Makundi ya Waislamu Waafrika wavamia na kuzuia sherehe za kusheherekea tamaduni za Kiafrika

Makundi ya Waislamu Waafrika wavamia na kuzuia sherehe za kusheherekea tamaduni za Kiafrika

Si kweli,uislamu haufundishi hayo usemayo,bali kuna waovu waliojificha ndani ya uislamu hivyo nyie wagalatia mnashindwa kutofautisha baina ya uislamu na hayo makundi yenye itikadi kali ndani ya uislamu
Kwan msikemee ? Kwann msirekebishe vifungu kwenye quran vinavyoeneza chuki kwa wasio waislam?
 
Biblia imeandikwa kimafumbo sana na ukiisoma kama gazeti lazima uchanganyikiwe
Luka 10:19
"Nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na kushinda nguvu zote za yule adui; wala hakuna kitu cho chote kitakachoweza kuwadhuru."
Wewe mtafute nyoka au nge mkanyage uone, utakachokipata. Utakufa ila huu mstari haumaniishi hivyo kama ulivyosoma

Iko hivi, binadamu huwa anapenda kufuata mafundisho au mambo yake yasiyompendeza Mungu. Yesu kristo alipokuja duniani, alikuta watu tayari wanaamini wanavyoamini wao (wanatenda dhambi) kwahiyo alipoanza kuhubiri waache dhambi, makundi mawili yaliibuka yenye mfarakano. Kundi linamlofuata Yesu na lingine lisilomfuata.
Baba anaabudu mizimu na ndiyo anaamini hivyo ila sasa mwanaye akianza kumuabudu Mungu wa kweli kupitia Yesu kristo hawa watu wataingia kwenye mafarakano hivyo hivyo kwenye ukoo wenu wa waislamu mmoja wenu awe mkristo kutakuwa na mafarakano. Mfano halisi angalia Zanzibar, ukienda kuhubiri neno la Mungu, kuna watu watataka wakuue, wengine watachoma kanisa au kukudhuru kwa namna moja au nyingine.
Biblia haisomwi kama gazeti, utakuja kuumbuka
 
Wapumbavu kabisa hao, wanachojua ni kujipendekeza tu kwa Waarabu
Kwanza hii deen haiwahusu wenyewe ni warabu!
[emoji116][emoji116]

: وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mji Macca na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.
: وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

claims!; Saudi cleric Muhammad al-Arifi said:

ARABS are the true Muslims and the true descendants of Prophet Muhammad (pbuh)..

"Non—Arabs who without shame, called themselves Muslims are just plain Converts whom are lowly cowards with unhonourable souls That were overwhelmed with ease by the Swords of Allah, thus they deserved to be called as our Dogs."
 
Kwanza hii deen haiwahusu wenyewe ni warabu!
[emoji116][emoji116]

: وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mji Macca na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.
: وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

claims!; Saudi cleric Muhammad al-Arifi said:

ARABS are the true Muslims and the true descendants of Prophet Muhammad (pbuh)..

"Non—Arabs who without shame, called themselves Muslims are just plain Converts whom are lowly cowards with unhonourable souls That were overwhelmed with ease by the Swords of Allah, thus they deserved to be called as our Dogs."
Kumbe
 
Waafrika ni nguruwe, unatukuza utamaduni wa mwenzako wakati huo ww utamaduni wako umekitelekeza

Hakutakuwa na maendeleo Afrika hadi waafrika waje wajitambue, kule utamaduni wa mzungu huko utamaduni wa mwarabu ujinga wa kiwango cha lami
 
Ila hii dini ni tatizo,imekaa kisharishari tu,vikiwaga vingi kwenye jamii ninasumbua minority ila vikiwa vichache kazi yao kuu ni kuplay victims,dini ya hovyo sana hii.
Sio kweli,hao watakuwa wamechokozwa,Waislamu hawatakaki ujinga.Wanamsikiza Yesu alivyosema Matthew 10:34-36
"Sikuleta amani,nimeleta upanga".
 
Sasa tutajuaje kuwa nani anafuata kwa ukamilifu maandiko ya msahafu, hao wenye itikadi kali au ninyi mnaojiita moderate? Maana hata nao wanaona hamsimamii kikamilifu maandiko
Wanafuata maneno ya Yesu;ndani ya kitabu kitakatifu Biblia
Matthew 10:34-36.
"Sikuleta amani,nimeleta upanga".
 
Hebu some hilo Agizo la Allah Halafu utuambie Hii ayat imeshuka wapi?
Sababu ya kushuka!
Na Mtumi wenu kaifundishaje!
[emoji101][emoji101]

[emoji116][emoji116]
قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ

(AT-TAWBA - 29)
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
Maneno ya Yesu Mathew 10:34-36
Anasema"sikuleta amani,nimeleta upanga".
 
Mbona duniani kuna dini nyingi tu,mbona kila siku matukio kama haya yatoke kwenye dini ya kiislmu,chunguzeni mafundisho yenu yana walakini.
Wamechukuwa kwa Yesu:
Matthew 10:34-36 anasema
"Sikuleta amani,nimeleta upanga".
 
Ni kweli haina uhusiano na uislamu maana uislamu kamili ni majanga, kama wangefuata uislamu kamili basi ingebidi wachinje watu kabisa kwa kufuata haya maagizo yenu

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Wamefuata maneno ya Yesu
Matthew 10:34-36 amesema "Sikuleta amani,nimeleta upanga"
 
Mtoa mada umejitahidi xana maana naamini siku moja utarudi kwenye dini yako ya haki ya uislam kitu unashindwa kujiuliza tangu umezaliwa wajinga wachache wanaupakazia sifa mbaya uislam ila kila kukicha unaenea kwa kasi maelfu wanazidi kuslim kwa wingi na mpaka mda huu ndo dini pekee iliyosimama imala kukulinda usiolewe na mme mwenzako kuna taifa fulani linaeneza chuki lakini kuna jimbo lake moja uislam umekataa bendera ya ushoga isipepee najua na wewe mda ukifika utatangaza uislam vzr na kama wale wakenya wasingekua na akili kisoda yasingewakuta mwislam unafundishwa kujitambua
Umeelezea vizuri,umemaliza mjadala.
 
Kuenea kwa kasi sio kigezo cha uhalali maana hizi zama shetani ana bidii sana hadi watu wengi wanahamia kwake, kwenye Biblia imeandikwa siku za mwisho Wakristo wengi watayumba sana, upendo wa wengi utapungua, manabii wa uwongo wataibuka, Wakristo watachinjwa sana na tunayashuhudia, tumeona matukio ya waislamu wakichinja Wakristo, yametabiriwa.
Wakristo wengi watahamia kwenda freemason, budha, uislamu na mambo mengine mengi ambayo yanakwaza Ukristo.
Japo kati ya wote hao, uislamu ndio hatari maana nyie mumeagizwa kabisa kuchinja Wakristo

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Yesu amesema kwenye Matthew 10:34-36
"Sikuleta amani,nimeleta upanga"
 
Kwa hivyo ndio maana mnawachinja kisa mumeagizwa na muarabu, unamchinja Mwafrika mwenzako kisa muarabu alikuja Pwani za Afrika akabaka mababu za Wabantu halafu akaacha maagizo mfuate kitabu chake chenye haya maagizo.

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Wanafuata maneno ya Yesu,ili wapate uzima wa milele,Yesu kasema Matthew 10:34-36
"Sikuleta amani,nimeleta upanga".
 
Back
Top Bottom