Makundi ya watu ambao wakifungua biashara lazima zife, fahamu kundi lako na Ubadilike

Kuna tofauti gani kwenye hili andiko na wale motivesheni spikas walioanzisha restaurant kwa mchele mmoja??
Tofauti yake ipo akilini mwako, ukiliweka hili andiko kichwani na kulitafakari vizuri, basi kama una akili timamu lazima ujifunze kitu!

Ila kama ubongo wako hauna uwezo wa kuelewa basi hautaona tofauti kati ya uzi huu na ule wa kula tunda kimasihara.
 
Oho basi sawa mkuu ..shukurani
 
Ni vyema umeonja pande zote umejua uchungu na utamu wake, ki ukweli ajira huwa inatulinda sana panaotokea economic crisis kidunia ingawa sio sana ila sio mbaya kulinganisha na waliojiajiri, hela ya kujikimi ipo inakuwepo sio mbaya, ila ukijiajiri kuna wakati utatumia hela kwaajili ya gharama ya uendeshaji biashara muda wote huo wote na sio kutemgeneza faida
 
Duh ngoja aje atatolea ufafanuzi kwa hili
 
Duh ngoja aje atatolea ufafanuzi kwa hili
Sidhani kama atakuja, hizi allegations zipo toka mwanzoni mwa hii thread

Nigga anazipita tu....

Ugumu wa maisha na kukosa uelewa wa mambo unafanya watu wawe conned kirahisi mitandaoni humu

Amekaa kimya hadi sasa, most probably kijana ni con artist mwenye kiburi pro max
 
Mdada alipost screenshots za vitisho kutoka kwa mshkaji.

Maajabu yake mdada akala ban.
 
MImi nipo kwenye moja ya hayo makundi hapo basi sifungui tena biashara...
 
Umesahau wale wanaofungua banda la M-PESA akiona mwenye bar kafungua?

Unawaachaje wale wanaoona jirani yake anauza genge na yeye anafungua lake pembeni Mita tano na alipo.

Hiyo safi sana inatengeneza umaarufu wa sehemu hiyo mwisho wa siku pataitwa magengeni wateja wataongezeka ndio maana ukienda mjini utakuta sehemu moja karibuni nusu mtaa au mtaa wote ni maduka ya nguo au vyombo au mapambo yamepangana.
 
This mindset is superb[emoji123] Huyu jamaa anaongea point tupuuu acha kabisa. Nakuelewa sana controla
 
For real hamjawahi uona huo uzi?

Baada ya pale mchizi akapotea kisha akaja na uzi wa kudai amefiwa. Personally nikajua ni trick ya kutaka huruma.
Hahahaha kwa hiyo msiba kuna wezekano ni "man made mkuu."

Una maanisha Kwa hiyo mwamba akaamua kumuua baba'ke ili APATE huruma za wafuasi wa jf.!!
 
Tungepata na upande wa pili WA yule Dada ungekuwa vizuri sema ndo hivyo nasikia kala Ban ..na mchizi hajajibu chochote hadi sasa na kuna maboya lazima watapigwa tu.
 
Duh mdada wa watu akala ban.

Sasa mkuu tufanyeje? Tuilaumu serikali tu..

Vip ile connection ya mama j wa yanga ulipataga??
Sikuitafuta.

Tz utapeli mitandaoni ni rahisi kwakua mitandao imeingia huku bado watu hawana uelewa na exposure.

Mfano ukiingia insta au kupatana unakuta mtu kapost anauza PS4 Pro 350K. PS5 450K.

Na anapata watu mostly coz watu wengi wana kanuni ya 'Seeing is believing' so ataona nyuzi za mchizi atapenda anachoona then the rest ni maumivu.
 
Hahahaha kwa hiyo msiba kuna wezekano ni "man made mkuu."

Una maanisha Kwa hiyo mwamba akaamua kumuua baba'ke ili APATE huruma za wafuasi wa jf.!!
Well akili yake ndivyo ilivyomtuma. Na amefanikiwa kwakua ona jinsi watu wachache wanaoukumbuka huo uzi.

Katika psychology huyu anaitwa 'sociopath' yuko radhi kudanganya hata uongo wa kimiyeyusho ili mradi lengo litimie.
 
Mtandaoni huku ukiwa mzuri kimaandishi na unaweza kuwashawishi basi ni rahisi sana kuwapiga.
 
Asante.vipi sisi wazee wa kuahirisha mambo? Kesho unatakiwa kwenda kuanza mambo, unaingiza kasababu siku inaisha. Sisi unatuzungumziaje mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…