Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Naomba kujua hawa wanaume wa kampuni ya Madini ya Barrick wametekeleza makubaliano gani mpaka sasa maana tuliahidiwa mengi na makubwa ila kwa sasa ukimya umetawala tofauti na kilichokuwa kinahubiriwa majukwaani.
Kwa mfano, ujenzi wa smelter umeshaanza? Na kama umeanza, umefika asilimia ngapi ya utekelezaji?
Vipi kuhusu ile economic benefit ya 50 kwa 50?
Yako mengi tu ila kwa sasa siyasikii tena na sijui hata katika hili Bunge lililoisha majuzi kuna lolote lilijadiliwa kuhusu makubaliano haya
Mwenye majibu tafadhali.
Waandishi wa Habari wa nchi wa siku hizi wanafeli vibaya sana na wameacha wanasiasa ndio wawasetie agenda za kuandika na kuripoti.
Pathetic!
Kwa mfano, ujenzi wa smelter umeshaanza? Na kama umeanza, umefika asilimia ngapi ya utekelezaji?
Vipi kuhusu ile economic benefit ya 50 kwa 50?
Yako mengi tu ila kwa sasa siyasikii tena na sijui hata katika hili Bunge lililoisha majuzi kuna lolote lilijadiliwa kuhusu makubaliano haya
Mwenye majibu tafadhali.
Waandishi wa Habari wa nchi wa siku hizi wanafeli vibaya sana na wameacha wanasiasa ndio wawasetie agenda za kuandika na kuripoti.
Pathetic!