nimependa hii, "hajui mwenzake faida anaipataje anachojua yeye ile biashaara ina pesa naitaka namimi kuifanya". hapa uko sahihi, ndo mana unaweza kuta mtu anapa loss kila siku na hafilisiki hata kidogo ila wewe ukimuiga hiyo biashara ukipata loss moja unayumba hatari hadi kupelekea kufiliskaa, kumbe methodology ndo kitu cha mhimu,
yaani wote mna biashara sawa lakini methodology ya kupata faida nitofauti
unaweza kuwa na biashara lakini ukatumia niia ya kupata faida kwenye hio biashara ikawa tofauti na njia za kawaida zilizozoelekaaa kwa watu, inakuwa ni unseen technic.
mtaji unagawanyika kwenye makundi mawili moja ni muda na nyingne pesa
sasa kama sasa huna mtaji wa pesa, basi tumia mtaji wa muda kujifunza deep projects tofauti tofauti zinavyooperate nje ndani, ili siku moja ukiwa ni wale watu wa kupata hela kwa gaflaa, uweze kufanya biashara uliokuwa unajifunza naamini utafanikiwa coz njia nzima utakuwa umejifunza so ya kuuliza kwa watu yatakuwa machache sanaa