Malaika mikaeli alifanikiwa kuchukua mwili wa Musa shetani alipougombea, ukifa mwili wako utachukuliwa na nani? Amua sasa!!

Haya bhana.
 
Alafu Munuu amabaye hadi Mungu alikuwa anaongea nae ana kwa ana then shetani aje kutaka mwili kweli..? Mmh
Ukifa tu,

Lazima Shetani au Malaika wa Nuru waje.

Hiyo ni kanuni na Utaratibu. Lazima uende unakostahili.
 
Kristo akubariki ktk huduma yako.
Ubarikiwe pia πŸ™

Usiache kuomba Ili Mungu aongeze watendakazi shambani mwake maana mavuno ni mengi ila watendakazi ni Wachache.
 
Mwili wa Musa ulichukuliwa ili waisrael wasijue alipozikwa wakapaabudu badala ya Mungu chief si zaidi. Jifunze biblia tena.
 
Musa na Elia ni very unique examples kwenye bible. Hawakuwa na 'vifo' vya kawaida kama watu wengine.

Kuwatolea mfano kama ushahidi wa wafu kuwa mbinguni au jehanamu ni kulazimisha mambo.
Yn 11:25-26 SUV
[25] Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; [26] naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?
 
Maisha yangu Mimi.........

Nani atayathamini......

Usipomruhusu huyu Yesu....

Yeye kufanya marekebisho.....

Ukiiifa Leo wewe!! Naniii atakuthamini....

Usipomruhusu huyu Yesu...

Yeye kufanya marekebisho....

secretarybird
Kumbe Kuna maisha baada ya kufukiwa huu mwili wa Damu na nyama.

Na maisha hayo ni ya milele Mbinguni au jehannum!

Sasa miaka 100 ya duniani, kamwe sitokubali yanikoseshe mbingu ya milele.

Ubarikiwe πŸ™
 
Mwili wa Musa ulichukuliwa ili waisrael wasijue alipozikwa wakapaabudu badala ya Mungu chief si zaidi. Jifunze biblia tena.
Rudia kusoma,

Yuda 1:9

Maandiko yasema Malaika mkuu Mikaeli na Shetani waliugombea mwili wa Musa, na Mikaeli akashinda.

Hayo uliyoandika umeyatoa source ipi?
 
Kumbe Kuna maisha baada ya kufukiwa huu mwili wa Damu na nyama.

Na maisha hayo ni ya milele Mbinguni au jehannum!

Sasa miaka 100 ya duniani, kamwe sitokubali yanikoseshe mbingu ya milele.

Ubarikiwe πŸ™
Amen amen niombee
 
Ila izi stori za wazungu na waarabu zimetuweza sana wafrka
NENO la Mungu Si story,

Kama ambavyo pumzi uvutayo Bure hutoka Kwa Mungu, kadhalika Neno lake ni halisi Kweli na HAKIKA.

Acha hicho kibri Cha Uzima, siku za mwanadamu duniani ni chache sana, tena zimejaa taabu.
 
Amen amen niombee
Ni maombi yangu Mungu aongoze hatua zako,

Ukakue zaidi Kila siku katika nyanja zote maishani mwako.

Ukawe na siku nyingi zilizojaa furaha na baraka. Ukatumike shambani mwa BWANA ukimzalia matunda mema yaufukiao Uzima WA milele.

Aaaamen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…