Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
kuliko musiba alivyowazalilisha. Wekeni video zake tuoneHii inamdhalilisha mlipwaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuliko musiba alivyowazalilisha. Wekeni video zake tuoneHii inamdhalilisha mlipwaji
Hizo pesa anaweza jenga shule, barabara na dispensari jimboni kwake(atakapotaka) wakaishia kama Dar.Huyu mzee wa goli la dakika ya 89 sioni ni namna gani atajijenga kisiasa kwa kumdai msiba bilioni 9, mimi naona itamfanya aonekane irrational......
Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
And hummer a hummer. Gonga nyundo huyoNi hukumu tu hata pia sipendi .
Wamesema jamaa alipewa nafasi mara 3 akaongee nae waelewane akakaidi.
Sasa Membe afanyaje.
Call a Spade spade.
Acheni Musiba alipe alichopanda.Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Faida ipi umepata kwa mitusi hii ya kizamaninani aliyetoa uamuzi? mamako? ngedere lisilo na haya
Sio kosa lako,ni malezi mabovu.Jinga kabisa wewe, hakuna moderator wa kusikiliza watu wapumbavu kama wewe.
Mwache huyo ni timu Musiba. Sisi team Wazalendo hatutaki kudhalilisha watu. Musiba alidhalilisha Viongozi wengi mno na wote wakiamua kujitokeza nakuambia Musiba atauzwa Utumwani visiwa vya Carrebean kabisawe kinakuwasha nini, au una maslahi gani, au umetumwa? Kafanye mambo yako na usiwe na akili km Msiba
Hahaha. Mwana kuli "get". Nimefurahi Sana hii hukumu. Mnada ni lini?Alitakiwa kuomba radhi,mara tatu amegoma,anajiona mwana harakati...
Mwana kuli "find"
Yaani kuchafua potential presidential candidate anafikiri ni mchezo? Tena hiyo bil 9 ni ndogo mno. Yaani alitakiwa alipishwe bill 200 na kuuzwa utumwani kabisa.Musiba atoe billion 9 Kwan nini tatizo si alipe we unafikiri defamation ni kesi ndogo ulipwe elfu 3 uende au sio? Tena hio billion 9 kaonewa huruma sana tena sana angepigwa hata billion 100, defamation hainaga mchezo mchezo
Character assassination siyo damage? Au wewe damage unaelewaje?!Membe anadamage gani kafanyiwa?
Ulisikia Membe ni jaji? Hata kama angekuwa jaji asingeweza kuhukumu kesi yake kwani kanuni za kisheria zingembana.Sasa tamaa yake iko wapi?Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Musiba alifanya mambo ya hovyo na hili fundisho kwake na wengineHiyo ndiyo aina ya viongozi tulionao.
Wamejawa na tamaa ya kujimilikisha mali utazan wataishi milele.
Nakubaliana na wewe 100 %. Kwa nini Musiba haombi msamaha yeye binafsi badala yake anatumia watu. Kama ni Kichaa kama anavyodai Mayalla basi apelekwe Mirembe tujue moja.Membe kamatia hapo hapo kwenye B9 yani usipunguze hata buku
Hivi waliosema membe alikula pesa za gaddafi si ndo hawa CDM miaka ya nyuma hukoSitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema