Elections 2015 Makubaliano ya Jakaya na Lowassa na hatari ya Taifa kuanguka, Onyo kwa wajumbe wa CC

Elections 2015 Makubaliano ya Jakaya na Lowassa na hatari ya Taifa kuanguka, Onyo kwa wajumbe wa CC



Simulizi ya Mashariki ya Kati, umenyofoa kutoka Mgogoro wa Mashariki ya Kati - Maisha ni Vita - Blogger wakati simulizi ya Congo, umenyofoa kutoka hapa Mkataba wa kuuza Kongo huu | Gazeti la MwanaHalisi huu ni wizi wa mchana kweupe!, wizi ni wizi tuu, anayefanya wizi ni mwizi tuu, wizi wa literary work ukajifanya umeandika wewe unaitwa plagiarism, mwizi huyo anaitwa plagiarist!, japo ukiiba in good faith kwa ajili ya kuwasaidia wengine kuelimika ni wizi mzuri, ulipaswa utoa haki kwa just to mention the source!, yaani kutoa attribution, unless kama hizo kazi zote mbili, mwandishi wa kwenye original source ni wewe, then ungesema!, contrast kati ya vichwa vya ulichocopy na kichwa chako humu jf kinafahamika wazi!.


100% correct.



Tatizo dogo la maelezo yako yote hayo, ni kukosekana tuu kwa linkage kati ya masimulizi yako na the real case scanerio ya makubaliano ya JK na EL, kama uweza kutuwekea details za makubaliano mengine yote kwenye simulizi yako, umeshindwaje kupata hayo makubaliano ya JK na umeshindwa vipi ku link sumulizi zako na hali halisi ya JK na EL?!.
Pasco

Hapa usisahau Yericko Nyerere kaleta kama nadharia na amini ni mzoefu na ndharia na umeshaleta nyingi humu Jukwaani.Lakini kwa kumbukumbu yako utakumbuka kauli .
Unadhani Mhe.Lowasa ilimtoka tu kinywani bila kuwa alikuwa amekwisha jipima. Je umepata kujiuliza Nani huyo alikuwa na shida ya Uwaziri Mkuu wake?.


Hotuba ya Lowassa Kujiuzulu Uwaziri Mkuu. Kweli aliweka ...

23 Dec 2013


Mheshimiwa Spika, lakini nimetafakari kwa makini sana jambo hili nikajiuliza hivi kulikoni mpaka watu wazima wenye uwezo wao, watu maarufu wenye heshima zao, mpaka wafike mahali waache jambo la msingi kama hilo kulikoni? Mimi nadhani there is a wish which I am going to grant, ni Uwaziri Mkuu. Nadhani tatizo ni Uwaziri Mkuu. Kwamba ionekane Waziri Mkuu ndio amefanya haya, tumuondolee heshima au tumwajibishe.
 
Last edited by a moderator:
Hapa usisahau Yericko Nyerere kaleta kama nadharia na amini ni mzoefu na ndharia na umeshaleta nyingi humu Jukwaani.Lakini kwa kumbukumbu yako utakumbuka kauli .
Unadhani Mhe.Lowasa ilimtoka tu kinywani bila kuwa alikuwa amekwisha jipima. Je umepata kujiuliza Nani huyo alikuwa na shida ya Uwaziri Mkuu wake?.

Mkuu huyo kijana mjasiliasiasa Pasco atakwambia umekopi hahaaa
 
Last edited by a moderator:
Maelezo ya hao watu sinayo, vp waweza kutufundisha hama jamvini mkuu?

Ok, ni public knowledge kuwa kulikuwa na makubaliano (gentlemen agreement) kuwa wa kwanza atamuachia mwenzie ktk kipindi fulani...!

1. Mfano Mandela hakuwa na uwezo wa kuongoza (this is fact, ila wazungu wamemkuza Mandela kupita kiasi), hivyo ilikubaliwa kuwa S Africa huru ANC wampe nafasi Mandela kuwa raisi angalau kipindi kimoja then Thabo Mbeki aongoze nchi. Sasa hii inawezekana ilikuwa ni broad agreement within ANC not baina ya mtu na mtu...!

2. Putin baada ya ku-serve vipindi viwili kulingana na katiba...alikuwa na options tatu i.e. kubadili katiba, kustaafu au kuweka daraja. Hivyo alichagua option ya tatu ambapo alimpendekeza waziri mkuu Medvedev kuwa raisi....kwa makubalino kuwa Rais Medvedev amteue Putin kuwa waziri mkuu...then term moja ikiisha...Putin anarudi tena kuwa raisi...! Inawezekana pia ni broad agreeement within ruling part ya Russia...not baina ya mtu na mtu...!

