Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 1,049
- 2,242
Tuambie alichofanya Ili watanzania tujue, maana difenda na polisi wenye bunduki Kwa MTU mmoja ambaye ukimwita kituoni anakuja mwenyewe kuna nini hapo?Polisi hawakufuati tu bila tatizo,kuna kitu lusako kafanya