Ila huu upuuzi wanaanzisha viongozi wa Africa. Hivi mfano watu wana pinga mambo fulani fulani na hawataki serikali muendelee why tu kidemokrasia msikubali nankuachia ngazi ili wengine wakae na wao wakileta upuuzi si mnawabalasa tu.
[emoji654]THIS IS AFRICA MTU ANGU
Yaani [emoji3578]kidemocrasia haitawaliki
[emoji3578]pia kimabavu haitawaliki.
[emoji654]here ndiyo tunaprove kuwa shida ya African ppl tunataka maendeleo huku
1. Hatutengenezi silaha za kujilinda , tunategemea tuuziwe na maadui zetu ,
2. Unafiki na usaliti unaitafuna afrika vibaya mno
3. Jamii zetu zimejaa wajinga, how??
Watu wameridhika na hali iliyopo yaani utaskia mtu anakuambia [emoji117]aah
mihimu uhai tu ,au mwisho wa siku wote tutakufa tu (huu ni ujinga ambao hauvumiliki )
but anyway all in all [emoji654] WENYE NGUVU/ AKILI HAWANA MAMLAKA
NA WENYE MADARAKA / MAMLAKA HAWANA UWEZO .