Makubaliano kati ya Serikali na kampuni ya madini ya Barrick, yametekelezwa kwa kiwango gani mpaka sasa?

Makubaliano kati ya Serikali na kampuni ya madini ya Barrick, yametekelezwa kwa kiwango gani mpaka sasa?

Ni nini ulichokiona? Ilikuwa awamu ya usanii mwingi, sawa na tulivyoaminishwa kuwa ni donor country. Wajinga waliamini, wenye akili walijua ni hadithi sawa na zile za wti hapo zamani za kale wanyama wote walikubaliana kufanya mkutano. Mwenyekiti wao, Simba, akawaambia, ...
Sasa shida yenu vijana wa kitanzania mkipata kadiploma mkikosa ajira mnakuwa wajinga wajinga tu kila kukicha ni lawama na kuzua hoja za zisizo na maana sasa we hata hujui migodi ya barrick ipo wapi hata kusogea getini hujawahi halafu unaleta ujuaji wako,kuhusu makinikia waziri alishatoa majibu na watu wakaelewa sijui unaishi nchi gani wewe.
 
Naomba kujua hawa wanaume wa kampuni ya Madini ya Barrick wametekeleza makubaliano gani mpaka sasa maana tuliahidiwa mengi na makubwa ila kwa sasa ukimya umetawala tofauti na kilichokuwa kinahubiriwa majukwaani.

Kwa mfano, ujenzi wa smelter umeshaanza? Na kama umeanza, umefika asilimia ngapi ya utekelezaji?

Vipi kuhusu ile economic benefit ya 50 kwa 50?

Yako mengi tu ila kwa sasa siyasikii tena na sijui hata katika hili Bunge lililoisha majuzi kuna lolote lilijadiliwa kuhusu makubaliano haya

Mwenye majibu tafadhali.

Waandishi wa Habari wa nchi wa siku hizi wanafeli vibaya sana na wameacha wanasiasa ndio wawasetie agenda za kuandika na kuripoti.

Pathetic!
Mwenyw majibu ni yule profesa wa jalalani ndio alikua mstari wa mbele kwenye hizo negotiations.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wapigaji wanakwambia Makinikia ni Mali ya mteja.., apende apeleke nje au achenjulie Tanzania ni uchaguzi wake yeye.
 
Ni nini ulichokiona? Ilikuwa awamu ya usanii mwingi, sawa na tulivyoaminishwa kuwa ni donor country. Wajinga waliamini, wenye akili walijua ni hadithi sawa na zile za wti hapo zamani za kale wanyama wote walikubaliana kufanya mkutano. Mwenyekiti wao, Simba, akawaambia, ...
usitenge matako chini,tafiti.

peleleza,chunguza uijue nchi yako.

unadhani kuambiwa uchumi ulisinyaa ilikuwa ni kwa sababu gani??
 
Ni nini ulichokiona? Ilikuwa awamu ya usanii mwingi, sawa na tulivyoaminishwa kuwa ni donor country. Wajinga waliamini, wenye akili walijua ni hadithi sawa na zile za wti hapo zamani za kale wanyama wote walikubaliana kufanya mkutano. Mwenyekiti wao, Simba, akawaambia, ...
Hiyo deal ya wazungu na Mjomba Magu ilikuwa mtego wa panya,Lakini kwa ujinga wetu tukaamini ni 50-50%!!!toka lini 5th world economy state ikala sahani mmoja na Elon Musk class?
Magu hakuwa mfanyabiashara ya madini mzoefu ukilinganisha na Team Barrick.
Hata yule Profesa Kabudi ni pure academician hana sifa za multi Billion dollars negotiation.,in short siyo Dr Henry Kissinger wa mikataba mikubwa,tena ni bora tungekodi mtu makini mwenye sifa akafanya kazi hiyo kwa uweledi kutoka Uingereza au Marekani hata Germany.
Ukija na hawa kamati ya makanikia ndio waliopotosha Mjomba Magu kabisa wanatakiwa wawe jela ya Isanga, tukiamini tutaweza kupewa Noah kila mtu,ndio huo uwoga wa kulinda mkate.
Kabla ya serikali kuingia mkataba ilitakiwa iteue independent competent commission iangalie makubaliano na iwekwe wazi marejeo halafu bunge lipate nafasi ya kutosha kuufanyia kazi yake.
But because it was one man show,majigambo mengi,na kelele nyingi ndio hizo penalt bila hata goal keeper.
Fools die by Mario Puzzo.
 
Back
Top Bottom