Makundi ya watu yanayoishi kwa stress kwenye jamii

1. Wamiliki wa makampuni ya mabasi ya abiria
2. Wanaodaiwa marejesho na mabank
3. Wale walio olewa na watu wa siku ya ijumaa
4. Viongozi walioteuliwa
 
Hii namba 8 inawafanya wanagawa uroda ili kupata hela za marejesho
 
Ongezea na kundi la chawa wa mama
Mkuu usinipeleke kuanza kuwaza ya bandari mie!
Nawaza huu mkataba, wawekezaji watapoanza kufanya kazi, nikijua dhahiri kuwa zabuni yoyote inayoingiwa kwa rushwa na maneno maneno, huwa haikidhi malengo, ref to: Net group solution, Trl, Nbc etc etc, Serikali walikomaza mafuvu kama sasa, matokeo yake kila mTz anayajua!

Sasa wote hawa, hata watu tuliowaheshimu zamani na leo wanajifanya machawa, sijui sura zao wataziweka wapi, au wataendelea kujibaraguza kwa uongo mwingine?
Mimi ngachoka kabisa isee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…