3. Mugabe alikubaliana na Banana wapokezane urais....na ndivyo ilivyotokea....! Alianza Banana toka 1980 hadi 1987, muda ulipoisha wa makubaliano.....Mugabe akaingia madarakani...! Pia hii ilikuwa ni larger plan kwa vile Mugabe ndio ilibidi aje kushughulika na suala la ardhi....kulingana na ushauri ya yaliyojiri wakati wa mkataba wa uhuru...!

4. Moi vs Kikuyu elites...!

Kwa hivyo....gentlement agreement hipo na inafanya kazi kulingana na mahitaji ya kikundi, chama, taifa n.k. tatizo ni kukiuka makubaliano...!
 

Mkuu
Yeri Yeri, (sorry kutokutumia imposter title yako), kwanza asante kwa hadithi nzuri, japo ni cut and paste, ila umefanya kazi nzuri kuwaongezea Watanzania wengi ufahamu kwa vile sisi Watanzania wengi ni wavivu kusoma!.

Sorry to say hiyo ni simulizi imeandikwa na mtu timamu ambaye kichwa kimetulia! na sio wewe master spin doctor!.

Simulizi ya Mashariki ya Kati, umenyofoa kutoka Mgogoro wa Mashariki ya Kati - Maisha ni Vita - Blogger wakati simulizi ya Congo, umenyofoa kutoka hapa Mkataba wa kuuza Kongo huu | Gazeti la MwanaHalisi huu ni wizi wa mchana kweupe!, wizi ni wizi tuu, anayefanya wizi ni mwizi tuu, wizi wa literary work ukajifanya umeandika wewe unaitwa plagiarism, mwizi huyo anaitwa plagiarist!, japo ukiiba in good faith kwa ajili ya kuwasaidia wengine kuelimika ni wizi mzuri, ulipaswa utoa haki kwa just to mention the source!, yaani kutoa attribution, unless kama hizo kazi zote mbili, mwandishi wa kwenye original source ni wewe, then ungesema!, contrast kati ya vichwa vya ulichocopy na kichwa chako humu jf kinafahamika wazi!.


Tatizo dogo la maelezo yako yote hayo, ni kukosekana tuu kwa linkage kati ya masimulizi yako na the real case scanerio ya makubaliano ya JK na EL, kama uweza kutuwekea details za makubaliano mengine yote kwenye simulizi yako, umeshindwaje kupata hayo makubaliano ya JK na umeshindwa vipi ku link sumulizi zako na hali halisi ya JK na EL?!.

Ni ushauri tuu, next time akiamua kuwa spin doctor mzuri, don't just cut and paste, but also find the linkage itakayoweza ku link pande zote mbili ili kutengeneza a good spinning circle, ili hiyo spinning yako iwe round so that you can be abble to spin it round and round like a record ya santuri!.

Ni ushauri tuu, otherwise umenikumbusha enzi za Jason Borne!, the master copy cut wa jf!.

Pasco

Kwahiyo YeriYeri ni mwizi kama Low Low?
Makubaliano ya kuuziana Ikulu ni ufisadi na HATUKUBALI. wakafie mbali watuachie nchi yetu
 
Ok, ni public knowledge kuwa kulikuwa na makubaliano (gentlemen agreement) kuwa wa kwanza atamuachia mwenzie ktk kipindi fulani...!

Kwa hivyo....gentlement agreement hipo na inafanya kazi kulingana na mahitaji ya kikundi, chama, taifa n.k. tatizo ni kukiuka makubaliano...!

Jiulize swali je yana afya yoyote kwa Jamii?.

 
Huyu tipwatipwa wa akili mbna haeleweki? Heading na content tofauti, kukaa kote huko ndo umeibuka na huu uhalo?
 
Jiulize swali je yana afya yoyote kwa Jamii?.


Kama unaweza kupanua mawazo vizuri....nachozungumza hapa ni succession plan iliyopangwa kulingana na mahitaji ya kikundi, chama, taifa n.k....! Sasa kama yana manufaaa au la...basi fanya postmortem uone...uongozi uliopatikana kwa historical accident na planned succession plan upi umefanikiwa...!
 
Huyu tipwatipwa wa akili mbna haeleweki? Heading na content tofauti, kukaa kote huko ndo umeibuka na huu uhalo?

Umekosea mkuu, mimi ni sio mnene kiasi cha kuitwa tipwatipwa, mimi ni mwembamba wa kawaida tu
 
Ok, ni public knowledge kuwa kulikuwa na makubaliano (gentlemen agreement) kuwa wa kwanza atamuachia mwenzie ktk kipindi fulani...!

