Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi haya mashindano hayana umuhimu wowote.Timu zinazojielewa zijiondoe
Na nani alikuambia timu zinacheza For prize money?Bingwa wa NBC anabeba million 500 mwaka mzima
Milion 100 kwa mechi 6 unaichukulia ndogo mkuu
Mkuu kwa timu za Tanzania huwezi kujiondoa mapinduzi hata mshindi angekuwa anapata mil 10, hili kombe lipo kisiasa ukijiondoa unafanya uchokozi kwa serikali,wizara ya michezo na TFF utafanyiwa kila fitna hadi vibali vya wachezaji wa kigeni vitakuwa longolongo mrefu.Timu zinazojielewa zijiondoe
Jamaa hajapiga mahesabu vizuri hiyo hela ni ndogo sana, tickets zote za wachezaji wa club,benchi la ufundi,hotel na chakula, gharama za mazoezi,usafiri wa Zanzibar.Million 100 ni kubwa kwetu mimi na wewe.
Kwa Simba na Yanga ni ndogo tu.
Hizo mechi zote za NBC Simba na Yanga wanakusanya viingilio,kila club inapata sponsors na bonusBingwa wa NBC anabeba million 500 mwaka mzima
Milion 100 kwa mechi 6 unaichukulia ndogo mkuu
Team itatoka mapema hata kabla hamjapata nafasi ya kuwaona.Halafu Yanga hii michuano ya kuangalia wachezaji wake Chipukizi ili kuwapandisha timu ya wakubwa.
Hahahaa baba LevoSasa nyie levo zenu si mamelod ali ali ya misri, waidadi. Nyie ni majayanti ya africa inakuaje mnalialia. au saivi levo zenu ni kina baba levo
Pesa ndogo kwa Yanga na Simba, hiyo ni pesa ya kiingilio Kwa mechi moja tu. Huko kuna kuumiza na kuchosha wachezaji. Tuendelee tu kusapoti vya kwetu.Bingwa wa NBC anabeba million 500 mwaka mzima
Milion 100 kwa mechi 6 unaichukulia ndogo mkuu
Nyinyi si mnajinasibu ni timu kubwa? Sasa malalamimo ya nini tena!!Kundi B la Simba,
-JKU hadi sasa inaongoza ligi kuu ya Zanzibar na imewahi kushinda makombe ya ligi kuu
-APR tangu 2020 imechukua makombe manne mfululizo ligi kuu ya Rwanda
-Singida FG ni timu ya nne kwa ubora kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara
Kundi A
Kundi B
- Vital’o
- Azam FC
- Chipukizi United
- Mlandege FC
Kundi C
- JKU SC
- Simba SC
- Singida FG
- APR FC
- KVZ FC
- Yanga SC
- Jamus FC
- Jamhuri SC
Bado kuna Azam Confederation,kwa wenzetu makombe kama haya hatua za mwanzo wanacheza vijana 70% na 30% watu wazima.Wakishafika nusu then percent ya vijana inashuka polepole then nusu au fainali inakuwa full mkoko.Team itatoka mapema hata kabla hamjapata nafasi ya kuwaona.
Upangaji wa makundi hauna uwiano sawa wa ubora wa timu ili Simba ikifanya mzaha isivuke maana Yanga hawana timu ya kushindana na Simba bila wachezaji wao walioko timu ya taifa. Pia sijaelewa kwa kuweka makundi matatu, hatua inayofuata wanachezaje.Kundi B la Simba,
-JKU hadi sasa inaongoza ligi kuu ya Zanzibar na imewahi kushinda makombe ya ligi kuu
-APR tangu 2020 imechukua makombe manne mfululizo ligi kuu ya Rwanda
-Singida FG ni timu ya nne kwa ubora kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara
Kundi A
Kundi B
- Vital’o
- Azam FC
- Chipukizi United
- Mlandege FC
Kundi C
- JKU SC
- Simba SC
- Singida FG
- APR FC
- KVZ FC
- Yanga SC
- Jamus FC
- Jamhuri SC
CAF champions league Yanga kapangwa kundi la mabingwa wa nchi zao tu na wala hajalalamika.Kundi B la Simba,
-JKU hadi sasa inaongoza ligi kuu ya Zanzibar na imewahi kushinda makombe ya ligi kuu
-APR tangu 2020 imechukua makombe manne mfululizo ligi kuu ya Rwanda
-Singida FG ni timu ya nne kwa ubora kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara
Kundi A
Kundi B
- Vital’o
- Azam FC
- Chipukizi United
- Mlandege FC
Kundi C
- JKU SC
- Simba SC
- Singida FG
- APR FC
- KVZ FC
- Yanga SC
- Jamus FC
- Jamhuri SC
Hizo Milioni 100 hazitoshi hata kulipa benchi la ufundiIla kipindi hiki pesa ipo
Zawadi ya bingwa ni million 100
Makolo lalamika tu