Makosa ya Musiba, hayalingani na tamaa ya Membe!

Makosa ya Musiba, hayalingani na tamaa ya Membe!

Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa

Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao

Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!

Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji

J.mosi njema
Hivi kudhalilishwa kunaweza fananishwa na kiasi chochote Cha pesa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahakama imemuona ANASTAHILI, who are you?
Kwani mahakama ni Mungu..si watu kama mimi na wewe, tena usikute hata wewe unawapita akili na uelewa,sema maisha, connection, mazingira yamewakuta wako pale...
Pia tofautisha kati ya sheria na Haki...sio kila takwa la kisheria au maaumuzi ya mahakama ni haki...
 
Ukishamchafua mtu umejiweka wazi kulipa gharama zozote zile, kwa sababu utu wa mtu hauna bei.

Yani kuna watu wanaweza kupiga mahesabu ya thamani ya utu wa Membe, wakaona bado Musiba hajalipishwa alivyotakiwa.

Kama huko tayari kulipa gharama yoyote, usichafue mtu tu.
 
Hata kama, wewe unadhani bilion 9 ndio faraja kwao?
Unaumia? Hutaki alipwe? Wangapi hapa duniani wamelipwa kwa kesi kama yake ila yeye hutaki alipwe? Mlipo kiwa mnamtudi hamkujua madhara yake?

Hii ndio Tanzania inayotakiwa, wewe jifanye unaongea sana mwisho wa siku tunakutana mahakamani.
 
Kwani mahakama ni Mungu..si watu kama mimi na wewe, tena usikute hata wewe unawapita akili na uelewa,sema maisha, connection, mazingira yamewakuta wako pale...
Pia tofautisha kati ya sheria na Haki...sio kila takwa la kisheria au maaumuzi ya mahakama ni haki...
Hutaki alipwe? Kwanini?
 
Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa

Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao

Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!

Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji

J.mosi njema
Mtoa mada sababu huna akili na hujapenda kushughulisha akili yako na hujapenda kujipanga ngoja tukupange sasa.. Iko hivi

Fine ya 9B kwa Musiba dhidi ya Bwana Membe ni kubwa kweli tena kubwa sana sana na hii imetolewa kwa kuweka sawa Musiba ili akutane na kifungo jela

Kwa taarifa yako ni kwamba Bwana Musiba atashindwa kulipa deni la 9B hata kama watauza mali zak zote,wakiuza mali zake zote na deni likabaki, itapigwa hesabu ni kiasi gani kimebaki cha deni ili Bwana Membe amulipie Bwana Musiba gharama za Tshs 5,000/= kwa siku aende gherezani.

Na ndiyo mchongo uliopo hapa, hela za mali zake zitakazouzwa, ndiyo zitatumika hizo hizo kumpeleka gerezani.. Kwenye hili naunga mkono na miguu juu, ili iwe fundisho kwa watu wajinga aina ya Musiba kuweka akili kabatini nakutumia makalio kuwaza

Musiba kawatukana sana watu na Serikali ilikua kimya tu, wale kina Makamba,Kinana,January,Nape,Ngeleja,Membe walidukuliwa maongezi yao, kitu ambacho ni kosa sana kudukuwa faragha za watu..

Mbaya zaidi alimtukana hadi brother men, mtoto wa mjini.. Mr tabasamu! Musiba ache akawe chakula cha watu huko Segelea
 
Kwa mtu kama Musiba,ikitolewa hukumu ya kulipa Milioni 100 bado ni kubwa sana kwake.
Bilioni 9 hapo Membe alitumia Rushwa na influence yake kwa Majaji Ili kutoa hukumu ya kumkandamiza Musiba.
Kwani Membe Yale mabilion ya Gadafi alirudisha?
Fisadi ni fisadi tu hata asipofisadi ndani ya ofisi atafisadi nje ya ofisi.
Hii kesi imejaa rushwa.
Faini ya bilion tisa ni pesa ndefu mno ambayo nna hakika hakuna mtanzania wa kawaida anaota kumiliki pesa hiyo isipokuwa kwa wateule wachache na mafisadi.
 
Fine ya 9B kwa Musiba dhidi ya Bwana Membe ni kubwa kweli tena kubwa sana sana na hii imetolewa kwa kuweka sawa Musiba ili akutane na kifungo jela
Kesi ya defamation unaweza lipishwa hata billion 900, unakumbuka ile kesi ya Mengi na Manji km sijakosea Mengi aliombwa kulipwa cent 5 tu sio shilling cent 5 na Kesi iliishia hapo, defamation unaiomba Mahakama ulipwe kutokana na damage ulizozipata baada ya kuchafuliwa hata billion 900 ikiwezekena
 
Mmeshikwa pabaya ndugu,nyie lipeni tu hakuna namna.
Ungeweka na zile clip zake au machapisho yaliyopelekea swala Hilo kufika huko.
Mungu fundi bhana,
CHIPS UNAILA HADHARANI,LAKINI WAKATI UNAKUNYA HUJIFICHA KABISA.

Kesho nayo siku.
Hoja yako HAINA mashiko,unatupotezea mda.
 
Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa

Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao

Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!

Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji

J.mosi njema
Mahakama ndiyo imetoa hukumu hiyo ,mngemsaidia sana Musiba kukata rufaa kuliko haya malaamiko yenu mitandaoni hayadaidii kitu
 
Wewe una akili zaidi ya mahakama iliyotoa hukumu Ile?! Kama madai ya Membe hayafanani na damages aliyopata ingemshauri vinginevyo.

Nilitaka kumwambia the same ,kwanza ameisoma hukumu? Kwenye hukumu kuna mchanganuo mzima mpaka kufikia hiyo 9.9B na mpaka mahakama imehafiki hivyo inamaana wameridhika na hoja za Membe na huenda ilikuwa zaidi ya hiyo sema labda imeshushwa na mahakama.

Kitendo cha kumchafua Membe kimekosesha deals nyingi za Mabilioni ,kimeathiri pia familia yake huenda huko mbeleni wakakosa kuaminiwa ,kwahiyo demage ni kubwa sana aliyoifanya Musiba...Mimi naona hata 9.9B ni ndogo....Kama FA na AY walilamba Bilioni 2.2 kutoka Tigo kwa Kutumia nyimbo mbili tu ,why Membe kudai 9.9B kwa kuharibiwa career kwa life yake yote?
 
Back
Top Bottom