DOKEZO Makumbusho: Polisi wadaiwa kuvamia Ofisi za "Reachout Tanzania", wakidai kumtafuta Wakili Lusako Alphonce, ambaye hakuwa ofisini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Alaf kakistahafu katapata milion 9.5 yule dogo mpumbafu sana ,nakumbuka kalikua kanapiga kelele "Heshimu bendera ,heshimu bendera!!" Yaan kanadhan heshima inaletwa Kwa nguvu na mikwara ,,,!!!
 
hahaha, Sasa hapo una omba yule afande aje awe askari wilaya au mkoa uliopo.

Ila risasi 3 mbele yangu, trust me lazima niku sake tuongee vizuri
 
Hakuna chama chochote cha upinzani kitaweza kukitoa chama tawala kwa mifumo ya sasa
Mifumo ibadilike kwanza , else watakuwa wanazunguka pale pale
Jee watanzania wapo tayari kushinikiza hayo mabadiliko?

Wanataka kukaa majumbani mwao ila hao wanaowaita "wapinzani" ndiyo wapambane kubadilisha Hali mambo.
 
Jee watanzania wapo tayari kushinikiza hayo mabadiliko?

Wanataka kukaa majumbani mwao ila hao wanaowaita "wapinzani" ndiyo wapambane kubadilisha Hali mambo.
Nchi za wenzetu, wananchi ndio wanashikamana na kusukuma mabadiliko

Nchi yetu wananchi wamekaa nyumbani wanategemea wapinzqni ndio wawaletee mabadiliko

Unaona tatizo linatokea wapi, jamii ya mtanzania ni kikwazo namba moja
 
Nchi za wenzetu, wananchi ndio wanashikamana na kusukuma mabadiliko

Nchi yetu wananchi wamekaa nyumbani wanategemea wapinzqni ndio wawaletee mabadiliko

Unaona tatizo linatokea wapi, jamii ya mtanzania ni kikwazo namba moja
Labda watokee watanzania ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama wafanye hiyo kazi iliyotukuka. Kiufupi ccm itatoka kwa Mapinduzi ya kijeshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…