Makwaiya wa Kuhenga

Makwaiya wa Kuhenga

Tatizo liko wapi? Nasi tufungue moyo wako ili tujuwe kuwa masuwala ya dini ya wenzio ni mwiba kwako? Pingana kwa hoja lakini usimpinge mtu katika imani na mtizamo wake? Ni bora watu kama nyie mkaleta mada zenu wazi ili tujadili mitazamo yenu.

mi sina tatizo na imani ya mtu nawala mtu asiwe na tatizo na imani yangu, suala ni tunachukulianaje? Yule mzee ana ushabiki wa wazi kabisa. nadhani kajisahau anafanya nini
 
huyu ni mtu hatari sana hapa tz. tumekuwa tukimjadili mara nyingi sana kwenye vikao vyetu vya siri, lakini tumeona hana lolote. ni sawa tu na wale watu wa redio kheri. wanatapatapa. wanavyofikiri wanajenga, ndivyo wanavyozidi kubomboa na kuchafua. wanachafua kisima kinachonywewa maji na wengi walio wema tu(yaani anachafua waislam wema walio wengi). kuna siku lawama nyingi zitamfunika, atakimbia nchi, kwasababu atatamani hata milima imfunike.

Nadhani atakuwa na influence kwa namna yoyote ndio maana anaweza kualika wetu kwenye mada na kuwajaza watanzania jazba zenye mrengo wa kiimani, so ni mtu wa kumtazama vizuri
 
mzee huyu kwa muda mrefu amekuwa mstari wa mbele kuibua mada mbalimbali katika jamii yetu na kutufungua macho katika mengi katika kipindi chake cha Je, tutafika? Lakini hivi karibuni nimeona mtazamo wake mwingine katika mada zake anazozileta. Awali sikujua kama Makwaia ni muislam, ila nimejua, tena anaweza kuwa kati ya wale extremists. Nilimwona katika mada ya Palestina, pamoja na zingine na hii hali ya sasa ya udini bongo. Namna anavyowasilisha mada zake na namna anavyowachagua wazungumzaji na namna anavyoonekana akiongea ni dhahiri kuna kitu ndani yake. Nadhani ukifungua moyo wake utaziona OIC, kadhi na korokoro zingine dhahiri. Akitaka mijadala yake iende sawa awaalike na na hao walioandaa hiyo ilani wanayosema ni ya kidini ilhali ni secular kabisa ila tu walioandaa ndio waamini (sio waumini!)

Hata mimi naliona hilo! Nilimtumia message nikimshauri kuwa anapoleta mada awe anachagua 'panellists' toka pande zote ili tusikie hoja za upande mwingine na siyo kuchagua wale anaojua watahitimisha jinsi anavyopenda yeye. Kwa kawaida, 'conclusion' huwa anaitoa yeye mwenyewe kuliko 'viewers' ambao ndio walengwa (addressees).

Lakini alinijibu akasema yeye ni msomi na tena amesoma nje! Sijui ni nani hajasoma nje? Na kama kusoma nje kunamfanya mtu awe 'narrow minded' vile ni afadhari kusiwepo tena kusoma nje maana hakujengi kitu kama matokeo yake ni hayo.

 
Hata mimi naliona hilo! Nilimtumia message nikimshauri kuwa anapoleta mada awe anachagua 'panellists' toka pande zote ili tusikie hoja za upande mwingine na siyo kuchagua wale anaojua watahitimisha jinsi anavyopenda yeye. Kwa kawaida, 'conclusion' huwa anaitoa yeye mwenyewe kuliko 'viewers' ambao ndio walengwa (addressees).

Lakini alinijibu akasema yeye ni msomi na tena amesoma nje! Sijui ni nani hajasoma nje? Na kama kusoma nje kunamfanya mtu awe 'narrow minded' vile ni afadhari kusiwepo tena kusoma nje maana hakujengi kitu kama matokeo yake ni hayo.

hayo ndio matatizo ya kujijengea himaya. hata kwa jibu hilo inadhihirisha kuwa ni mtu wa mawazo ya upande mmoja kama zilivyo mada zake. nasikia ana kitabu chake amekitoa, asije akawalisha wabongo sumu tu
 
Back
Top Bottom