ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Ilikuwa busara kupanua uwanja wa mwanza uwe international kuliko ujinga wa kwenda kujenga chato uwanja wa popo na bundijengeni jengo la abiria la kimataifa uwanja ndege Mwanza muone km mtapata mtalii hata mmoja wa kwenda serengeti na pato litandondoka. Kanda ya kaskazini inabebwa sana.