Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mpumbavu tuu anaweza kuweka akilini kuwa Lissu ataenguliwa.Acha ubashiri. Hizo tabia za shekhe Majini. ACT hawawezi kukubali upuuzi huo. Hata ungesema watoe Waziri mkuu. Kwanza CDM Zanzibar hamuwezi kupata kura zaidi ya 1000. So, kutaka kuitumia Zanzibar Kama kete kwenye majadiliano haiingii akilini na hatuwezi kukubali. Kwa Sasa tujadili suala la Bara tuu.
Kwa Sasa plan yetu ni kuwa, Lissu akikatwa na kwa kweli atakatwa tuu, Chadema muiunge mkono ACT, mumuunge mkono Membe ili awe Rais wa JMT.
Nimecheka sana,yaani watu wakielewa maana ya ulichokisema ndo wataelewa kwa nini Sumaye alijiunga Chadema dakika za mwisho😂😂😂,kweli TUSOME KWA HATUA, KITABU CHA PILINaendelea kusoma kitabu cha TUSOME KWA HATUA, KITABU CHA PILI Kuna mengi Sana ya kujifunza.
Tume sio issue tena 😂Magufuli anaenda kuangushwa kwenye uchaguzi was mwaka huu in landslide votes ajipange kuondoka au ajiandae kuwekwa mtu Kati taasisi zote zomemchoka.
Kwahiyo Chadema wamesamehe majimbo 50 ya Zanzibar? Na bara majimbo 65 hawajasimamisha wagombea, bado act kaweka wagombea nchi nzima. Bado watakaonyanganywa kura kama kafulila, hii Ni technical nockout
Wakiungana watakuwa na kura milioni 3 hizo ndo watapata tuHapo watakua wamecheza kama pele, ni mwendo wa mgombea mmoja na serikali ya umoja kati ya CDM na ACT.
Saf ndo dawa ya MACCMKumekucha. Habari zilizovuja ni kuwa kuna makubaliano yamefanyika kati ya ACT na Chadema kuwa upande wa Zanzibar CHADEMA itaingiza nguvu zake kumsapoti Maalim Seif katika pambano la Urais nao ACT Wazalendo watawaunga mkono CHADEMA katika Urais huku bara kwa maana ya Serikali ijayo ambayo kimahesabu itaundwa na Lissu iwe ya ushirikiano na Membe ambaye hatagombea tena abaki kama mshauri wa Lissu kwa sasa na baadae kuja kupewa Wizara ya Mambo ya Nje kwani huko amebobea.
Hakika mambo ni mengi muda mchache. Ila yako Bambam. Naiona Tanzania ya furaha kwa mbaaaali inakuja.
Sasa chadema si watasema sehemu zote wao ndo wanakubalika? Maana ACT ilikiwa kigoma jimbo moja tu.Chadema walishalufafanua hilo,Kwamba Eneo Bunge ambalo Act wanakubalika basi Act ndio watagombea.Na eneo Bunge ambalo CHADEMA wanakubalika basi Chadema ndio watasimama kwa upande waBara. ila zanzibar Act itapewa nguvu na CHADEMA hivyo!
Hakuna Cha tume nguvu ya ummaTume sio issue tena [emoji23]
Vyovyote iwavyo ili ushirikiano wa kuweka mgombea mmoja ni wa muhimu sana.Kumekucha. Habari zilizovuja ni kuwa kuna makubaliano yamefanyika kati ya ACT na Chadema kuwa upande wa Zanzibar CHADEMA itaingiza nguvu zake kumsapoti Maalim Seif katika pambano la Urais nao ACT Wazalendo watawaunga mkono CHADEMA katika Urais huku bara kwa maana ya Serikali ijayo ambayo kimahesabu itaundwa na Lissu iwe ya ushirikiano na Membe ambaye hatagombea tena abaki kama mshauri wa Lissu kwa sasa na baadae kuja kupewa Wizara ya Mambo ya Nje kwani huko amebobea.
Hakika mambo ni mengi muda mchache. Ila yako Bambam. Naiona Tanzania ya furaha kwa mbaaaali inakuja.
Apewe U PM Zito Uspika.Kumekucha. Habari zilizovuja ni kuwa kuna makubaliano yamefanyika kati ya ACT na Chadema kuwa upande wa Zanzibar CHADEMA itaingiza nguvu zake kumsapoti Maalim Seif katika pambano la Urais nao ACT Wazalendo watawaunga mkono CHADEMA katika Urais huku bara kwa maana ya Serikali ijayo ambayo kimahesabu itaundwa na Lissu iwe ya ushirikiano na Membe ambaye hatagombea tena abaki kama mshauri wa Lissu kwa sasa na baadae kuja kupewa Wizara ya Mambo ya Nje kwani huko amebobea.
Hakika mambo ni mengi muda mchache. Ila yako Bambam. Naiona Tanzania ya furaha kwa mbaaaali inakuja.
Umenikumbusha wimbo wa Lady Jaydee wa "WANAUME KAMA MABINTI". Wewe ni mmoja wao.Ni mpumbavu tuu anaweza kuweka akilini kuwa Lissu ataenguliwa.
Wewe ni mmoja wao
Shosti vipi umeshaukalia nini.... Basi ukimaliza kachukue 7k yakoDon't waste your time na uchafu, rais ni Dkt Magufuli 2020-2025.