Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Wana JF Jukwaa la Historia,
Nimekuwa nikifanya majadiliano hapa sasa huu ni mwaka wa 11.
Nimegundua kuwa kuna wafuatiliaji wengi wa mijadala hii yetu ambayo wanauliza maswali ambayo kwa hakika nishayajibu mara nyingi sana.
Kwa nia ya kuondoa tatizo hili na kwa nia ya kusambaza elimu kwa wote bila khiyana naweka link hapo chini ya YouTube yangu ambayo nimezungumza mengi.
Ikiwa mathalan msomaji anataka kujua historia ya TANU, AMNUT, UTP au historia ya Zuberi Mtemvu, John Rupia, Bibi Titi Mohamed anachotakiwa kufanya ni kuingia kwenye link na kuandika jina kutafuta:
Nimekuwa nikifanya majadiliano hapa sasa huu ni mwaka wa 11.
Nimegundua kuwa kuna wafuatiliaji wengi wa mijadala hii yetu ambayo wanauliza maswali ambayo kwa hakika nishayajibu mara nyingi sana.
Kwa nia ya kuondoa tatizo hili na kwa nia ya kusambaza elimu kwa wote bila khiyana naweka link hapo chini ya YouTube yangu ambayo nimezungumza mengi.
Ikiwa mathalan msomaji anataka kujua historia ya TANU, AMNUT, UTP au historia ya Zuberi Mtemvu, John Rupia, Bibi Titi Mohamed anachotakiwa kufanya ni kuingia kwenye link na kuandika jina kutafuta: