Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 2,012
- 5,571
Suti ni vazi la heshima sana na linamfanya mtu kuonekana maridadi sana lakini ukikosea kuvaa suti waweza kuwa kituko. A traditional suit ya mwanaume inajumuisha shati, koti, tai na suruali.
Zifuatazo ni tip za ku-coordinate vitu hvyo vema kabisa ili kupata muonekano maridhawa.
Hii tip hata jirani yangu hapa ofisini inamhusu. Msivae vest za kukaba koo jamani. Haivutii vest kuchomoza kwa nje ya shati lako.
Tai isiwe ndefu sana kupita mkanda au fupi sana. Ikiwa iishie usawa wa mkanda wako. Rangi za tai pia jamani muwe mnaangalia, ingawa najua wengi wenu ni color blind!
Kuonesha brand sio issue. Nguo quality utaijua tu kwa material yake.
Hapa wale ndugu zetu mashabiki wa 'Waaaasaaaafiiiiii' au wale wazee wa Sigda usoni hawawezi kuelewa ila kuonesha vijiguu vyako chini ya trouser sio kabisa. Pia kuvaa msulupwete unalegea huku chini ndo worse. Vaa length nzuri isiyoburuza chini na wala isiexpose soksi zako.
Nawatakia Alhamisi njema, Nawapenda woote!
Zifuatazo ni tip za ku-coordinate vitu hvyo vema kabisa ili kupata muonekano maridhawa.
Hii tip hata jirani yangu hapa ofisini inamhusu. Msivae vest za kukaba koo jamani. Haivutii vest kuchomoza kwa nje ya shati lako.
Tai isiwe ndefu sana kupita mkanda au fupi sana. Ikiwa iishie usawa wa mkanda wako. Rangi za tai pia jamani muwe mnaangalia, ingawa najua wengi wenu ni color blind!
Kuonesha brand sio issue. Nguo quality utaijua tu kwa material yake.
Hapa wale ndugu zetu mashabiki wa 'Waaaasaaaafiiiiii' au wale wazee wa Sigda usoni hawawezi kuelewa ila kuonesha vijiguu vyako chini ya trouser sio kabisa. Pia kuvaa msulupwete unalegea huku chini ndo worse. Vaa length nzuri isiyoburuza chini na wala isiexpose soksi zako.
Nawatakia Alhamisi njema, Nawapenda woote!