Makundi 7 ya watu wanaoheshimiana sana Tanzania. Nini siri yake?

Makundi 7 ya watu wanaoheshimiana sana Tanzania. Nini siri yake?

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Kuna makundi ya watu wakikutana mahali wanaheshimiana sana. Mimi nimeona makundi yafuatayo, je kuna siri gani?
1. Wachawi
2. Washirikina
3. Wanasiasa
4. Wanajeshi
5. Polisi
6. Wafanyabiashara wakubwa
7. Viongozi wa dini
8. Mateja
9. Madalali
10. Matapeli
11. Mafundi
12. Walevi
 
Kuna makundi ya watu wakikutana mahali wanaheshimiana sana. Mimi nimeona makundi yafuatayo, je kuna siri gani?
1. Wachawi
2. Washirikina
3. Wanasiasa
4. Wanajeshi
5. Polisi
6. Wafanyabiashara wakubwa
7. Viongozi wa dini
8. Mateja
9. Madalali
10. Matapeli
11. Mafundi
Hao wawili wa mwanzo ulikutana nao wapi ukawaona wanavyoheshimiana?The bird of a feather flock together.
 
Kuna makundi ya watu wakikutana mahali wanaheshimiana sana. Mimi nimeona makundi yafuatayo, je kuna siri gani?
1. Wachawi
2. Washirikina
3. Wanasiasa
4. Wanajeshi
5. Polisi
6. Wafanyabiashara wakubwa
7. Viongozi wa dini
8. Mateja
9. Madalali
10. Matapeli
11. Mafundi
mbona yanezid 7?
 
Kuna makundi ya watu wakikutana mahali wanaheshimiana sana. Mimi nimeona makundi yafuatayo, je kuna siri gani?
1. Wachawi
2. Washirikina
3. Wanasiasa
4. Wanajeshi
5. Polisi
6. Wafanyabiashara wakubwa
7. Viongozi wa dini
8. Mateja
9. Madalali
10. Matapeli
11. Mafundi
Dah yaan jf bana unaweza kutana na kitu ambacho ujakiwaza kabisa ...sijui mtoa mada alikua anawza nn
 
Back
Top Bottom