Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Nimeokoka 😂Ntauchukuaa mimi nilikate hogo nilitafune supu hadi hamu iishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeokoka 😂Ntauchukuaa mimi nilikate hogo nilitafune supu hadi hamu iishe
Hakuna mihogo mitamu kama ya walokolee.... unaanza na kulitafuna bichwa la utamuNimeokoka 😂
Hadithi za kitoto mno .Ngoja kwanza. Kunakugombania maiti Tena?View attachment 3183506
mapenzi wangu mahonda yukowapi?
Usiogope,Asee jamani nimeogopa sana
MUNGU atusaidie
Aliyeandikwa kitabu Cha muhubiri ni Nabii Suleiman,Mhubiri kajaribu kuzungumza sana kuhusu habari za kifo Cha mwanadamu lakini bado hakuna majibu sahihi kuwa mtu akifa anaenda kupumzika au anaenda kuzimu
Musa na Elia ni very unique examples kwenye bible. Hawakuwa na 'vifo' vya kawaida kama watu wengine.Source:
(Mathew 17:1-13) Ukisoma mistari hiyo juu, utakuwa kuwa,
Musa alimtokea Yesu mlimani akiwa na Elia na wakamtia Moyo.
Ndipo ujue mtu ni ROHO,
Hadi ni WA milele,
Mwili ni wa muda tu, usikudanganye, ni vazi la Roho, Roho ndiye mtu halisi mwenyewe.
Ubarikiwe🙏
Pia ukiweza kujua mtu ni nani,Mhubiri kajaribu kuzungumza sana kuhusu habari za kifo Cha mwanadamu lakini bado hakuna majibu sahihi kuwa mtu akifa anaenda kupumzika au anaenda kuzimu
Kifo Cha kawaida ni kipi na kifo kisicho Cha kawaida ni kipi?Musa na Elia ni very unique examples kwenye bible. Hawakuwa na 'vifo' vya kawaida kama watu wengine.
Kuwatolea mfano kama ushahidi wa wafu kuwa mbinguni au jehanamu ni kulazimisha mambo.
Hilo tendo la kugombea miili ni endelevu.Wakisha gombania??? Kumbe wanagombanaga sikujua hili ajabu.
Ndio ile mke na wanandugu kugombea mwili???Hilo tendo la kugombea miili ni endelevu.
Ukiona tu mtu kakata kwamba, jua Malaika wa Giza na WA Nuru wako vitani kugombea miili.
Mtumie tuuu,HahahhaBarikiwa mtumishi naguswa kukutumia sadaka yangu
Nani alithibitisha kama aliyemtokea ndio mussa mwenyewe?Source:
(Mathew 17:1-13) Ukisoma mistari hiyo juu, utakuwa kuwa,
Musa alimtokea Yesu mlimani akiwa na Elia na wakamtia Moyo.
Ndipo ujue mtu ni ROHO,
Hadi ni WA milele,
Mwili ni wa muda tu, usikudanganye, ni vazi la Roho, Roho ndiye mtu halisi mwenyewe.
Ubarikiwe🙏
Alafu Munuu amabaye hadi Mungu alikuwa anaongea nae ana kwa ana then shetani aje kutaka mwili kweli..? MmhSalaam, shalom!!
MADA hii ni fundisho Kwa wale wasioamini kwamba mtu afapo, mwili wake hupelekwa either Kuzimu au Mbinguni.
Na mwili unaopelekwa kuzimu ni mwili upi? Ni huu wa Damu na nyama?
Jibu ni Rahisi tu,
Mtu ni ROHO, anayo NAFSI, anaishi ndani ya MWILI.
Na ikiwa mtu ni ROHO, uwe na HAKIKA kuwa, mwili wa nyama ni vazi la Roho, hivyo shetani Huwa Hana habari sana na mwili/ vazi, Hilo vazi Huwa ni nyama ya wachawi, funza nk nk.
Anakufa Musa, shetani anakuja kuchukua mwili wa Musa aupekeke gerezani la kuzimu, hapo hapo Malaika mkuu naye anatokea kuchukua mwili wa Musa aupekeke Mbinguni.
Utaniuliza, Musa alikuwa na utashi wakati mwili wake ukigombaniwa na Malaika Mikael na shetani? Jibu ni ndio, afapo mtu, huona Kila kitu Kwa macho Yale halisi ya ndani, mfano mzuri ni macho ya ndotoni wakati ya MWILI yanapofumba unaonaje!!
Malaika mkuu Mikaeli anafanikiwa kuutwaa mwili wa Musa na kupeleka Mbinguni.
Na kuthibitisha kuwa Musa Yuko Mbinguni, Musa alimtokea Yesu pale mlimani na kuongea naye akimtia moyo, ndipo ujue kuwa Mbinguni hata sasa, WATAKATIFU wapo waliokufa ( Roho iliyo hai ilipotengana na miili ya kuharibika) Kisha wakaingia Mbinguni. Na wapo walioingia kuzimu na wanateswa gereza la muda chini kuzimu.
SOURCE: YUDA (1:9)
Ikiwa ungependa Malaika mkuu Mikaeli apate kibali Cha kukupeleka Mbinguni baada ya MWILI huu kufikia mwisho wa uhai, pumzi itapokata, yaani ukitaka Malaika mkuu Mikaeli auchukue mwili wako Kwa kumshinda shetani ambaye pia anautaka, fuatisha Sala hii.
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
KARIBUNI 🙏
No,Ndio ile mke na wanandugu kugombea mwili???
Petro na Yohana waliona na kuthibitisha kuwa wale ni Musa na Elia.Nani alithibitisha kama aliyemtokea ndio mussa mwenyewe?