Makundi ya watu ambao wakifungua biashara lazima zife, fahamu kundi lako na Ubadilike

Nakupenda kaka yangu CONTROLA yani una vitu kichwani hata kama huvifanyii kazi ila jua vinatusaidia sana. Unaweza ukawa siku hyo umekata tamaa kabisa ukija kusoma mada zako unasema kumbe niendelee kuvumilia tuu.
Your welcome love... Thanks 😍

Napenda tu ufahamu kaka ako sio Motivator, sio Mpasha watu vichwa wale tunawaita

motivational speaker,ukiona kitu nakiandika ujue nakifanya and mostly vyote ninavyoshauri

watu wafanye navifanya na kama sikifanyi,basi kipo njiani kinakuja "naibiaga watu siri za plan zangu"

japo hawajui,naandika kwa ajili ya wana JF naandika kwasababu najua naokoa wangapi,testimony ninazo PM

Sitochoka wala kuacha wala kusitisha kufanya ninachofanya,ukiniuliza my favourite game nitakujibu just easy "chasing money" its my favourite game..

Be inspired and take action,nawaambiaga watu walio around me hasa marafiki na watu walionizoea kuwa

Napenda kuwaona wakifanikiwa,napenda kuona nina marafiki wana pesa,napenda kuona nimezungukwa na watu wana mafanikio.

so sitoweza wapa pesa ila nimeshawambia nitawasaidia kwa lolote lililo ndani ya uwezo wangu,i had no one to push me forward before ila mimi nimejiapiza nitasaidia sana yeyote ataeniona naweza msaidia.

This is JF si miaka mingi Watu watanijua who is CONTROLA sibwabwaji tu,sitafuti fans,sitafuti anything nafanya kwa ajili yenu, ukiinuka ukasimama "huo ni ushindi kwangu"....
 
Walianzisha uhusiano wa kimapenzi au urafiki wa kawaida?
 
Appreciated
 
Kwangu hii ndo post Bora tokea nijiunge humu
Na mnavyomjaza sifa ndio maana anawapiga huko PM mnakuna kulia lia humu.
Huyu mwana alitapeli mdada humu, akamla bure na kisha akamkopa, finaly akamtengenezea matusi ya kumdhihaki kwamba ana kaswende akafie mbali, cha ajabu wana JF hawa hawa hawajawah kuona huyu jamaa ana appologize wala kusema kamlipa dada hela yake isipokuwa zile jeuri na dhalau alizoonesha kwenye msg alizokuwa anamtumia yule mdada ndo hizo hizo kazimaintain.

Na hii kujisifia kwamba ana madini sijui business ni eidha ana kopy toka kwa waandishi huko kwenye apps na magroup ana paste humu, maana yule dada aligusia kwamba huyu kijana hana kitu sana sana alifungua kibanda cha mpesa na kikamshinda.

Ninachotaka kusema

1. Hii ni njia anayotumia kuwalia hela watu humu na kuwala nyama zao pale inapobidi kama yule alieliwa hela na nyama.

2. Hawa ni wale wale motivational speakers, sio wafanyabiashara, basi kama anafanya ni theory nyingi

3. Wana JF tujifunze kuacha unafiki tunapoona mtu anaendekeza utapeli, ujeuri, ubedhui, n.k tunapasa kumshauri na kumfunza utu!

Ila kupiga piga makofi kwa tapeli inamaanisha mnaunga mkono tuhuma zake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema kweli Ila kumbuka pia dunia haiko kulingana na mtizamo wako mkuu
Once upon time said that "" we don't see things as they really are but how we're""
Nina milioni 600 nimefisadi samowea naagiza Kosta zangu 10 napata usimamizi mzuri na motisha plus morale kwa madereva.
Kuwa dereva atakayekuwa anatunza gari yake isiharibike mwisho wa mwaka nampiga kiwanja hapa kazi haiendi kweli.
Najenga nyumba za kupangisha so hapa sitoboi.

Huwa inategemeana na Aina ya biashara.binafsi napenda Sana biashara ya daladala Mana Haina kubembeleza mteja.
 
Ndo maana mimi niliamua kuchagua madini yake na sio personal issues zake

Na ikiwezekana aendelee kutufundisha kila siku asichoke

CONTROLA Mungu akupe moyo kuyashinda haya hizi attacks zisizo na maana
 
Kama ni tuhuma why mnaendelea kumattack wakati hakuna uthibitisho?
Ukiichunguza sana utagundua ni wivu walionao kwa mwana kuwa kwanini anawafuasi na watu wengi wanasifia mabandiko yake kuliko wao .,..kwa maelezo yao wanafikia mpaka kuwakosea heshima waanzilishi na wafanyakazi wa jf kwa kusema kuwa wanamlinda mwana kwa kufuta huo uzi na kumpiga ban huyo dada kwa manufaa ya kumlinda tapeli controller
 
Hebu upandishe huo uzi usijekua unamchafua jamaa

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Bro najifunza mengi sana kupitia posts zako
Siku nami nikifanikiwa nitakuja kupost
 
9/12/21 Bado naendelea kuusoma huu uzi
 
Motivation speaker
Aisee hawa jamaa ukiwasiliza unaweza kujiona dunian mjinga n wee tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…