Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hili kundi sie tunaenda hatua inayo fuata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uganda na nigeria wanapita hapoHili kundi sie tunaenda hatua inayo fuata
Duh! Timu zilivyoorodheshwa ni kama msimamo wa kundi😀 utakavyokuwa.Group C
Nigeria
Tunisia
Uganda
Tanzania
Lukman na kibu denis hiyo hatari happ mwanawane.Tupo kundi ngumu tutakuwa wa mwisho,Uganda hatumwezi,Tunisia hatuwawezi,Nigeria ndo usiseme.
Dikson Job ndo amkabe Victor Osimhen?
😀😃Uganda na nigeria wanapita hapo
Hata Palestina na Lebanon siyo lazima wanawake kufunika vichwaSherehe zimefana sana hii Morocco ni ulaya kabisa
Sema mabinti wa Morocco tena wasanii hawafuniki vichwa kwa hijabu hii nadhani haitawafurahisha Hamas na hizbolah
Kwenye mpira anything can happenTupo kundi ngumu tutakuwa wa mwisho,Uganda hatumwezi,Tunisia hatuwawezi,Nigeria ndo usiseme.
Dikson Job ndo amkabe Victor Osimhen?
Kila timu imeshajua pakujichukulia pointGroup C
Nigeria
Tunisia
Uganda
Tanzania
Mapema sanaa🤣Kila timu imeshajua pakujichukulia point
Itakuwa yale ya gusa achia,wazee wa calculatorHili kundi sie tunaenda hatua inayo fuata
Hapa mchezo si mmoja tu ,ukishapigwa mara moja kwenye kundi hamkutani tena na aliyekupigaKila timu imeshajua pakujichukulia point
Tujitahidi kutoa uraia ila kwa hii Taifa stars sahau kupenya hapoKwenye mpira anything can happen
Nadhani round ni moja tu.. sisi game ya pili itabidi tuandae mabegi ya kurudiHapa mchezo si mmoja tu ,ukishapigwa mara moja kwenye kundi hamkutani tena na aliyekupiga
Atayeshindwa kumfunga Tanzania ameaga mashindano..Group C
Nigeria
Tunisia
Uganda
Tanzania