Kaiulize mahakama, mkome kutukana watu mkitegemea kulindwa na mtu, kamfufueni jambazi Magufuli aje kuwateteaMembe anadamage gani kafanyiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaiulize mahakama, mkome kutukana watu mkitegemea kulindwa na mtu, kamfufueni jambazi Magufuli aje kuwateteaMembe anadamage gani kafanyiwa?
Mkongwe huko kimya mnoHakuna cha tamaa, msiba hata mali zake zote ziuzwe hazipati hata 10% ya anachodaiwa. Atiwe adabu tu.
inachitakiwa
Alipe makosa ya kumchafua mtu malipo yake ni makubwa.Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Chukua peps bariiidi na pepcon ushushie maana usije kufa jaziba hizoTatizo la masukumagang uwezo wa kureason ni sifuri hasa mmoja wao akikamatwa kama hili juha! Kweli we kisamvu
Pepcon ndio nini?Chukua peps bariiidi na pepcon ushushie maana usije kufa jaziba hizo
Tutajuaje umepost upumbavu gani bila kufuata uzi wako tukukong'oli vizuri sukumagang weeUjue kuwa, unifikiriavyo wewe, huwezi kunibadiri na siwezi kuwa wewe, na sijui kwa nini unafuata uzi wa kipumbavu kama si kukosa akili?
Umpe kisamvu?Naanza rasimi kukutafuta mkuu!
Onyesha ufisadi wao compare na tsh 1.5trillion CAG profesa Assad aliposema hazijulikani zilipo akafurushwaNa wao ufisadi waliolifanyia taifa hili ni faraja kwa Watanzania sio!
Hoja zangu ziko clear.Hoja yako hapo ni nini?
Musiba hakufanya kosa kwa sababu alikuwa analindwa na Magufuli?
Mahakama haijamtendea haki?
Na kwamba angekuwepo jambazi Magufuli hakimu asingetoa hiyo hukumu?
Na wewe jiulize kwa nini Musiba hakutaka kumuomba radhi Membe wala kuhudhuria mahakamani? Nani aliyempa kiburi hicho?
Sukumagang mnajulikana kwa reasoning zenu very shallow
mbona unamatusi ya kizamani tu, leta mapya ili angalau yanishitueUmpe kisamvu?
Kwa hiyo jina lako la kisamvu ni tusi?mbona unamatusi ya kizamani tu, leta mapya ili angalau yanishitue
mbona unamatusi ya kizamani tu, leta mapya ili angalau yanishituUmpe kisamvu?
unateseka ukiwa wapi? Hoja iko hapo na huwezi kuinyofoa, lkn pia, kwani wewe ni mwehu? Unafuata hoja ya kijinga kuchangia kwa mjibu wako!Tutajuaje umepost upumbavu gani bila kufuata uzi wako tukukong'oli vizuri sukumagang wee
Wacha adhalilike tu, mbona wote ni CCM.Hii inamdhalilisha mlipwaji
Kwa ufahamu wako Musiba alikuwa sahihi kuitisha press conference na kumshambulia personally Membe?Hoja zangu ziko clear.
Ila ninachoamini sio haki Mtu yeyote kudai alipwe kiasi hicho bure bure. Musiba hakumtia hasara yeyote Membe. Malumbano katika siasa ni kawaida na kama kuna mwqnasiasa hataki kuchafuliwa basi asiwe mwanasiasaa. Sio vizuri kutumia mahakama kumkomoa hasmu wako kisiasa.
Hizo mahakama zinaweza kuwa abused sana,, ripoti ya rushwa ya Warioba moja ya taasidi zilizolalamikiwa kwa rushwa ni mahakama.
KUomba radhi kabla ya hukumu ni hiyari, ila baada ya mahakamac kumtia mtu hatiani inaweza kuagiza mhusika aombe radhi hafharani na hapo ndoo huwa lazima.
Wajinga hususan sukumagang mko wengi lazima tuwape akili kidogo.mbona unamatusi ya kizamani tu, leta mapya ili angalau yanishitu
unateseka ukiwa wapi? Hoja iko hapo na huwezi kuinyofoa, lkn pia, kwani wewe ni mwehu? Unafuata hoja ya kijinga kuchangia kwa mjibu wako!
Na wewe nenda Mahakamani kumtetea Marehemu anadhalilishwa huku, tutalipa fidiaUngedaiwa wewe iyo 9B ungeona ni sawa? Mbona kila siku unamsema marehemu kwa kumdhalilisha lakin hujawahi daiwa chochote, lakin maneno ya msiba unayashadadia utadhani kafanya jinai ya kuua mtu, blood kabsaa
Mtahangaika sana ila mtu wenu atalipa na atafungwa kwenye gereza atakalochagua Membe na familia yake.Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Umechangia vema mkuuMtahangaika sana ila mtu wenu atalipa na atafungwa kwenye gereza atakalochagua Membe na familia yake.
Musiba alisababisha biashara ya Membe na familia yake kufungwa. Membe alipokonywa hadi properties alizowekeza na fedha ya pension yake. Ndugu wa Membe walitekwa na rafiki zake wakalazimishwa kumdhihaki kwa kutumia vyombo vya habari vya Musiba ili wabaki kwenye vyeo vyao.
Kiasi unachodai ati tamaa wala hakitarudisha nusu ya fedha, mali, na heshima aliyopoteza Membe na ndugu zake. Waliokuwa wanahudhuria kesi hii mahakamani wanajua hasara aliyofanya Musiba kwa Membe na kwa tarafa mzima Kama sio wilaya mzma ya Mtama. Nadhani Musiba akitembelea mkoa wa Lindi bila ulinzi anaweza kushambuliwa na watu wenye hasira kali. Vita ya wamwera haina historia ya kusalimu amri isipokuwa msimamo, kujiamini, na haki.
I strongly believe kuwa sio sahihi Membe kulipwa kiasi hicho cha pesa. Haya mambo ya kupqta hela kirahisi kirahisi ndio yanafanya wagi wengi wasipende kufanya kazi na badala yakec kufanya misheni tauni. Ni bora mtu akitiwa hatiani afungwe miezi sita kuliko anayedai kukashifiwa kulipwa mamilioni bika jasho.Kwa ufahamu wako Musiba alikuwa sahihi kuitisha press conference na kumshambulia personally Membe?
Na kwamba mahakama imekosea kukubali kuwa Musiba amefanya kosa kuona Musiba amefanya kosa la defamation dhidi ya Membe?
Na kwamba Musiba alikuwa anafanya siasa alipokuwa anamkashifu Membe? Musiba akiwa mwanasiasa wa chama gani na Membe wa chama gani?
Am I right kuwa hii ndio hoja yako?