Makosa ya kuepuka katika uvaaji wako wa suti

Makosa ya kuepuka katika uvaaji wako wa suti

2.jpg
Wewe mchokozi ujue....
 
Suti ni vazi la heshima sana na linamfanya mtu kuonekana maridadi sana lakini ukikosea kuvaa suti waweza kuwa kituko. A traditional suit ya mwanaume inajumuisha shati, koti, tai na suruali.

Zifuatazo ni tip za ku-coordinate vitu hvyo vema kabisa ili kupata muonekano maridhawa.

View attachment 432134

Hii tip hata jirani yangu hapa ofisini inamhusu. Msivae vest za kukaba koo jamani. Haivutii vest kuchomoza kwa nje ya shati lako.

View attachment 432135

Tai isiwe ndefu sana kupita mkanda au fupi sana. Ikiwa iishie usawa wa mkanda wako. Rangi za tai pia jamani muwe mnaangalia, ingawa najua wengi wenu ni color blind!

View attachment 432137


Kuonesha brand sio issue. Nguo quality utaijua tu kwa material yake.

View attachment 432139

Hapa wale ndugu zetu mashabiki wa 'Waaaasaaaafiiiiii' au wale wazee wa Sigda usoni hawawezi kuelewa ila kuonesha vijiguu vyako chini ya trouser sio kabisa. Pia kuvaa msulupwete unalegea huku chini ndo worse. Vaa length nzuri isiyoburuza chini na wala isiexpose soksi zako.

Nawatakia Alhamisi njema, Nawapenda woote!

Bravo, tunataka post kama hizi
 
Suti ni vazi la heshima sana na linamfanya mtu kuonekana maridadi sana lakini ukikosea kuvaa suti waweza kuwa kituko. A traditional suit ya mwanaume inajumuisha shati, koti, tai na suruali.

Zifuatazo ni tip za ku-coordinate vitu hvyo vema kabisa ili kupata muonekano maridhawa.

View attachment 432134

Hii tip hata jirani yangu hapa ofisini inamhusu. Msivae vest za kukaba koo jamani. Haivutii vest kuchomoza kwa nje ya shati lako.

View attachment 432135

Tai isiwe ndefu sana kupita mkanda au fupi sana. Ikiwa iishie usawa wa mkanda wako. Rangi za tai pia jamani muwe mnaangalia, ingawa najua wengi wenu ni color blind!

View attachment 432137


Kuonesha brand sio issue. Nguo quality utaijua tu kwa material yake.

View attachment 432139

Hapa wale ndugu zetu mashabiki wa 'Waaaasaaaafiiiiii' au wale wazee wa Sigda usoni hawawezi kuelewa ila kuonesha vijiguu vyako chini ya trouser sio kabisa. Pia kuvaa msulupwete unalegea huku chini ndo worse. Vaa length nzuri isiyoburuza chini na wala isiexpose soksi zako.

Nawatakia Alhamisi njema, Nawapenda woote!
Huwa kuna mtangazaji moja hivi wa KITUO flani cha television, sijui nini nini..... "Brand", huyo jamaa huwa anapenda sana kutangaza taarifa za biashara. NAOMBA TAFADHALI SANA SANA SANA huu uzi umfikie kama ulivyo pasipo chenga.
 
img-20161004-wa0002-jpg.432137


Hapo ndio huwa najiuliza au kuna watu wanaazima hizo nguo wanatakiwa wazirudishe baadae dukani?
Inakuwaje unatembea na label? Kuna ingine ameisahau kidogo hizi suti zinakuja hazijafumuliwa mifuko ya koti, wengine wanaicha hivyo hivyo....

ushamba ni ugonjwa mbaya sana
 
Picha ya kwanza ya kuonesha Vest inamuhusu kiongozi mkubwa sana nchi hii. Nimemuona mara mbili vest yake imechomoza kwa juu!
Yule mshamba tu..!
Ah..sory! Unamaanisha kiongozi mkubwa..kumbe nilikurupuka nikajua jamaa flani hivi.!
 
Picha ya kwanza ya kuonesha Vest inamuhusu kiongozi mkubwa sana nchi hii. Nimemuona mara mbili vest yake imechomoza kwa juu!
Nimecheka kwa sauti nilivyosoma comment yako looh
 
Back
Top Bottom