mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,668
- 3,428
Membe Angekuwa na ubinadamu huo angejengea mabilion ya Gadafi aliyofisadi.Hizo pesa anaweza jenga shule, barabara na dispensari jimboni kwake(atakapotaka) wakaishia kama Dar.
Fisadi ni fisadi tu
Hata hukumu ni yakifisadi
Hiyo bilion 9 ukiongeza 1 ndio pesa waliyouziwa CCM chama cha CHADEMA ili lowasa agombee 2015.
Sasa Leo mtu mmoja tena mwanahabari eti anahukumiwa kulipa bilion tisa naamini hata huyo mtoa hukumu hajawahi ota kuzishika.
Rushwa, rushwa, rushwa