Makundi ya wanajeshi wa Urusi waanza kugomea vita vya Putin

Makundi ya wanajeshi wa Urusi waanza kugomea vita vya Putin

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Huyu kichaa ataachiwa apigane mwenyewe.... Kuna wanajeshi wameamua liwalo na liwe hawapigani.
_________________

More Russian soldiers refuse to fight in Ukraine​

Prepared to face consequences, many Russian troops are disobeying their officers and are not willing to go to Ukraine.​







 
Huyu kichaa ataachiwa apigane mwenyewe.... Kuna wanajeshi wameamua liwalo na liwe hawapigani.
_________________

More Russian soldiers refuse to fight in Ukraine​

Prepared to face consequences, many Russian troops are disobeying their officers and are not willing to go to Ukraine.​







US media propaganda. The Nazi empire must fall
 
Huyu kichaa ataachiwa apigane mwenyewe.... Kuna wanajeshi wameamua liwalo na liwe hawapigani.
_________________

More Russian soldiers refuse to fight in Ukraine​

Prepared to face consequences, many Russian troops are disobeying their officers and are not willing to go to Ukraine.​







Habari kama hii ulishasemaga tokea haka ka operesheni kanaanza ,,,cha ajabu miezi inakata tu mtu bado anachezea kichapo............we mkunya endelea tu kutikisa hilo wezere mbuyu haung'oki kirahisi hivyo
 
Huyu kichaa ataachiwa apigane mwenyewe.... Kuna wanajeshi wameamua liwalo na liwe hawapigani.
_________________

More Russian soldiers refuse to fight in Ukraine​

Prepared to face consequences, many Russian troops are disobeying their officers and are not willing to go to Ukraine.​







Hao watapotezwa.
 
Ukiachana na hivyo hawa wameshakija na nyuzi kuwa Ukraine kashinda vita [emoji23]

Nashangaa hujalijua hilo, ile tu kwamba msafara ulibadilishwa kuwa chuma chakavu na Urusi wakafukuziwa Kiev kama mbwa, huo ni ushindi tosha, mengine hayo ya kugombania tumji twa huko mipakanani sio issue kubwa, maana wengi tulikua tunaogopa sana Urusi, tulidhani wana chochote cha maana, kumbe useless.
Na sasa hizi taarifa za wnajeshi wa Urusi kuendelea kugomea vita, yaani hadi raha....
 
Huyu kichaa ataachiwa apigane mwenyewe.... Kuna wanajeshi wameamua liwalo na liwe hawapigani.
_________________

More Russian soldiers refuse to fight in Ukraine​

Prepared to face consequences, many Russian troops are disobeying their officers and are not willing to go to Ukraine.​








Igeuze hii habari ndyo itakua kweli
Ukraine wagoma kupigana vita kisa hawapewi silaha wala chakula
Walalamika wanapelekwa kufa…..
 
Back
Top Bottom