1. Mfano Mandela hakuwa na uwezo wa kuongoza (this is fact, ila wazungu wamemkuza Mandela kupita kiasi), hivyo ilikubaliwa kuwa S Africa huru ANC wampe nafasi Mandela kuwa raisi angalau kipindi kimoja then Thabo Mbeki aongoze nchi. Sasa hii inawezekana ilikuwa ni broad agreement within ANC not baina ya mtu na mtu...!

2. Putin baada ya ku-serve vipindi viwili kulingana na katiba...alikuwa na options tatu i.e. kubadili katiba, kustaafu au kuweka daraja. Hivyo alichagua option ya tatu ambapo alimpendekeza waziri mkuu Medvedev kuwa raisi....kwa makubalino kuwa Rais Medvedev amteue Putin kuwa waziri mkuu...then term moja ikiisha...Putin anarudi tena kuwa raisi...! Inawezekana pia ni broad agreeement within ruling part ya Russia...not baina ya mtu na mtu...!

3. Mugabe alikubaliana na Banana wapokezane urais....na ndivyo ilivyotokea....! Alianza Banana toka 1980 hadi 1987, muda ulipoisha wa makubaliano.....Mugabe akaingia madarakani...! Pia hii ilikuwa ni larger plan kwa vile Mugabe ndio ilibidi aje kushughulika na suala la ardhi....kulingana na ushauri ya yaliyojiri wakati wa mkataba wa uhuru...!

4. Moi vs Kikuyu elites...!

Kwa hivyo....gentlement agreement hipo na inafanya kazi kulingana na mahitaji ya kikundi, chama, taifa n.k. tatizo ni kukiuka makubaliano...!

Nakushukuru sana kwa maelezo hayo mafupi lakini mazuri sana,

Je Jakaya atamsaliti Lowasa au Umma utamkataa Lowasa?

Jibu lipo mwezi wa nane!
 
Kama unaweza kupanua mawazo vizuri....nachozungumza hapa ni succession plan iliyopangwa kulingana na mahitaji ya kikundi, chama, taifa n.k....! Sasa kama yana manufaaa au la...basi fanya postmortem uone...uongozi uliopatikana kwa historical accident na planned succession plan upi umefanikiwa...!

Anzisha thread yako kuhusiana na hoja hiyo. Faida na hasara ya kupokezana Uraisi kwa kadiri ya Mahitaji yale yoyote yatakayokupendeza.

Hapa specifically tunazungumzia nadharia ya Watu wawili !
Au hiyo heading haisomeki kama inasomeka basi kaa kimya au fuata ushauri wangu.
[h=2]
icon1.png
Re: Makubaliano ya Jakaya na Lowasa na hatari ya Taifa kuanguka, Onyo kwa wajumbe wa CC[/h]
 
huu ni unyama wa kiwango cha kutisha sana , ni kejeli na matusi yaliyozidi viwango vya dunia na ni dharau ya kiwango cha juu kushinda hata mishale ya mizani ! raia wawili tu ndani ya nchi yenye mamilioni ya watu wenye akili timamu wagawane miaka ya kutawala kama vile wakoloni walivyogawa africa , aibu hii Mungu ataizuia tu .
 
Asante Yerriko nimejifunza kitu. wanakuponda acha wafanye walichotumwa na babayao.
 
Hata km amecopy and paste bdo tumejifunza kutoka kwake...hakuna asiyecopy nakupest hapa bongo kwenye ishu km hzo zakimataifa labda hzo jk na luwasa...sitasita kusema hongera yericko
 
Anzisha thread yako kuhusiana na hoja hiyo. Faida na hasara ya kupokezana Uraisi kwa kadiri ya Mahitaji yale yoyote yatakayokupendeza.

Hapa specifically tunazungumzia nadharia ya Watu wawili !
Au hiyo heading haisomeki kama inasomeka basi kaa kimya au fuata ushauri wangu.
[h=2]
icon1.png


Aliyeanzisha thread kazungumzia watu wengine zaidi ya JK na Lowassa......tumechangia na amekubali michango yetu...! Sasa wewe povu linakutoka vipi..? Jenga hoja kwa hoja.....sio kutoka mapovu mdomoni
 
Lowasa na jk wapi na wapi mwacheni kumungamanisha Rais wetu na majizi kama Lowasa siyo sawa hata kidogo.

Kikwete hawezi kumkama king maker wake ..ndio maana Mara zote yeye ndio amekuwa akimuokoa Lowassa Dakika za mwisho kwenye Kamati Kuu na halmashauri Kuu kwa kukumbuka makubaliano Yao wawili
 
Yericko nashukuru kwa elimu nzuri.Unatusaidia sisi wajinga tulio wengi.Copy and paste haishushi thamani ya contents zilizopo.Na hayo magazeti hatusomi,ila jf ni daily.
 
Back
Top Bottom