Tetesi: Makubaliano CHADEMA/ACT Wazalendo: Membe kumsapoti Lissu kisha kuteuliwa kuwa Waziri wa Nje

Tetesi: Makubaliano CHADEMA/ACT Wazalendo: Membe kumsapoti Lissu kisha kuteuliwa kuwa Waziri wa Nje

Acha ubashiri. Hizo tabia za shekhe Majini. ACT hawawezi kukubali upuuzi huo. Hata ungesema watoe Waziri mkuu. Kwanza CDM Zanzibar hamuwezi kupata kura zaidi ya 1000. So, kutaka kuitumia Zanzibar Kama kete kwenye majadiliano haiingii akilini na hatuwezi kukubali. Kwa Sasa tujadili suala la Bara tu.

Kwa Sasa plan yetu ni kuwa, Lissu akikatwa na kwa kweli atakatwa tuu, Chadema muiunge mkono ACT, mumuunge mkono Membe ili awe Rais wa JMT.
 
Membe atajinyonga nawambieni, kwani kila mate yanayomdondoka Kwa ajiri ya Ikulu, au hata hicho ambacho kaahidiwa,yote ni ya bule, Kwa Bara huku, wote wawili wanaambulia kichapo ambacho hakijawahi Kutokea, time will tell
 
Na vyeo mnagawana kabisa? 😀 in reality JPM anapita tena, na Zanzibar Hussein anapita kwa mbini ya 100.
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Chakaza,

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah serika ijayo itaundwa na Tundulisu serikal ya chama cha Chadema tu miaka nenda rudi imemshinda ataweza nchi alafu kama ni uwazir membe angeweza kuupata hata ndan ya ccm
 
Chakaza,

Nawasifu kwa jinsi mnavyoweza kitekenywa na kutekenyeka...hahahah Jambo usilolijua ni Kama usiku wa giza, hapo Mambo yote hadhatani mtaumbuka Kama manyumbu vile..ni kheri Lowasa aliwaonea huruma fulani fulani.. walah. Uje urudi mwezi Novemba utupe update.
 
Kwahiyo cdm wamesamehe majimbo 50 ya Zanzibar? Na bara majimbo 65 hawajasimamisha wagombea, bado act kaweka wagombea nchi nzima. Bado watakaonyanganywa kura kama kafulila, hii Ni technical nockout

Chadema wana uwezo wa kuyachukua?
 
Chakaza,

Hakuna kitu kinaitwa kuachiana urais wala ubunge wala udiwani. Ila katika yale majimbo ambako aidha ACT au CHADEMA hawakuweka wagombea ndio wataungana mkono.

Uelewe kuna hesabu mbili zinapigwa: kwanza ruzuku ambayo inachangiwa sana na kura za urais na ubunge. Pili Zitto ana hesabu za udini ambazo anazifanya kwa ustadi, angalia orodha yake ya ubunge mkoa kwa mkoa.

Labda pia mgombea wa chama kimoja akiwekewa pingamizi ya ubunge, uduwani au urais hapo napo watamuunga mkono aliyebakia.

Zitto na Mbowe wanajua fika urais hawawezi kushinda lakini kura za urais mwisho wa siku zutawapatia mgao mnono wa ruzuku.
 
Chakaza,

Hahaha jomba Member Nani kakwambia anataka uwaziri...anataka uraisi jomba mbona unamshusha chini mnamdharau kiasi hiki.. eti Lissu awe zaidi ya Member,. Huyu mtoto wa juzi huyu huyu...hahahah hata mkimlazimisha Member hakubali.. na mkizidi atarudi ccm...ohoooo
 
Anataka warudishe enzi zile ambazo membe alisema Viongozi wa umma walikua wanapishana na kupeana briefings angani au kwenye International airports mbalimbali Duniani..That was old good days kuwa Mambo ya Nje...Hadi clerks walikua wanaenda mapumziko abroad.There was a time nilienda pale Foreign ministry, nikakuta wanafamilia wa wafanyakazi wa wizara wanakuja ofisini kuchukua mabegi ya zawad na kuwaaga wenza wao coz walikua wametoka Trip na same night walikua wanaenda Ng'ambo tena.. Yaani Trips zilikua zinawasubiri walejee kutoka overseas wasaini posho na ku fly out tena.
 
Na iwe hivyo, AMINA...

Lililo la muhimu ni kuoñdoa mikosi na laana zote katika jamii ya Watanzania chanzo chake kikiwa ni dude liitwalo CCM...
Mkuu habari njema Mara nyingi huwa kama hadithi ya kusadikika.
Katika historia, wana wa Israel pale Musa alipopiga maji bahari ikatengeneza njia hawakuamini kuwa tukio hilo laweza kutokea.
Mungu huyu anayethihakiwa na makongamano ya KAMATI ZA AMANI sasa anataka kujionyesha kwetu kwa kutengeneza njia bahari hii ya shida na dhiki
 
Kweli wewe JUHA Membe huyuhuyu au Maembe
Usiniite juha tafadhali. Patachimbika hapa! Slogan ya sasa ni ukipigwa Kofi kushoto, mchape huyo aliye kuanza mawili kushoto na kulia.
Rudi tena niku chakaze kijana!
 
Back
Top Bottom