Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Alitakiwa kuomba radhi,mara tatu amegoma,anajiona mwana harakati...Ni hukumu tu hata pia sipendi .
Wamesema jamaa alipewa nafasi mara 3 akaongee nae waelewane akakaidi.
Sasa Membe afanyaje.
Call a Spade spade.
Wewe ni mjinga tu. Musiba anayetaka watu wauawe, wapewe vilema? Are you serious? Akili zitakuwa Makalioni.Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Muchuma janga hula na wakwao. Kwanza angenyongwa tuSitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Kumtetea Musiba kunahitaji roho ngumu sana
Wewe una akili zaidi ya mahakama iliyotoa hukumu Ile?! Kama madai ya Membe hayafanani na damages aliyopata ingemshauri vinginevyo.
Hakuna cha tamaa, msiba hata mali zake zote ziuzwe hazipati hata 10% ya anachodaiwa. Atiwe adabu tu.Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Marehemu alikuwa muuajiMbona kila siku unamsema marehemu kwa kumdhalilisha
Kumbeee, Basi sawa, roho yake imesuuzikaKwa taarifa yako tu ni kwamba hukumu hii imetolewa na judge ambaye alifukuxwa kwenye nyumba za NIC kule masaki. Haya yote yalitokea enzi za zama zile nchi ikiongozwa na mpumbavu aliyejipa jina la uzalendo
Walivamiwa na watu wa bima mchana wakiwa wapo maofsini. So case ilivyofika kwake akaona enheeeKumbeee, Basi sawa, roho yake imesuuzika
Aachane na utoto huo Watanzania bado wanamhitaji awatumikie kwenye mambo makubwa na muhimu ya NchiSitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Haikusaidii chochote kunihusuHivi wewe ni kisamv cha kopo au ni cha kutwangwa kwenye kinu?Stupengo!
Kutumia matusi mahali hakuna tusi, ni akili ndogoAjiheshimu wakati wewe ni lipumbavu?
Unadhani ukipewa haki yako ni tusi?Wewe huwa ni lipumbav sana.Tena sana.Unamzidi Lucas Mwashambwa mbali sana.Ni lipumbaff!Kutumia matusi mahali hakuna tusi, ni akili ndogo
Unapata nini kwenye upumbavu wangu zaidi ya kujichoresha tu kwamba wewe ni punguani?Unadhani ukipewa haki yako ni tusi?Wewe huwa ni lipumbav sana.Tena sana.Unamzidi Lucas Mwashambwa mbali sana.Ni lipumbaff!
Ujue kuwa, unifikiriavyo wewe, huwezi kunibadiri na siwezi kuwa wewe, na sijui kwa nini unafuata uzi wa kipumbavu kama si kukosa akili?Unadhani ukipewa haki yako ni tusi?Wewe huwa ni lipumbav sana.Tena sana.Unamzidi Lucas Mwashambwa mbali sana.Ni lipumbaff!
Sibishani na kisamv!Wewe ni kisamv!Ujue kuwa, unifikiriavyo wewe, huwezi kunibadiri na siwezi kuwa wewe, na sijui kwa nini unafuata uzi wa kipumbavu kama si kukosa akili?
Wewe ni kisamv!Unapata nini kwenye upumbavu wangu zaidi ya kujichoresha tu kwamba wewe ni punguani?