Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 204
- 231
Makundi yanayo muunga mkono Rais Samia Suluhu yana-reflect kwamba mama anaupiga mwingi kwa kazi anazofanya ndani na nje ya Tanzania.
Makundi hayo ni:
-Vyama vya Siasa vinaumuunga mkono ✅
Makundi hayo ni:
-Vyama vya Siasa vinaumuunga mkono ✅
- Wamachinga ✅
- Wanasiasa / Wanachama wao✅
- Viongozi wa dini ✅
- Bodaboda ✅
- Wanawake ✅
- Vijana ✅
- Wazee ✅
- Walemavu ✅
- Wafanyabiashara ✅
- Jumuiya za Kimataifa ✅
- Wasomi ✅