Ooohh yes yes the things of family tree.
Don't say young mother you is has to say small mother.
Hehehe you humans is not know england is president language. Now in these second example eeh you is not say young daddy you is now say small daddy or little daddy.
If you want you is can be my pupil to is teach you england
Nash mc alishawahi kuhojiwa kwanini hapendi kutumia lugha ya kingereza katika sanaa yake ya muziki?
Akasema "fikra sahihi huja kwa lugha asili" alafu akatolea mfano kua hata hawa wanaoweka maneno ya kingereza usifikiri kingereza chao kinaeleweka na muingireza endapo atakisikia. Mfano unamuimbia muingireza "vaileth usi go vailet ukiniacha itakua so" hivi unafikiri ubeti huo mzungu gani atauelewa?
atakuwa mpopo tv 😂😂I go die...naomba tafsiri 🤣🤣
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]usinifuate bila ya sababudon't followfollow me without any because
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]maisha yana changamoto sanaThis life is very contribute fire........
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umepatia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]maisha yana changamoto sana
Kaa mbali na mimi. Huu ni moto wa kuotea mbali.Sit far and me,this is a fire of dreaming far[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kaa mbali na mimi. Huu ni moto wa kuotea mbali.