Hao wawili wa mwanzo ulikutana nao wapi ukawaona wanavyoheshimiana?The bird of a feather flock together.Kuna makundi ya watu wakikutana mahali wanaheshimiana sana. Mimi nimeona makundi yafuatayo, je kuna siri gani?
1. Wachawi
2. Washirikina
3. Wanasiasa
4. Wanajeshi
5. Polisi
6. Wafanyabiashara wakubwa
7. Viongozi wa dini
8. Mateja
9. Madalali
10. Matapeli
11. Mafundi
mbona yanezid 7?Kuna makundi ya watu wakikutana mahali wanaheshimiana sana. Mimi nimeona makundi yafuatayo, je kuna siri gani?
1. Wachawi
2. Washirikina
3. Wanasiasa
4. Wanajeshi
5. Polisi
6. Wafanyabiashara wakubwa
7. Viongozi wa dini
8. Mateja
9. Madalali
10. Matapeli
11. Mafundi
Walimu in Pwayungu's voice!Taja na makundi ambayo hawaheshimiani.
Wachawi na washirikina wanajulikana mitaani.Hao wawili wa mwanzo ulikutana nao wapi ukawaona wanavyoheshimiana?The bird of a feather flock together.
nlikua nataka nimuulize hilo swali mkuu, huenda anafahamiana naoUmeshawahi kuwaona wachawi wakiwa kwenye kundi?
Dah yaan jf bana unaweza kutana na kitu ambacho ujakiwaza kabisa ...sijui mtoa mada alikua anawza nnKuna makundi ya watu wakikutana mahali wanaheshimiana sana. Mimi nimeona makundi yafuatayo, je kuna siri gani?
1. Wachawi
2. Washirikina
3. Wanasiasa
4. Wanajeshi
5. Polisi
6. Wafanyabiashara wakubwa
7. Viongozi wa dini
8. Mateja
9. Madalali
10. Matapeli
11. Mafundi
Akikujibu ni tagUmeshawahi kuwaona wachawi wakiwa kwenye kundi?