Sm
Small mind.Maneno ya kanga hayo, watu wameamua na hauna kurudi nyuma, vibaraka wa west wote matumbo joto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Small mind.Maneno ya kanga hayo, watu wameamua na hauna kurudi nyuma, vibaraka wa west wote matumbo joto
Angalau Urusi haibi mali zao kama wanavyoiba Ufaransa, Muengereza na Marekani, Usifananize Urusi na hao wezi maLGBTQMwafrika ni kiumbe cha ajabu sana!!Kwani hiyo Niger ndio nchi ya kwanza kuongozwa kijeshi, hadi hao wananchi wawaone kuwa sasa ndio wakombozi wao? Wakati ni nchi zilizo kwenye umaskini wa kutupwa. Hapo ni nyani mpya msitu ule ule! Hao makamanda wapige pesa wajiondokee hakuna kina THOMAS SANKARA, hapo! Na hivi kweli ECOWAS kwa kushirikiana na ufaransa waamue kuwaondoa,mbona ni mchana tu, kazi inaisha, kuna majeshi gani ya maana huko (Mali, Niger na Burkina Faso) ambapo makundi ya waasi kila leo yanawasumbua?umtoe mfaransa umuingize mrusi eti unasema unataka uhuru wako?!!
Yani wewe ka lijuha vile,Mwafrika ni kiumbe cha ajabu sana!!Kwani hiyo Niger ndio nchi ya kwanza kuongozwa kijeshi, hadi hao wananchi wawaone kuwa sasa ndio wakombozi wao? Wakati ni nchi zilizo kwenye umaskini wa kutupwa. Hapo ni nyani mpya msitu ule ule! Hao makamanda wapige pesa wajiondokee hakuna kina THOMAS SANKARA, hapo! Na hivi kweli ECOWAS kwa kushirikiana na ufaransa waamue kuwaondoa,mbona ni mchana tu, kazi inaisha, kuna majeshi gani ya maana huko (Mali, Niger na Burkina Faso) ambapo makundi ya waasi kila leo yanawasumbua?umtoe mfaransa umuingize mrusi eti unasema unataka uhuru wako?!!