Makundi ya watu yanayoishi kwa stress kwenye jamii

Pamoja na hayo kuna stress sana kazini, mabosi wa hovyo, kukimbizana na muda, kudamka kila asubuhi, kurudi jioni sana, na mengi mengine.
Maboss wa hovyo chanzo ni ndoa zao ukiona boss wa hovyo tambua kwake anapigishwa deki.
So kuvimba ofisin anatafuta relief kujitutumua arejeshe heshima aliyokosa kwake.
 
Acha ujinga we
List inakosaje maticha
 
Walimu

Cc: Mpwayungu Village
 
🚶
 
Umewasahau wanasimba wote
1. Simba ni timu ya 8 miongoni mwa timu bora barani Afrika. Yanga ikiwa ya 18
2. Simba imecheza Ligi ya mabingwa mpaka robo fainali huku Yanga ikicheza mechi mbili ya Zalan na Al hilal ikatolewa ikaenda kucheza kombe la washindwa (Shirikisho)
3. Simba itacheza mashindano ya Super cup. Haya mashindano wanacheza timu bora barani Afrika huku Yanga hayupo na inawezekana ikamchukua miaka 200 kucheza.
Hii rekodi aliyoweka Simba, Yanga inaweza kumchukua miaka 200 kuvunja rekodi ya Simba.
Mwaka 2017-2021 Simba ilichukua ubingwa misimu 4 mfululizo. Sioni jipya hapo
Sasa hivi ukitolewa Champion hakuna kwenda Confederation.
Unafikiri kati ya Simba na Yanga nani anaishi na wasiwasi?
 
Ila hamna kombe lolote lakuringishia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…