Makundi ya wananchi Niger yaapa kupigania ulinzi wa nchi

Makundi ya wananchi Niger yaapa kupigania ulinzi wa nchi

Mwafrika ni kiumbe cha ajabu sana!!Kwani hiyo Niger ndio nchi ya kwanza kuongozwa kijeshi, hadi hao wananchi wawaone kuwa sasa ndio wakombozi wao? Wakati ni nchi zilizo kwenye umaskini wa kutupwa. Hapo ni nyani mpya msitu ule ule! Hao makamanda wapige pesa wajiondokee hakuna kina THOMAS SANKARA, hapo! Na hivi kweli ECOWAS kwa kushirikiana na ufaransa waamue kuwaondoa,mbona ni mchana tu, kazi inaisha, kuna majeshi gani ya maana huko (Mali, Niger na Burkina Faso) ambapo makundi ya waasi kila leo yanawasumbua?umtoe mfaransa umuingize mrusi eti unasema unataka uhuru wako?!!
Angalau Urusi haibi mali zao kama wanavyoiba Ufaransa, Muengereza na Marekani, Usifananize Urusi na hao wezi maLGBTQ
 
Mwafrika ni kiumbe cha ajabu sana!!Kwani hiyo Niger ndio nchi ya kwanza kuongozwa kijeshi, hadi hao wananchi wawaone kuwa sasa ndio wakombozi wao? Wakati ni nchi zilizo kwenye umaskini wa kutupwa. Hapo ni nyani mpya msitu ule ule! Hao makamanda wapige pesa wajiondokee hakuna kina THOMAS SANKARA, hapo! Na hivi kweli ECOWAS kwa kushirikiana na ufaransa waamue kuwaondoa,mbona ni mchana tu, kazi inaisha, kuna majeshi gani ya maana huko (Mali, Niger na Burkina Faso) ambapo makundi ya waasi kila leo yanawasumbua?umtoe mfaransa umuingize mrusi eti unasema unataka uhuru wako?!!
Yani wewe ka lijuha vile,
 
Back
Top Bottom