Tetesi: Makubaliano CHADEMA/ACT Wazalendo: Membe kumsapoti Lissu kisha kuteuliwa kuwa Waziri wa Nje

Tetesi: Makubaliano CHADEMA/ACT Wazalendo: Membe kumsapoti Lissu kisha kuteuliwa kuwa Waziri wa Nje

Nyie mnataka kumuua profesa Membe hahahaha yani kaikimbia CCM kisa kuandikwa kwenye karatasi ya mpiga kura halafu leo hii mnamwambia ahadi za uwaziri mkuu hahahaha
 
Acha ubashiri. Hizo tabia za shekhe Majini. ACT hawawezi kukubali upuuzi huo. Hata ungesema watoe Waziri mkuu. Kwanza CDM Zanzibar hamuwezi kupata kura zaidi ya 1000. So, kutaka kuitumia Zanzibar Kama kete kwenye majadiliano haiingii akilini na hatuwezi kukubali. Kwa Sasa tujadili suala la Bara tuu.
Kwa Sasa plan yetu ni kuwa, Lissu akikatwa na kwa kweli atakatwa tuu, Chadema muiunge mkono ACT, mumuunge mkono Membe ili awe Rais wa JMT.
Ni mpumbavu tuu anaweza kuweka akilini kuwa Lissu ataenguliwa.
Wewe ni mmoja wao
 
Naendelea kusoma kitabu cha TUSOME KWA HATUA, KITABU CHA PILI Kuna mengi Sana ya kujifunza.
Nimecheka sana,yaani watu wakielewa maana ya ulichokisema ndo wataelewa kwa nini Sumaye alijiunga Chadema dakika za mwisho😂😂😂,kweli TUSOME KWA HATUA, KITABU CHA PILI
 
Chakaza,

Tatizo sio wapinzani kuungana, bali tatizo ni tume huru ya uchaguzi. Ni vyema kila chama kikasimamisha mgombea wake kuepuka miungano ambayo huko mbele hutumika kuchafuana. Muungano uwepo kwenye hoja za pamoja, kama tume huru ya uchaguzi, katiba mpya nk. Wangalau zile sehemu vyama hivyo vinapojijua vina nguvu ya dhahiri, tena hayo yafanyike kwa mgombea wa eneo husika kuridhia, kutokana na tathmini ya uhakika.
 
Labda kama wale asili wameamua kuongoza nchi kwa mgongo wa Tl kupitia Chadema
 
CCM wakisikia hivyo wanakimbilia kusema NEC haitatangaza!Mwaka watatangaza watake wasitake! Huu ni mwaka wa Mageuzi!
 
Mmeamua kuwafanyia hujuma ACT Wazalendo? mnaongeza misuguano kwani kwa Zitto mnaofanya ni mchezo mchafu. Hatajubali hujuma hizi za mapema.
 
Chadema walishalufafanua hilo,Kwamba Eneo Bunge ambalo Act wanakubalika basi Act ndio watagombea.Na eneo Bunge ambalo CHADEMA wanakubalika basi Chadema ndio watasimama kwa upande waBara. ila zanzibar Act itapewa nguvu na CHADEMA hivyo!
Kwahiyo Chadema wamesamehe majimbo 50 ya Zanzibar? Na bara majimbo 65 hawajasimamisha wagombea, bado act kaweka wagombea nchi nzima. Bado watakaonyanganywa kura kama kafulila, hii Ni technical nockout
 
Kumekucha. Habari zilizovuja ni kuwa kuna makubaliano yamefanyika kati ya ACT na Chadema kuwa upande wa Zanzibar CHADEMA itaingiza nguvu zake kumsapoti Maalim Seif katika pambano la Urais nao ACT Wazalendo watawaunga mkono CHADEMA katika Urais huku bara kwa maana ya Serikali ijayo ambayo kimahesabu itaundwa na Lissu iwe ya ushirikiano na Membe ambaye hatagombea tena abaki kama mshauri wa Lissu kwa sasa na baadae kuja kupewa Wizara ya Mambo ya Nje kwani huko amebobea.

Hakika mambo ni mengi muda mchache. Ila yako Bambam. Naiona Tanzania ya furaha kwa mbaaaali inakuja.
Saf ndo dawa ya MACCM
 
S
Chadema walishalufafanua hilo,Kwamba Eneo Bunge ambalo Act wanakubalika basi Act ndio watagombea.Na eneo Bunge ambalo CHADEMA wanakubalika basi Chadema ndio watasimama kwa upande waBara. ila zanzibar Act itapewa nguvu na CHADEMA hivyo!
Sasa chadema si watasema sehemu zote wao ndo wanakubalika? Maana ACT ilikiwa kigoma jimbo moja tu.
Hayqo.yalishindikana 2015
 
Kumekucha. Habari zilizovuja ni kuwa kuna makubaliano yamefanyika kati ya ACT na Chadema kuwa upande wa Zanzibar CHADEMA itaingiza nguvu zake kumsapoti Maalim Seif katika pambano la Urais nao ACT Wazalendo watawaunga mkono CHADEMA katika Urais huku bara kwa maana ya Serikali ijayo ambayo kimahesabu itaundwa na Lissu iwe ya ushirikiano na Membe ambaye hatagombea tena abaki kama mshauri wa Lissu kwa sasa na baadae kuja kupewa Wizara ya Mambo ya Nje kwani huko amebobea.

Hakika mambo ni mengi muda mchache. Ila yako Bambam. Naiona Tanzania ya furaha kwa mbaaaali inakuja.
Vyovyote iwavyo ili ushirikiano wa kuweka mgombea mmoja ni wa muhimu sana.
 
Kumekucha. Habari zilizovuja ni kuwa kuna makubaliano yamefanyika kati ya ACT na Chadema kuwa upande wa Zanzibar CHADEMA itaingiza nguvu zake kumsapoti Maalim Seif katika pambano la Urais nao ACT Wazalendo watawaunga mkono CHADEMA katika Urais huku bara kwa maana ya Serikali ijayo ambayo kimahesabu itaundwa na Lissu iwe ya ushirikiano na Membe ambaye hatagombea tena abaki kama mshauri wa Lissu kwa sasa na baadae kuja kupewa Wizara ya Mambo ya Nje kwani huko amebobea.

Hakika mambo ni mengi muda mchache. Ila yako Bambam. Naiona Tanzania ya furaha kwa mbaaaali inakuja.
Apewe U PM Zito Uspika.
 
Back
Top Bottom