britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Alaaa walaHapa afadhali D moja inatosha
kaorogina za sikuHaa jamaa dah bila hapo chini nisingefungua kodi,
Mwigulu ndo Kuhani mkuu, na wakuu wa Ukuhani nadhani ni ndo akina Assad na kamati,
Kwamba mwigulu aachwe aendelee kuchora kwenye mawe kama watu wa kale wa mapangoni kondoa irangi, achore Rais wa 2015 maweni,
Jamaa m***ngerema sana wewe 🤩
Kweli inafikirisha kwanini kwenye kamati hayuko? Au ni njia ya kumchinja?
Avatar yako mboni naona hao wanakulana mate?Haa jamaa dah bila hapo chini nisingefungua kodi,
Mwigulu ndo Kuhani mkuu, na wakuu wa Ukuhani nadhani ni ndo akina Assad na kamati,
Kwamba mwigulu aachwe aendelee kuchora kwenye mawe kama watu wa kale wa mapangoni kondoa irangi, achore Rais wa 2015 maweni,
Jamaa m***ngerema sana wewe 🤩
Kweli inafikirisha kwanini kwenye kamati hayuko? Au ni njia ya kumchinja?
waziri wa fedha mheshimiwa Mwigulu Nchemba hajaunganishwa kwenye kamati ya kodi Maana yake anawashiwa taa nyekundu ya kutokuwa waziri wa fedhaNaam !
Kesi ya ngedere imesumbua sana sana hadi LYAKATA akaamua achague Makuhani wa Ukuu! Lakin Kuhani Mkuu hayupo kwenye kikosi ! Wakati kesi kila siku anayo huyo Kuhani mkuu,
Hii ina maana gani kwake! Au kaachwa aendelee na kazi ya Kondoa Irangi kwenye mapango?
Britanicca
Kwamba kwenye hili shairi la leo kuna watakao ambulia patupuAlaaa wala
😂😂😂 Khaa! Agiza kinywaji mkuu. UmenivushaHaa jamaa dah bila hapo chini nisingefungua kodi,
Mwigulu ndo Kuhani mkuu, na wakuu wa Ukuhani nadhani ni ndo akina Assad na kamati,
Kwamba mwigulu aachwe aendelee kuchora kwenye mawe kama watu wa kale wa mapangoni kondoa irangi, achore Rais wa 2015 maweni,
Jamaa m***ngerema sana wewe 🤩
Kweli inafikirisha kwanini kwenye kamati hayuko? Au ni njia ya kumchinja?
Naam !
Kesi ya ngedere imesumbua sana sana hadi LYAKATA akaamua achague Makuhani wa Ukuu! Lakin Kuhani Mkuu hayupo kwenye kikosi ! Wakati kesi kila siku anayo huyo Kuhani mkuu,
Hii ina maana gani kwake! Au kaachwa aendelee na kazi ya Kondoa Irangi kwenye mapango?
Britanicca
Kama kodi yenyewe ya pango inakusanywa kiwizi wizi nahisi kuna ubambikaji mkubwa kwenye kodi zingine!Tuhamie Burundi basi maaaana hii ni code za kutosha!! Mpaka kodi ya pango ni ndefu kama Mwezi wa kwanza??
Hatakiwi kuwepo,yeye ndiye anayechunguzwa.
Tunajua fagio la chuma halijampitia kwa sababu ya dock aliyopo,na bado tukutela yupo denial.
Na yeye anaondoka tu akale punda vizuri.
waziri wa fedha mheshimiwa Mwigulu Nchemba hajaunganishwa kwenye kamati ya kodi Maana yake anawashiwa taa nyekundu ya kutokuwa waziri wa fedha
Bila shaka ataandaa waraka mrefu kujibu ni kwanini hayumo kwenye Tume.Haa jamaa dah bila hapo chini nisingefungua kodi,
Mwigulu ndo Kuhani mkuu, na wakuu wa Ukuhani nadhani ni ndo akina Assad na kamati,
Kwamba mwigulu aachwe aendelee kuchora kwenye mawe kama watu wa kale wa mapangoni kondoa irangi, achore Rais wa 2015 maweni,
Kweli inafikirisha kwanini kwenye kamati hayuko? Au ni njia ya kumchinja?
Yule kijana amefariki au bado mzima , ?? Tia neno mkuuAlaaa wala
Aendelee kufyeka amfyeke msomali anayehusika na mahindi,amfyeke miguu ya chemba,amfyeke ashatwo,amfyeke masabuni,amfyeke yule kiranja wa samaki,Nguruwe na ng'ombe lakini yote kwa yote itakapotimia mwezi wa saba mwakani awe ashajifyekelea mbali.Wale ambao tunaunga mkono kwa sasa kuhusu fyekeo la maza ila hatuungi mkono maza kugombea urais 2025, tujuane hapa.
Siasa za uwajibikaji kwa kutafuta kiki lazima zikome mara mojaAendelee kufyeka amfyeke msomali anayehusika na mahindi,amfyeke miguu ya chemba,amfyeke ashatwo,amfyeke masabuni,amfyeke yule kiranja wa samaki,Nguruwe na ng'ombe lakini yote kwa yote itakapotimia mwezi wa saba mwakani awe ashajifyekelea mbali.