Zamani ilikuwa kila jumamosi mwisho wa mwezi ila sahv kila jumamosi hawa wanafunga barabaraWapuuzi kbs hao na mbio zao hizo..mazoezi yenu yasiwe kikwazo Kwa watu wengine, mbona sisi tunafanya mazoezi bila kuwa kero Kwa watumiaji wa barabara.
Waende uwanja wa taifaWatengewe maeneo ufukweni huko siyo barabarani
Kivipi mkuu?Jogging ni vichaka vya umalaya tuu hakuna la maana ππ
Watasema Yanga imewazuiaWaende uwanja wa taifa
Waombe kibali na walipieWatasema Yanga imewazuia
Hii inaukweli nilishuhudia sehemu ikipangwa mipangoJogging ni vichaka vya umalaya tuu hakuna la maana ππ
kama kwel watu wanafunga barabara ili wafanye mazoezi barabarani na viwanja vipo basi tuna safar ndefu sanaa.Hii tabia yenu ya kufunga barabara kuingia coco beach mpaka tanzanite Bridge mnatuletea wengine kero...
Bora mtafute maeneo mengine mkafanyie mazoezi yenu,mazoezi yenu wengine mnatuletea kero tu
Yaani kila jumamosi mnafunga barabara ...huu upuuz wngine tuna misele yetu mnatupotezea
Ova
Kivipi mkuu?