Makundi ya Damu (blood groups) na Mahusiano

Makundi ya Damu (blood groups) na Mahusiano

Daah kama unanisema vile.
Mimi nikimkubali mtu kama mshikaji au hata mpenzi atafurahia sana.
Lakini pia ninajua kuvumilia kwa kiwango cha juu mno hadi watu huogopa.

Lakini nikichafukwa sawasawa we kimbia tu.
Mara nyingi hata polisi huwa nikichafukwa nalianzisha humo humo bila kujali.

Hii imenigharimu sana tu lkn jinsi ninavyoendelea kukua naona ninakuwa na subira kiasi[emoji28]

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mungu akuongoze
 
O+ ni sahihi[emoji1316][emoji1316][emoji1316]

Yan kitu sipendi ni UWONGO!
2 ikiwa tumepanga kitu make sure unakikamilisha
Ila pia group hili ni wapotezeaji wazuri sana wa vitu
3 uvumilivu
4 natarajia sana kama nifanyavyo mimi! Ikiwa tofauti basi tutagombana
Ukiniomba kitu kama sitak kukupa nakuambia kabisa sikupi
 
O+ ni sahihi[emoji1316][emoji1316][emoji1316]

Yan kitu sipendi ni UWONGO!
2 ikiwa tumepanga kitu make sure unakikamilisha
Ila pia group hili ni wapotezeaji wazuri sana wa vitu
3 uvumilivu
4 natarajia sana kama nifanyavyo mimi! Ikiwa tofauti basi tutagombana
Ukiniomba kitu kama sitak kukupa nakuambia kabisa sikupi
Asante kwa mrejesho mkuu
 
Group O
Kwa kuongezea tuko so direct kwenye mambo. Yaani hatuna kona kona , usanii.
Na pia ni watu wa vitendo, action zaidi.
Aisee, yote kweli kabisa.
Yaani mimi ukinikosea just come to me niambie ukweli na uniombe msamaha huwa nasamehe na kujishusha sana. Ila ukinidanganya na ukweli ninaujua, aisee ni ngumu sana kuirejesha heshima yako uliyojijengea kwangu! I hate lies na utapeli!
Lakini pia kama kuna jambo letu tulilifanya sipendi sana ulisambaze kwa watu, nathamini usiri flani hivi.
 
Daah kama unanisema vile.
Mimi nikimkubali mtu kama mshikaji au hata mpenzi atafurahia sana.
Lakini pia ninajua kuvumilia kwa kiwango cha juu mno hadi watu huogopa.

Lakini nikichafukwa sawasawa we kimbia tu.
Mara nyingi hata polisi huwa nikichafukwa nalianzisha humo humo bila kujali.

Hii imenigharimu sana tu lkn jinsi ninavyoendelea kukua naona ninakuwa na subira kiasi[emoji28]

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hahahaaa, na hii ya kusimamia haki pia na msimo imara.
Hii tabia ilishanifukuzisha kazi pia [emoji4][emoji4][emoji4] (japo mpaka leo sijutii msimamo wangu), kidogo siku hizi na uzee wangu najifunza kuwa flexible pindi ninapoona jambo halina madhara sana!
 
Heshima zenu popote mlipo na poleni na kupanda kwa gharama za maisha........

Moja kwa moja kenye mada

Kuna uhusiano kati ya Kundi la damu na Tabia ya mtu katika mahusiano/mapenzi.
Kwa mujibu wa tafiti na machapisho mbali mbali zifuatazo ni baadhi ya sifa za watu kulingana na kundi la damu (blood group) katika mahusiano au mapenzi.

Blood group "A"
* Ni ngumu kidogo wao kufunguka na kushirikisha mambo yao
*Sio waongo (waadilifu na wakweli)
*Wana aibu na waoga hupenda kujificha
*Ukitaka kuchumbia au kuchumbiwa na mtu wa kundi A unahitaji uvumilivu
*Wakiamua kupenda utawafahamu wakati wote ingawa wataruhusu ufahamu sehemu ambayo unahusika. Hawawi wazi kila eneo

Blood group "B"
*Unaweza kufurahi nao sana kwenye mahusiano lakini uwe tayarii kuvumilia hasira zao za ghafla
*Vumilia hali yao ya kukwepa majukumu
*Wanaweza kuwa wakali na wakatili na wasiomaanisha kile wanachosema.
*Wanatabia ya umbea na wachonganishi sana
*Wanaweza wasiwe watu wazuri kuwa wapenzi kutokana na kukosa uaminifu na urahisi wa kuumiza mioyo ya wengine

Blood group "AB"
*Ni watu wanaoaminika kuwa wabinafsi zaidi
*Ni watu ambao mara nyingi hawaeleweki. Anaweza kuanzisha
Kitu kikaishia katikati halafu akaanzisha kingine
* Ni watu wazuri kwenye mambo yanayohusu fedha
*Ni wabishi na wakosoaji na mara nyingine hutoa maneno yanayo umiza
*Ukiwa katika mahusiano nao hufurahisha na unaeeza usiwe na nyakati nyingi za upweke

Blood group "O"
*
Huonesha mapenzi kwa wale wanaowapenda na hutarajia upendo wa jinsi ile ile wao wanavyoonesha upendo kwako bila hivyo utakosana nao
*Wanaaminika kuwa na tabia za kijeshi
*Wana roho nzuri sana ila hawapendi uongo
---###-------###------

Kutokana na utafiti huu Binafsi naona kuna uhalisia kulingana na tunayokutana nayo katika jamii.
Tabia ni kama ngozi kuisha hadi uchune japo nguvu ya "pesa" inajaribu kuficha tabia za baadhi ya watu hasa wanawake.
Tujifunze kuishi nao maana ndivyo walivyo na hawawezi badilika maana washwahili wanasema "Mbwa ukimjua jina hakusumbui"
Ukiona hamuendani kitabia na unampenda jitahidi ujue mbinu za kivita za kuishi naye blood group inaweza kukusaidia maana nzi kufia kwenye kidonda sio ufala ila kupenda

Nakaribisha maoni ......
Haya.
 
Back
Top Bottom