Ukiwa nae kuwe na physical activities kama mshindani kukimbia, kuhesabu vitu au kuimba.
Haelewi yaani hapa analia tu anataka simu
Siwezi hata kupumua
IMG_20220109_153504_4.jpg
 
Mbona Mwendazake alitengua/hakuendelea na timu ya JK?!

Tatizo lenu mlimuona Shujaa wenu kuwa ni MUNGU, zaidi mkalishwa matango pori na kina kabudi na waabudu wengineo..

Hivyo basi maamuma/wajinga na wanyonge mkaona la shujaa mwendazake ni suala linalopaswa kufuatwa kwa akili zenu na kila mtu.
Poor TAGAS
Hivi mdogo wangu unamatatizo gani lakini unachanganya mambo?
 
Ufahamu wa mtoto tangu akiwa mdogo anaanza kuongea ni kama bank account, unachohifadhi ndicho unachovuna. Watoto wakianza kuongea wanakua na maswali mengi, hii ni asili yao ya kutaka kufahamu dunia.

Usichoke kumfahamisha mazingira anayo ishi. Ukiamka asubuhi akikuuliza unakwenda wapi mueleze kwa ufasaha kwa kiwango cha uelewa wake kuwa ni lazima uwende unakokwenda ili upate pesa. Mueleze faida ya kazi unayofanya na jinsi inavyosaidia jumuia. Hata kama unapika maandazi, mueleze umuhimu wa unachofanya.

Watoto wanaopata maarifa mapema inawasaidia kuwa wasadadisi zaidi na huelewa mambo mengi. Kuongea na kuwafahamisha watoto pia kunawajengea ujasiri wa maisha.

Mtoto akiharibu simu, ipad au remote control, usimpige. Mueleze umuhimu wa kifaa na shida mtakayo pata kikiharibika. Vitu vyako vya muhimu jaribu kuviweka mbali lakini akikukuta unanyoa ndevu mueleweshe kifaa unachotumia na umuhimu wake. Sisi wakina mama make up zetu tuweke mbali na ukipaka akikuona na akitaka kufahamu mueleweshe.

Kuzaa si kazi kazi kulea.
Kweli kabisa umeongea nimejifunza kitu
 
Haelewi yaani hapa analia tu anataka simu
Siwezi hata kupumua View attachment 2074752
Michezo ni lugha universal ya watoto, ukimuweka na watoto wa umri wake wacheze atasahau simu. Watoto hata wa Kijapan, Kiafrika na Kiarabu wakikutana mradi wawe umri mmoja watacheza pasi kuelewa a lugha. Michezo inasaidia sana watoto.
 
Kweli tupu. Pia umenikumbusha juu ya mtu fulani nilimuuliza swali dogo tu baada ya kupewa taarifa kuwa kamzuia mwenzake kuendelea na kazi yake aliyopewa na mamlaka ya juu yake.

Ile kumuuliza tu "ni kweli umemzuia fulani ku...", jamaa alipaniki na kutoa majibu ya ajabu ajabu yasiyoendena na swali husika na ndipo nikaona shida malezi aliyokulia pamoja na shule alizosoma-hazikumjengea uwezo wa jusikiliza wala kujieleza.

Cha kuongeza hapo watoto wajengewe uwezo wa kujiamini, kusikiliza na kujieleza hata kama watapigwa mvua ya maswali wachomoke mithiri ya mbwa 🐕 anayekatisha kwenye bwawa la maji.
 
Michezo ni lugha universal ya watoto, ukimuweka na watoto wa umri wake wacheze atasahau simu. Watoto hata wa Kijapan, Kiafrika na Kisomali wakikutana mradi wawe umri mmoja watacheza pasi kuelewa a lugha. Michezo inasaidia sana watoto.
Sasa huku mjini atacheza na nani kila MTU kwake dear?? Nitafutie MTU nizae nae basi
 
Back
Top Bottom