Makundi ya watu yanayoishi kwa stress kwenye jamii

Makundi ya watu yanayoishi kwa stress kwenye jamii

Hii omba mungu akuepusha inatia simanzi sana nyie watoto ni wasumbufu ukiwa nao ila wakikosekana, utaona dunia chungu mtoto anatia stress jaman wenzio wanakusimulia vitoto vyao vimevunja rimoti vyombo napo ndo wanapotonesha kidonda
Wanandoa waliokosa watoto
 
1. Simba ni timu ya 8 miongoni mwa timu bora barani Afrika. Yanga ikiwa ya 18
2. Simba imecheza Ligi ya mabingwa mpaka robo fainali huku Yanga ikicheza mechi mbili ya Zalan na Al hilal ikatolewa ikaenda kucheza kombe la washindwa (Shirikisho)
3. Simba itacheza mashindano ya Super cup. Haya mashindano wanacheza timu bora barani Afrika huku Yanga hayupo na inawezekana ikamchukua miaka 200 kucheza.
Hii rekodi aliyoweka Simba, Yanga inaweza kumchukua miaka 200 kuvunja rekodi ya Simba.
Mwaka 2017-2021 Simba ilichukua ubingwa misimu 4 mfululizo. Sioni jipya hapo
Sasa hivi ukitolewa Champion hakuna kwenda Confederation.
Unafikiri kati ya Simba na Yanga nani anaishi na wasiwasi?
Yote hawana kombe wanashangilia hata bonanza na kibegi
 
Hapo kwa ma housegirl ni sawa kabisa,nina mama yangu mkubwa alikuwa anamkata
mshahara house girl akivunja sahani au chombo chochote. Kuna mwingine yeye hata kutoa nguo kwenye kabati alikuwa anamwita house girl anamwambia nitolee hiyo nguo.Du yaani ni majanga kuwa house girl kwa boss makatili.
 

Attachments

  • FB_IMG_1691232429836.jpg
    FB_IMG_1691232429836.jpg
    32.3 KB · Views: 1
Mkuu usinipeleke kuanza kuwaza ya bandari mie!
Nawaza huu mkataba, wawekezaji watapoanza kufanya kazi, nikijua dhahiri kuwa zabuni yoyote inayoingiwa kwa rushwa na maneno maneno, huwa haikidhi malengo, ref to: Net group solution, Trl, Nbc etc etc, Serikali walikomaza mafuvu kama sasa, matokeo yake kila mTz anayajua!

Sasa wote hawa, hata watu tuliowaheshimu zamani na leo wanajifanya machawa, sijui sura zao wataziweka wapi, au wataendelea kujibaraguza kwa uongo mwingine?
Mimi ngachoka kabisa isee!
Wanavyowabeba sasa
a7bd78d4e69a77100a07b9946c0433e0.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kinacho wapa hofu wadada wa kazi za ndani ni wanapokutana na wababa wa hovyo wanaowatamani,
Asilimia kubwa binti akiwa mzuri lazima wababa wa hovyo wanawatamani na wengi wao huishia kwenda kufanya kazi za bar! ukiwa karibu na bar med wengi watakwambia walisha fanya kazi za ndani
Kwa hiyo wale Watumishi wa Mungu tunao wasoma kwenye Biblia ambao walikiwa wanakula wajakazi wao,walikuwa Wababa wa hovyo?
 
Back
Top Bottom