Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa....Jamani!Mkuu kama bado unakua hutakiwi kuwa jf
Suti ni vazi la heshima sana na linamfanya mtu kuonekana maridadi sana lakini ukikosea kuvaa suti waweza kuwa kituko. A traditional suit ya mwanaume inajumuisha shati, koti, tai na suruali.
Zifuatazo ni tip za ku-coordinate vitu hvyo vema kabisa ili kupata muonekano maridhawa.
View attachment 432134
Hii tip hata jirani yangu hapa ofisini inamhusu. Msivae vest za kukaba koo jamani. Haivutii vest kuchomoza kwa nje ya shati lako.
View attachment 432135
Tai isiwe ndefu sana kupita mkanda au fupi sana. Ikiwa iishie usawa wa mkanda wako. Rangi za tai pia jamani muwe mnaangalia, ingawa najua wengi wenu ni color blind!
View attachment 432137
Kuonesha brand sio issue. Nguo quality utaijua tu kwa material yake.
View attachment 432139
Hapa wale ndugu zetu mashabiki wa 'Waaaasaaaafiiiiii' au wale wazee wa Sigda usoni hawawezi kuelewa ila kuonesha vijiguu vyako chini ya trouser sio kabisa. Pia kuvaa msulupwete unalegea huku chini ndo worse. Vaa length nzuri isiyoburuza chini na wala isiexpose soksi zako.
Nawatakia Alhamisi njema, Nawapenda woote!
hahahahahahahaahhhahahahahhaah
Huwa kuna mtangazaji moja hivi wa KITUO flani cha television, sijui nini nini..... "Brand", huyo jamaa huwa anapenda sana kutangaza taarifa za biashara. NAOMBA TAFADHALI SANA SANA SANA huu uzi umfikie kama ulivyo pasipo chenga.Suti ni vazi la heshima sana na linamfanya mtu kuonekana maridadi sana lakini ukikosea kuvaa suti waweza kuwa kituko. A traditional suit ya mwanaume inajumuisha shati, koti, tai na suruali.
Zifuatazo ni tip za ku-coordinate vitu hvyo vema kabisa ili kupata muonekano maridhawa.
View attachment 432134
Hii tip hata jirani yangu hapa ofisini inamhusu. Msivae vest za kukaba koo jamani. Haivutii vest kuchomoza kwa nje ya shati lako.
View attachment 432135
Tai isiwe ndefu sana kupita mkanda au fupi sana. Ikiwa iishie usawa wa mkanda wako. Rangi za tai pia jamani muwe mnaangalia, ingawa najua wengi wenu ni color blind!
View attachment 432137
Kuonesha brand sio issue. Nguo quality utaijua tu kwa material yake.
View attachment 432139
Hapa wale ndugu zetu mashabiki wa 'Waaaasaaaafiiiiii' au wale wazee wa Sigda usoni hawawezi kuelewa ila kuonesha vijiguu vyako chini ya trouser sio kabisa. Pia kuvaa msulupwete unalegea huku chini ndo worse. Vaa length nzuri isiyoburuza chini na wala isiexpose soksi zako.
Nawatakia Alhamisi njema, Nawapenda woote!
![]()
Hapo ndio huwa najiuliza au kuna watu wanaazima hizo nguo wanatakiwa wazirudishe baadae dukani?
Inakuwaje unatembea na label? Kuna ingine ameisahau kidogo hizi suti zinakuja hazijafumuliwa mifuko ya koti, wengine wanaicha hivyo hivyo....
Yule mshamba tu..!Picha ya kwanza ya kuonesha Vest inamuhusu kiongozi mkubwa sana nchi hii. Nimemuona mara mbili vest yake imechomoza kwa juu!
Picha ya kwanza ya kuonesha Vest inamuhusu kiongozi mkubwa sana nchi hii. Nimemuona mara mbili vest yake imechomoza kwa juu!
Vest yenyewe ya kijani...Picha ya kwanza ya kuonesha Vest inamuhusu kiongozi mkubwa sana nchi hii. Nimemuona mara mbili vest yake imechomoza kwa juu!
Nimecheka kwa sauti nilivyosoma comment yako loohPicha ya kwanza ya kuonesha Vest inamuhusu kiongozi mkubwa sana nchi hii. Nimemuona mara mbili vest yake imechomoza kwa juu!
Wallah mnanivunja mbavu dizaina wa anko magu MUNGU anamuona
Sio vest ile,Vest yenyewe ya kijani...