Malaika mikaeli alifanikiwa kuchukua mwili wa Musa shetani alipougombea, ukifa mwili wako utachukuliwa na nani? Amua sasa!!

Mhubiri kajaribu kuzungumza sana kuhusu habari za kifo Cha mwanadamu lakini bado hakuna majibu sahihi kuwa mtu akifa anaenda kupumzika au anaenda kuzimu
Aliyeandikwa kitabu Cha muhubiri ni Nabii Suleiman,

Hakujua wapi ataenda akifa,ndomana aliuliza swali, nani ajuaye Roho huenda juu au chini!! lakini Yesu ameliweka wazi kabisa wapi mtu akifa ataenda,

Rejea majibu ya Yesu Kwa yule jambazi pale msalabani,

Pia jiulize Musa na Elia walikuwa wamekufa zamani, iweje wamtokee Yesu mlimani na wanafunzi wakiona Ili kumtia moyo.

Ndipo ujue Mbinguni watu wanaingia miili ikifa,

Na kuzimu daily wanaingia.

Sasa the choice is yours.
 
Musa na Elia ni very unique examples kwenye bible. Hawakuwa na 'vifo' vya kawaida kama watu wengine.

Kuwatolea mfano kama ushahidi wa wafu kuwa mbinguni au jehanamu ni kulazimisha mambo.
 
Mhubiri kajaribu kuzungumza sana kuhusu habari za kifo Cha mwanadamu lakini bado hakuna majibu sahihi kuwa mtu akifa anaenda kupumzika au anaenda kuzimu
Pia ukiweza kujua mtu ni nani,

Utakuwa position nzuri ya kuelewa maandiko.

Mtu ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Mwili utazikwa, Roho haizikwi.

Mwili utaoza, Roho haiozi.
 
Musa na Elia ni very unique examples kwenye bible. Hawakuwa na 'vifo' vya kawaida kama watu wengine.

Kuwatolea mfano kama ushahidi wa wafu kuwa mbinguni au jehanamu ni kulazimisha mambo.
Kifo Cha kawaida ni kipi na kifo kisicho Cha kawaida ni kipi?

Na BIBLIA Iko wazi kuwa Musa na Elia walitokea Mbinguni kuja kumtia moyo Yesu, na walionekana kama tu Malaika.

Rejea majibu ya Yesu Kwa mafarisayo,

Aliwambia, Mbinguni hakuna Kutoa Wala kutolewa, watu wakuwa na miili kama ya Malaika, na miili hiyo ya utisho ndiyo ilimtisha Petro akiamini Musa na Elia ni miungu sababu ya kungaa kwao.

Mimi na pambana nirudi Mbinguni nilikotoka kabla ya kuingia ndani ya tumbo la manangu na Kuzaliwa.
 
Wakisha gombania??? Kumbe wanagombanaga sikujua hili ajabu.
Hilo tendo la kugombea miili ni endelevu.

Ukiona tu mtu kakata kwamba, jua Malaika wa Giza na WA Nuru wako vitani kugombea miili.
 
Hilo tendo la kugombea miili ni endelevu.

Ukiona tu mtu kakata kwamba, jua Malaika wa Giza na WA Nuru wako vitani kugombea miili.
Ndio ile mke na wanandugu kugombea mwili???
 
Nani alithibitisha kama aliyemtokea ndio mussa mwenyewe?
 
Alafu Munuu amabaye hadi Mungu alikuwa anaongea nae ana kwa ana then shetani aje kutaka mwili kweli..? Mmh
 
Ndio ile mke na wanandugu kugombea mwili???
No,

Mwili ulionao wa Damu na nyama ni photocopy ya MWILI halisi wa Roho.

Mtu ni ROHO mwenye mwili wa Roho wenye viungo kama tu wa mwili.

Unaogombewa uende kuzimu au Mbinguni ni mwili wa Roho ambao ndio mtu halisi.

N B: Mtu ni ROHO anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI wa nyama.
 
Nani alithibitisha kama aliyemtokea ndio mussa mwenyewe?
Petro na Yohana waliona na kuthibitisha kuwa wale ni Musa na Elia.

Yesu akikutokea Leo, Hana haja ya kujitambulisha, utamjua huyu ni Yesu,

Macho ya Roho hayana limit kujua mambo, ikiwa mchawi akikujia unamwona, na ungeweza kuona sura yake asingenuiza kujificha Kwa mwonekano wa paka au nyoka au mbwa, ndipo ujue unatakiwa ujue wewe u nani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…