Makundi ya kijamii yanayompa Ushindi Rais Magufuli 2020

Makundi mengine haya yatakayompigia kura Magufuli:
√ wafanya biashara ambao watanufaika na uboreshwaji wa miundo mbinu ya usafiri (anga, barabara, maji na reli);
√ Wazazi ambao ada za shule lilikuwa tatizo;
√ Akina mama wajawazito (na familia zao) ambao huduma za afya zilikuwa mbali;
√ Na kadhalika
 
Lissu ndio kipenzi cha Watanzania sasa hivi.
Kwa sera gani?

Kwa lipi CHADEMA, chama chake, kimewafanyia Watanzania?

Au kwa udharilishaji wa Rais Magufuli anaoufanya kwenye kampeni zake?

Au kwa kuwa anawaahidi kwenye kampeni "ama zake ama za Magufuli"?

Au kwa kuwa ameaminisha mashabiki wake atakuwa Rais la, waingie barabarani kudai haki yao?
 
Kilichokuleta ni kuelezea yaliyofanywa na awamu hii, umezungukaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hayo yote ni wajibu wake ulitaka afanye nani
 
Kilichokuleta ni kuelezea yaliyofanywa na awamu hii, umezungukaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijazungumzia yaliyofanyika mkuu...kwani nimeitaja SGR,REA,STIEGLERS ??
 
Lissu anaungwa mkono na wenye akaunti mia mia mitandaoni!
 
Hata hao wanaopiga propaganda wote ni CCM, saccos mwaka huu hamtausahau. Magufuli, tano tena.
 
Kura zingine kwa CCM zitatoka kundi la kijamii la Gwajima na Kakobe
 
Asante kwa watanzania kwa kutuletea Jembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…