Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 5,083
- 6,872
Mwaka 2017- 2021 ambapo Simba ilichukua kombe misimu 4. Yanga walikuwa na kombe la kuringishia?Ila hamna kombe lolote lakuringishia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka 2017- 2021 ambapo Simba ilichukua kombe misimu 4. Yanga walikuwa na kombe la kuringishia?Ila hamna kombe lolote lakuringishia
Ambao Leo wamepigwa marufukuOngezea na kundi la chawa wa mama
Wanandoa waliokosa watoto
Yote hawana kombe wanashangilia hata bonanza na kibegi1. Simba ni timu ya 8 miongoni mwa timu bora barani Afrika. Yanga ikiwa ya 18
2. Simba imecheza Ligi ya mabingwa mpaka robo fainali huku Yanga ikicheza mechi mbili ya Zalan na Al hilal ikatolewa ikaenda kucheza kombe la washindwa (Shirikisho)
3. Simba itacheza mashindano ya Super cup. Haya mashindano wanacheza timu bora barani Afrika huku Yanga hayupo na inawezekana ikamchukua miaka 200 kucheza.
Hii rekodi aliyoweka Simba, Yanga inaweza kumchukua miaka 200 kuvunja rekodi ya Simba.
Mwaka 2017-2021 Simba ilichukua ubingwa misimu 4 mfululizo. Sioni jipya hapo
Sasa hivi ukitolewa Champion hakuna kwenda Confederation.
Unafikiri kati ya Simba na Yanga nani anaishi na wasiwasi?
Nashangaa hawapo
[emoji23][emoji23][emoji23] Mtoa thread ni mwalimuMpwayungu Village naona walimu hawamo kwenye hii orodha, yapi maoni yako kuhusu hili ?
Umewasahau wanasimba wote
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ongezea na kundi la chawa wa mama
Wanavyowabeba sasaMkuu usinipeleke kuanza kuwaza ya bandari mie!
Nawaza huu mkataba, wawekezaji watapoanza kufanya kazi, nikijua dhahiri kuwa zabuni yoyote inayoingiwa kwa rushwa na maneno maneno, huwa haikidhi malengo, ref to: Net group solution, Trl, Nbc etc etc, Serikali walikomaza mafuvu kama sasa, matokeo yake kila mTz anayajua!
Sasa wote hawa, hata watu tuliowaheshimu zamani na leo wanajifanya machawa, sijui sura zao wataziweka wapi, au wataendelea kujibaraguza kwa uongo mwingine?
Mimi ngachoka kabisa isee!
Mtu anachukua mkopo bank anaenda kuweka heshima bar, pesa ikikata na marafiki wakiyeyuka hizo stress zake unaweza kupata strokehujamalizia maelezo, wenye mikopo na hawakutumia vyema mikopo yao!
Hii kazi kama Huna moyo siku 2 tu unaachaHujawahi kufanya kazi za sales wewe. Stress zake hakuna anayezifikia kati ya hao wote apo juu.
NAKAZIA9.Wenza waishio na chui.
Chui ni mwanamke/ mwanaume mgomvi,mtata,mkali, mkorofi ambae akifika home hadi nyau zinatafuta chimbo la kujifichia.
[emoji2][emoji2][emoji119]Ongezea na kundi la chawa wa mama
Kwa hiyo wale Watumishi wa Mungu tunao wasoma kwenye Biblia ambao walikiwa wanakula wajakazi wao,walikuwa Wababa wa hovyo?kinacho wapa hofu wadada wa kazi za ndani ni wanapokutana na wababa wa hovyo wanaowatamani,
Asilimia kubwa binti akiwa mzuri lazima wababa wa hovyo wanawatamani na wengi wao huishia kwenda kufanya kazi za bar! ukiwa karibu na bar med wengi watakwambia walisha fanya kazi za ndani