Makubaliano ya Umoja wa Afrika kuhusu ulinzi wa Data binafsi za watu

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124

Ibara ya 8 ya makubaliano hayo imeweka malengo ambayo Watanzania wangenufaika nayo kama #Serikali ingekuwa imetia saini

Moja ya lengo ni: Kila #Taifa lazima lihakikishe linatengeneza sheria kwa ajili ya kuimarisha #Haki za msingi za binadamu, uhuru wa raia ikiwemo ulinzi wa taarifa zao na kutoa adhabu kwa wanaokiuka

Mpaka sasa #Tanzania bado haina Sheria mahususi kwa ajili ya #UlinziWaData ingawa Serikali kupitia Wizara ya TEHAMA imeahidi kuandaa Muswada mapema iwezekanavyo
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…