Uchaguzi 2020 Makundi ya Mafisadi na yaliyohujumu CCM 2015 yaanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni yakijiandaa kutoa Rais 2025 kutoka kundi lao

Uchaguzi 2020 Makundi ya Mafisadi na yaliyohujumu CCM 2015 yaanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni yakijiandaa kutoa Rais 2025 kutoka kundi lao

Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025

Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025

Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!
Post za kuandikiwa
 
Achana na huyo muongo anayenifananisha na Makonda mimi kuna watu wameshanifananisha humu hadi kuniita Magufuli!! huwa nacheka tu
Labda ni kwa mfanano wa lugha au mawazo ndiyo maana kasema vile.
 
Hakuna Rais aliyefanikiwa kumweka anayemtaka madarakani pindi yeye anapoachia kijiti.. Hakuweza Nyerere na hataweza Magufuli..

Watch that space..
 
Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025

Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025

Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!
Huo ndo ukweli Sasa,walikua wanajijenga chini chini huku wakijidai kuomba msamaha kwa wale viranja wao,JPM alikua anawasamehe kibinadamu kumbe wao Wana lengo lao tu.

NASEMA HIVI,KATIBU MKUU ALLY BUSHIRI HII NDOKAZI YAKE. NGUMU NA YAUMAKINI AMBAYO ANATAKIWA KUIFANYA ZAID TANGU ATEULIWE.Haya mafisadi ndiyo yaliyotufikishapabaya kiasi hata CCM kuchukiwa kila Kona,Sasa chama kila mtu anakitaka baada ya Rais Magufuli kukirudisha kwa wananchi kumbe wenginne bado wanaendelea na mipango yao ya chini kwa chini.
 
Mimi sio Makonda tafadhali

Basi ni mke au mchepuko wake. Bora mafisadi kuliko wauaji na wamiliki wa kundi la watu wasiojulikana. Hao mafisadi waliruhusu demokrasia, kuliko nyie wazalendo uchwara mnaolazimisha nchi irudi kwenye siasa za kizee za chama kimoja.
 
Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025

Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025

Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!
vizuri sana kwa kugundua ccm itaendelea kutoa maraisi milele!
 
Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025

Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025

Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!
Wewe ulikuwa wapi walipokukuwa wanaandaa ushindi wa kishindo??? UKIITWA BOYA UTAKATAA??
 
Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025

Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025

Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!
Wewe Makonda kufikia Ijumaa urudi kwenu Koromije. Dar es Salaam hatutaki wazururaji, watu wasio na kazi.

Pia ukumbuke kuoga. Tangu matokeo yatoke hujaoga. Dsm hatutaki watu wachafu.

NB: malipo ni hapa hapa duniani.
 
Wewe Makonda kufikia Ijumaa urudi kwenu Koromije. Dar es Salaam hatutaki wazururaji, watu wasio na kazi.

Pia ukumbuke kuoga. Tangu matokeo yatoke hujaoga. Dsm hatutaki watu wachafu.

NB: malipo ni hapa hapa duniani.
wewe mimi sio Makonda please
 
Wewe ulikuwa wapi walipokukuwa wanaandaa ushindi wa kishindo??? UKIITWA BOYA UTAKATAA??
Mchakato bado tunatonyana kuwa huko mbele kwenye michakato hilo litizanwe ,Kundi la wahujumu CCM 2015 ,Mafisadi na wafuasi wao lina bounce back kujipanga tayari kwa 2025!!! CCM beware!!! Meseji ndio hiyo!!
 
Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025

Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025

Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!
Hayatuhusu kabisa malizaneni wenyewe huko
 
Ukifuatilia vizuri na kuhoji watu mbalimbali wanaonaje matokeo yanayoendelea kura za maoni za CCM jibu utakalopewa ni kuwa yale makundi yaliypshindwa kuchukua nchi 2015 yakiwemo mafisadi na vibaraka wao na waliohujumu CCM uchaguzi wa 2015 yameanza kujikusanya kwa kushinda kura za maoni maeneo mbalimbali .Lengo lao la kurudi kwa kasi na kushinda kwa kasi ya mwewe ni kujijenga kundi lao tayari kwa kuweka mtu wao 2025 Magufuli anapoondoka.Wako focused serious na wanataka lazima mtu wao awepo 2025

Inavyoonyesha ni kuwa kipindi chote cha kuanzia 2015 wao wamekuwa wakihangaika kujijenga upya na ku jimobilize tayari kwa 2025.Ndio maana wengi wamefanikiwa kwa kasi ya ajabu na kwa kura nyingi kushinda kura za maoni.Mwenyekiti Magufuli mtihani wake mkubwa kipindi hiki ni pamoja na kuandaa mrithi sio tu kufanya kazi za kawaida asipoandaa haya makundi yako tayari kuweka mmoja wao.Kwenye mchujo CCM iwe makini sababu mchujo wa safari hii ndio utaamua hatima ya uraisi 2025

Ushindi wa kimbunga wanaoupata ni maandalizi ya 2025 wala hawalengi tu kupata ubunge na udiwani!!!
Kama wamesshinda kwa haki sasa shida iko wapi bwana bashite?
 
Back
Top Bottom